Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kikombe cha babu kila mgonjwa alikinywea akiwemo mzee Magufuli!
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ndiyo mashule ya CCM hayo.
Kwi kwi kwi teh teh teh, leo ilikuwa kampeni zianze, kulikoni? Kazidiwa?
Kinga ni bora kuliko kutibu.
Lowassa kishawahishwa Ujerumani nini kwa matibabu zaidi.
kama makufuli yenye ngomaHuna pakutokea. Jitu gonjwa linajulikana.
Saa 8 si ndiyo hiiUKAWA Wataitisha mkutano na wanabari leo saa 8 mchana na utarushwa live na ITV.
======
Habari za leo, uongozi wa Ukawa utakuwa na Mkutano na Wahariri leo saa 08:00 mchana Bahari Beach Hotel, kuzungumzia masuala makubwa kuhusu uchaguzi. Tafadhali fika bila kukosa.
Swali hilo kamuulize basha wako Nepi Naunye
asanteni sana makamanda kwa taharifa ila umeme wamesha uchukua,