monges
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 1,040
- 392
Sio wote wenye uwezo wa kuzifikia hizo Chanel, mapenzi kwenye chama yasikufanye uwe Kipofu kwa mapungufu yake.
Watu maumivu yalianza kwenye ujio wa ajabu ajabu wa Lowassa, wengi waligumia kwa ndani, wachache tulijitokeza kupinga tukaitwa kila majina mabaya.
Tatizo la Chadema ni kuwa wanaopigania Chama ni wengine na wanaokuja kufaidika ni wengine!
Na ndo maana wanasema chadema ni ya Mbowe na mkwewe na kama hujui ndo ujue, nyie wote mnapoteza muda wenu bure wenye neema wapo.