UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

Status
Not open for further replies.
Hata kampeni watakua wanafanyia hapo hapo bahari beach chezea fisadi
 
We faiza ms***** nn km huna la kupost funga bakuli lko ww mwenyewe mzma???? Acha ufala

Jamani mtamuua huyu mama kwa matusi.lakini nae sijui vipi aishi mdomo.mtungeni tuu lakini uenda ndio raha yake
 
Hata Ndesamburo alienda kugonga akatowa na helikopta, umesahau?
Sijasahau hata, ila nakushangaa wewe unayeshupalia afya za wengine wakati ya kwako na viongozi wako ni dhaifu vilevile. Tukisema tutaje viongozi wa CCM wagonjwa hatutamaliza leo. Maana tuuanzia mamlaka ya juu hadi ya chini.
 
Huu ujinga wa kupotezeana muda unakera sana. Kama hakuna cha kuongea msiwe mnaita press.
 
Kuanguka jukwaani isikusumbuwe sana, tatizo kutokufika jukwaani na au ukifika unabaki kama robot na kushindwa kuoengea na utapoweza kuongea humalizi dakika 5 na povu jeupe la madawa linakutoka.

Katibu mkuu wa chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?

Yupo na mama yako, Anamsuka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom