William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Pepo kubwa wewe,
UKAWA wabunge46 what a shame?
Kama mnaweza mbona mnalialia UKAWA warudi?
kumbe hata sheria ya katiba mpya huijui?
Unajua madhara ya kutokuwepo kwa UKAWA kwenye hilo Bunge la katiba?
Soma hoja uelewe ili ujenge hoja, na ujibiwe kwa hoja.
Ok Ombewa mapepo wakutoke ujitambue kujenga hoja.
- Kumbe wote mnahitaji kuombewa kama alivyosema Rais mburulazzz, eti Wabunge 46 mtauzia katiba ya Tanzania hii itakuwa Banana Republic sio Tanzania subirini huko huko muone kama Katiba haitatengenezwa tena msirudi mbaki huko huko mburulazzz
Le Mutuz