Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mdomo hauna ulimi - Anna Makinda
Sidhani kama mjinga na hana Elimu.
Matusi ya chinichini huwatendei haki wengine.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
nadhani watamtangaza na Sumaye MkuuMada kuu ni nini....nadhani Slaa atakuwa karudi..
bibie umeelewa ua ujaelewa? Kama ujumbe umefika shida ipo wapi? Au na wewe ujawekwa kwenye kamati ya tukana tukana?
Usicheke ugonjwa leo kwake kesho kwako
Wanataka kuwajulisha nyumbu wasihofu kuhusu afya ya mzee kwani kontena la sindano limeisha ingia
Watu waliopanic kila siku wanaitisha vikao
Watu waliopanic kila siku wanaitisha vikao
Watu waliopanic kila siku wanaitisha vikao
Hapanic mtu hapa. Hivi wewe unapowatetea ccm unajihisije ndgwamepanic hawa ngoja tusubiri nini kitatokea
Waseme ukweli lowassa mgonjwa
wewe utakuwa ulishalaaniwa kutoka ndani ya tumbo la mama yako .Yule alikuwa anaanguka kwenye majukwaa wakati wa kampeni mbona husemi juzi tuu ametoka kutibu tezi dume ni mzima yule?
Mkuu lakini lowasa kwani siyo mgonjwa?Ni ukweli ulio wazi maadili yameshamomonyoka kwa hali mbaya sana. Mtu kuugua au kifo lilikuwa jambo analoachiwa mungu. Nasikitika sana mtu una akili timamu (unaamini mungu ndiye kakuumba) lakini unakuwa na hati miliki ya afya ya binadamu mwezako kama Lowassa. Hivi mmesahau namna gani mheshimiwa raisi Kikwete alivyokuwa anaaguka kwenye mikutano Mara kwa Mara pamoja na kupakaziwa ni mwathirika wa UKIMWI. Mungu tusamehe.
mkisikia press conference mnapanic kweli, tulieni sindano iingie.Hilo halina shaka ndani yake, tatizo ni pale unapoficha maradhi, kisa nini?
Mkuu lakini lowasa kwani siyo mgonjwa?