The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Viti maalum watu wanaona na kusikia tuhuma ya hivyo viti kupewa mahawara na ndugu wa viongozi ziko mitaani kutolijadili hili halisaidii ni vizuri likajadiliwa ili watu wawe na imani taratibu zipi zimefuatwa?Na lingine la mawakala wa uchaguzi.
Why hawakupewa posho wala hata chakula?
Nani ana uhakika hawakuingiwa na tamaa?
Nani aliwasimamia?
Mbona hakukuwa na organisation ya kueleweka?
Why mawakala wengi hawakuwa hata na namba za simu za wagombea?
Mbona kiukweli kulikuwa na chaos tu na mazingira ya kurahisisha wizi wa kura?
Why haya mambo still hayajadiliwi?
Why hawakupewa posho wala hata chakula?
Nani ana uhakika hawakuingiwa na tamaa?
Nani aliwasimamia?
Mbona hakukuwa na organisation ya kueleweka?
Why mawakala wengi hawakuwa hata na namba za simu za wagombea?
Mbona kiukweli kulikuwa na chaos tu na mazingira ya kurahisisha wizi wa kura?
Why haya mambo still hayajadiliwi?