UKAWA Wataitisha mkutano na wanabari leo saa 8 mchana na utarushwa live na ITV.
======
Habari za leo, uongozi wa Ukawa utakuwa na Mkutano na Wahariri leo saa 08:00 mchana Bahari Beach Hotel, kuzungumzia masuala makubwa kuhusu uchaguzi. Tafadhali fika bila kukosa.
Kuanguka jukwaani isikusumbuwe sana, tatizo kutokufika jukwaani na au ukifika unabaki kama robot na kushindwa kuoengea na utapoweza kuongea humalizi dakika 5 na povu jeupe la madawa linakutoka.
Katibu mkuu wa chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?
Mkuu lakini lowasa kwani siyo mgonjwa?
Makini yuko Mbowe aliyekwisha lamba pesa ndefu, nyie endeleeni kushabikia kula vumbi bila malipo.
Cheza na mchagga wewe?
Yule mgonjwa Ikulu ataisikia redioni tu, maana hata TV nasikia kakatazwa kutazama, inamzidishia kale kaugonjwa kake.
hahhahahahhahahahaha hali ni tete afya migogoro
Yule mgonjwa Ikulu ataisikia redioni tu, maana hata TV nasikia kakatazwa kutazama, inamzidishia kale kaugonjwa kake.
Hilo halina shaka ndani yake, tatizo ni pale unapoficha maradhi, kisa nini?
Yule mgonjwa Ikulu ataisikia redioni tu, maana hata TV nasikia kakatazwa kutazama, inamzidishia kale kaugonjwa kake.