William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Mkuu tumbo halizai wafalme wawili anahumahuma tu ukweli uko wazi bila UKAWA hawawezi kutoa katiba mpya ndo maana mara wakejeli kuwa wasirudi wao wanaendelea, mara hawajui kilichowatoa mara wanaomba warudi hakika mwaka huu tutasikia
- Mkuu waulize wakuu wako nani aliyeenda kwa msajili wa vyama kuomba kusaidiwa kurudi bungeni, sasa kama Rais kweli anawahitaji anasema muombewe? ha! ha! ha! hahawahitaji ndio maana kaeni huko huko ukawa!!
Le Mutuz