UKAWA nendeni Mahakamani kesho 15/10/2015

UKAWA nendeni Mahakamani kesho 15/10/2015

Umeshaambiwa piga kura sepa unalinda kura kwani wewe ni wakara sasa mjifanye wabishi upige kura ukae kituoni uone kitakacho kutokea unavunjwa miguu unasekwa ndani tii sheria bila shuruti vinginevyo utaona vyombo vyadola vinavyo fanya kazi yake

kiswahili chenyewe hujui.......

andika WAKALA siyo WAKARA
 
Tutalinda kura. Mimi ntakuwa mstari wa mbele kati ya watakao kaa kituoni
 
Umeshaambiwa piga kura sepa unalinda kura kwani wewe ni wakara sasa mjifanye wabishi upige kura ukae kituoni uone kitakacho kutokea unavunjwa miguu unasekwa ndani tii sheria bila shuruti vinginevyo utaona vyombo vyadola vinavyo fanya kazi yake

Atii sharia ipi we kilaza?
 
Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo

Mkiambiwa watu Wana uzoefu hamuelewi, mnapiga kelele... Ni kwamba mawakala wengi si WAZALENDO sana, wanahongwa pesa ndefu aka wananunuliwa, na ndio maana Tume wamekataa UKAWA wa we na mawakala wa vyama vyao, stuka toroka uje
 
Sasa wewe kama nikidume uje ukae hizo mita uone utavunjwa miguu piga kura sepa

Akivunjwa miguu atakuwa na bahati sana, wengine hutolewa upepo halafu viongozi wa vyama vyao hutunza familia zao!

Tumeona Arusha &Moro familia za marehemu (watu waliouawa kwenye maandamano) zinavyo saidiwa na Mbowe!
 
mkuu unadhani siwez weka tusi hapa la kukukera? Kuwa muungwana tu.... cha msingi je sheria inasemaje? Mbona nchi nyingine wapiga kura wanabaki ..... sio lazima kulinda kura lakini kusubiri matokeo na ndo maana yanabandikwa vituoni.... sasa mnayabandika ya nn kama watu hawatakuwepo?

Kuzuia mtu asiyehusika kingie vituoni,pia iwapo watu watakuwepo kwenye umbali wa mita 200 watu wenye malengo ya kuiba kura au kuwanunua mawakala wataogopa au kuona soni,majimbo ya Mbeya Mjini,Tarime (2008),Arusha Mjini,Aumeru Mashariki na mengine mengi yasingekweda upinzani kama si kulinda kura
 
Nasema Waliochoka kuishi amma kutembea kwa miguu miwili wajaribu kuvunja sheria waone Shughuli.Tuna siku nyingi hatujawagonga
 
Akivunjwa miguu atakuwa na bahati sana, wengine hutolewa upepo halafu viongozi wa vyama vyao hutunza familia zao!

Tumeona Arusha &Moro familia za marehemu (watu waliouawa kwenye maandamano) zinavyo saidiwa na Mbowe!
Mbowe??????Anyways Mbona watoto na ndugu zao siwaoni kwenye maandamano au wao hawaoni jinsi CCM inavyotufanya masikini sisi.(Lakini imewatajirisha wao)
 
Hivi nyie mnaowaza kuibiwa kura, mawakala wenu wanafanya kazi gan ndan ya kituo

Mnaweza kuwarubuni au kujifanya mnamaagizo mengine toka tume ya uchaguzi kuwa mawakala wa vyama vyote hawaruhusiwi kukaa ndani then mkapata nafasi ya bao la mkono..!!
 
Ukisema kwa watu wasibaki vtuon na kwa nn pia mlazimi waondoke? Kwan sheria ya uchaguzi inasemaje juu ya hilo? Rais na tume wamesahau kuwa wananchi wanaruhucwa kubaki vtuon?
 
Waende mahakamani kufanya nini wakati sheria za uchaguzi zipo wazi.
 
Acheni uhuni wenu.kila mtu akibaki kituoni itakuwa fujo.wewe huelewi nini!

Si kila mtu atabaki kituoni lakini wanaotaka kubaki waachwe wabaki kwa mujibu wa Sheria. By the way, wapiga kura wote wakiondoka vituoni, msimamizi wa uchaguzi atamtangazia nani matokeo? Au watapiga kengele kuita Watu? Kama suala la kusubiri matokeo lipo kisheria, kwa nini. NEC, IGP na hata Rais wanaliongelea kama ni jambo linalofanywa kinyume cha Sheria? Sheria hiyo kwa nini hawakuifuta 'kisheria' kama wanaona hawaipendi. Nami nashauri wanasheria wa CHADEMA/UKAWA wakatafute ufafanuzi mahakamani.
 
Tatizo ccm mnafurahi ili mpate kuiba kura ndo mana kikinuka wote tutaumia we need fair ground kabisa sasa tegemeeni msaada wa jeshi mwaka uu Mpaka kieleweke tu.

Kikinuka wanadhani Tshirt na Madera ya CCM yatawaokoa. Polisi wakipiga wasiovaa kijani na njano, wananchi watapiga waliovaa kijani na njano. Hakuna atakayekuwa salama. Amani yetu tuitunze kwa kufuata Sheria.
 
Mkiambiwa watu Wana uzoefu hamuelewi, mnapiga kelele... Ni kwamba mawakala wengi si WAZALENDO sana, wanahongwa pesa ndefu aka wananunuliwa, na ndio maana Tume wamekataa UKAWA wa we na mawakala wa vyama vyao, stuka toroka uje
inakuwaje mnatumia chopa za kumwaga halafu mnashindwa kuwalipa vizuri mawakala wenu ili kuondoa wasiwasi.
hii ni ajabu sana ikiwa hata wakala humuamini sasa utanuamini nani?
 
Back
Top Bottom