nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Hamna chochote
kwa nini ukawa hawatoi taarifa zinazofuata muda?
Hamna chochote
Huu ujinga wa kupotezeana muda unakera sana. Kama hakuna cha kuongea msiwe mnaita press.
haa haa TBC ni ya kina maghufuli tu. ukawa ni marufuku tbc...
Umemeza ARV zako leo?
Kuna taarifa kuwa hali ya muzee imebadilika ghafla
Lowassa kishawahishwa Ujerumani nini kwa matibabu zaidi.
Basi labda walimaanisha saa 8 za usiku! Subiri hapo.
Mkuu VP updates akuna kinachoendeleaUKAWA Wataitisha mkutano na wanabari leo saa 8 mchana na utarushwa live na ITV.
======
Habari za leo, uongozi wa Ukawa utakuwa na Mkutano na Wahariri leo saa 08:00 mchana Bahari Beach Hotel, kuzungumzia masuala makubwa kuhusu uchaguzi. Tafadhali fika bila kukosa.
Kuanguka jukwaani isikusumbuwe sana, tatizo kutokufika jukwaani na au ukifika unabaki kama robot na kushindwa kuoengea na utapoweza kuongea humalizi dakika 5 na povu jeupe la madawa linakutoka.
Katibu mkuu wa chadomo, babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa yuko wapi?
Sijasahau hata, ila nakushangaa wewe unayeshupalia afya za wengine wakati ya kwako na viongozi wako ni dhaifu vilevile. Tukisema tutaje viongozi wa CCM wagonjwa hatutamaliza leo. Maana tuuanzia mamlaka ya juu hadi ya chini.