Sumaye ndani ya nyumba....
Mwenye laana ni yule anaeuza utu wake kwa pesa - kumbuka hilo.
Kwenye channel gani unaoneshwa?
Mbona km nyie mnaujua ugonjwa wake vile, mnavyoshadadia, hebu semen nyie visabengo anaumwa nn ss
Kwani ugonjwa tusi! babangu mzima ila mwezi wa 2 alikuwa mgonjwa, mungu si vile umuaziavyo wewe upuzi wako umshirikishe mungu kuugua kilamtu anaugua sasa lowassa kama babako akiugua asisemwe muweke chumbani asitoke kwa wtzwewe baba yako ana afya nzuri? Basi shukuru Mungu kwa hilo!ila Kumbuka Mungu ni wa wote ulimi usikuponze!
KWANI TBC NI TV YA MTU BINAFSI AU YA TAIFA?
1.IKIFIKIA CHAMA KINA MILIKI MALI YA UMA KAMA ZAKE NI SHIDA NA UJINGA MKUBWA SANA...
m.f
VIWANJA VYA TAIFA
@ TV NA RADIO ZA TAIFA!N.K
KUNASHIDA HAPA...NDIO MAANA TUNATAKA MFUMO TUUBADILISHE...EBU TUACHIENI NCHI WENYE NCHI YETU..COMEON!
Unaujua utu wewe? ...
ITV wameanza. Simuoni Lowassa
Hiyo dawa muingizie mgonjwa lowassa mie mzima kwa sasaTulia dawa ikuingie
Mbona tumeshautangaza zamani sana, hata kabla hajatemwa CCM. Mgeni nini humu?