UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

UKAWA kuongea na wanahabari leo saa 8 mchana

Status
Not open for further replies.
Ameanza freeman mbowe atafuatia fredrick sumaye na mwisho atafuatia mh.james mbatia..
 
He sumaye
ukawa wataitisha mkutano na wanabari leo saa 8 mchana na utarushwa live na itv.

======
habari za leo, uongozi wa ukawa utakuwa na mkutano na wahariri leo saa 08:00 mchana bahari beach hotel, kuzungumzia masuala makubwa kuhusu uchaguzi. Tafadhali fika bila kukosa.
 
jamani mlioko kwenye TV tunaomba live upadate
 
CCM wanatamani kuifunga ITV,washaianzia figisufigisu!!!

Kama ni ujio wa Sumaye,hii ni nzuri zaidi na ngumi ya Chembe kwa maCCM na kibaraka wao Makufuli!!


'Figisufigisu' zintabaki kwao hukohuko na ngumi na magongo yao.
Kamanda Mbowe ndiyo anamaliza kumkaribisha Sumaye.

Octoba ije sasa!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom