Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo
You must be naive or a moron kuuliza Swali hilo.
Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo
hatudanganyiki tunapiga kura na kwenda kulala nyumbaniAkivunjwa miguu atakuwa na bahati sana, wengine hutolewa upepo halafu viongozi wa vyama vyao hutunza familia zao!
Tumeona Arusha &Moro familia za marehemu (watu waliouawa kwenye maandamano) zinavyo saidiwa na Mbowe!
Sheria inaniambia nisubiri matokeo mita zisizopungua 100 toka kituoni. Ni Sheria ipi inakataza hilo?Umeshaambiwa piga kura sepa unalinda kura kwani wewe ni wakara sasa mjifanye wabishi upige kura ukae kituoni uone kitakacho kutokea unavunjwa miguu unasekwa ndani tii sheria bila shuruti vinginevyo utaona vyombo vyadola vinavyo fanya kazi yake
Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo
Wanajamvi,
Hili suala la kubaki vituoni baada ya kupiga kura linaanza leta ukakasi sasa, leo Mh. Raisi kaliongelea na kusisitiza watakaobaki vituoni watashughulikiwa. Nimemsikia mhe. Kinana na IGP pia wakiliongelea na mbaya zaidi kwenye magroup yote wana CCM wamefurahia sana tamko la leo la mh. Raisi ambae pia ni Amiri jeshi mkuu katika nchi ambayo Tume ya Uchaguzi haiko huru, tumeona wakurugenzi wa tume wakibadilishwa chini ya mwezi mmoja kabla ya uchaguzi kwa sababu za kikatiba/kisheria maana mhe. Raisi ana uwezo huo.
Lakini pia tuna kumbukumbu za chaguzi zilizo pita ambapo bila wananchi kuwepo eneo la tukio, sina uhakika kama mh. Wenje angepata ushindi zaidi ya mh. Masha aliye kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.
Hii yote inaleta Sintofahamu na kuonyesha kama ule usemi wa Nape unatimizwa kwa njia hii.
Pia nimemuona Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC akiiweka kama issue ya kubaki kwenye vituo haiko kisheria.
Je, kama suala la kubaki vituoni kwa umbali usiopungua mita 100 liko kisheria, ni kwa nini UKAWA wasiende mahakamani kesho kwa hati ya dharula kuweza pata ufafanuzi na order ya mahakama kwenye jambo hili?
Nia ni kuepusha damu za Watanzania kumwagika maana ninavyoona, tunakoelekea sio kuzuri ifikapo tarehe 25 Oktoba.
Nawakilisha.
mkuu unadhani siwez weka tusi hapa la kukukera? Kuwa muungwana tu.... cha msingi je sheria inasemaje? Mbona nchi nyingine wapiga kura wanabaki ..... sio lazima kulinda kura lakini kusubiri matokeo na ndo maana yanabandikwa vituoni.... sasa mnayabandika ya nn kama watu hawatakuwepo?
Kinacho wafanya mtake kug'ang'ania kubaki vituoni ni kitu gani?
Je mawakala wenu wajibu wao ni nini? Mbinu za viongozi wenu za kutaka kuhamasisha wafuasi wao ili walete vurugu kwenye vituo vya kupigia kura kutokana na imani zenu potofu za kuibiwa kura - viongozi wenu wasipo chunga kauli zao wanapokuwa majukwaani,basi wachukuliwe hatua stahiki kabla hawaja tuletea balaa kwenye Taifa letu - hatutaki chokochoko na tactics za KIMUNGIKI nchini,kama wanajidanganya kwamba Serikali yetu Tukufu itaogopa lawama na kuwachia watu wachache wawe chanzo cha kuvuruga amani ili Nchi hisitawalike basi wataishia kwenye slammer na hakuna ataye wasikitikia.
Kamanda tunauzoefu na mahakama zetu. Wengi was majaji ni wana was system wanaweza wakatumika kutoa tafsiri mbovu na ya ajabu. Au wakachelewesha huo uamuzi.Duniani kote including Nigeria inaruhusiwa. Na raisi hana mamlaka ya kuzungumzia mambo ya uchaguzi. Ni tume tu ndiyo yenye mamlaka hayo. Dawa yake ni watu kujipanga na kukaa nje ya vituo kwa mita hizo. Kama ni kosa watupe vifungu vya sheria otherwise tusubiri matokea. Wasije wakataka kuwalazimisha mawakala. ICC is waiting.
Raisi amesema MAWAKALA tu ndio wanatakiwa kubaki na wawe ndani ya chumba cha kura. sasa ina maana HUWAAMINI mawakala wako?
Acheni uhuni wenu.kila mtu akibaki kituoni itakuwa fujo.wewe huelewi nini!
Mkiambiwa watu Wana uzoefu hamuelewi, mnapiga kelele... Ni kwamba mawakala wengi si WAZALENDO sana, wanahongwa pesa ndefu aka wananunuliwa, na ndio maana Tume wamekataa UKAWA wa we na mawakala wa vyama vyao, stuka toroka uje
Hapa kuna hatari ya kutokea vita hata kabla ya matokeo kutangazwa, waache ubabe hao ccm hii nchi ni yetu sote, kama hupendwi kubali ushindwe kihalali. tume ya uchaguzi haiaminiki.
Si kila mtu atabaki kituoni lakini wanaotaka kubaki waachwe wabaki kwa mujibu wa Sheria. By the way, wapiga kura wote wakiondoka vituoni, msimamizi wa uchaguzi atamtangazia nani matokeo? Au watapiga kengele kuita Watu? Kama suala la kusubiri matokeo lipo kisheria, kwa nini. NEC, IGP na hata Rais wanaliongelea kama ni jambo linalofanywa kinyume cha Sheria? Sheria hiyo kwa nini hawakuifuta 'kisheria' kama wanaona hawaipendi. Nami nashauri wanasheria wa CHADEMA/UKAWA wakatafute ufafanuzi mahakamani.
Wakati upigaji kura unaendelea kwa nini wabaki vituoni? Mwaka 2010 ilikuwa hivi: tulipiga kura tukarudi nyumbani. Saa 10 au saa 11 tukarudi vituoni na tukakesha hata siku 3 ilipotakiwa. Hawa viongozi wanaotaka hata wakati wa upigaji kura wabaki wanafanya VOTER INTIMIDATION na hakuna panapokubalika hilo duniani. Ukimaliza kupiga kura nenda nyumbani na urudi kupata matokeo.
Who is ICC toa ujinga wako, mahakama hazikuwekwa kwa ajili ya wanyama au miti. Serikali haiwezi kuacha wajinga wachache walithiri taifa kisa kuogopa ICC. Kupigwa mtapigwa na kuvunjwa vyunjwa na ICC kama kuna wa kwenda ataenda lkn nyie mtabaki walemavu maisha yenu yote, maana hakuna namna tena, tumechoka na kutishiwa na nyau wa ICC.
inakuwaje mnatumia chopa za kumwaga halafu mnashindwa kuwalipa vizuri mawakala wenu ili kuondoa wasiwasi.
hii ni ajabu sana ikiwa hata wakala humuamini sasa utanuamini nani?