Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Umesha nunua Peruvian na Brazilian hair?

Umeshatoa pesa ya saloon?

Umeshatuma pesa ya mahitaji kama msoso, kodi, simu na vitu vya ndani?

ni mwanamke gani atakubali kugongwa bila kuhongwa?

Mkuu kuwa na domestic slut ni gharama kuliko hawa wa public.

Demu kwa mwezi anaweza kula hadi 200-300k na hujaweka gharama za show.
assee mkuu kweli kabisa,
hii inakata maana nimeshtuka..!!
 
Siyo KAYUMBA bali ni KAHUMBA.....pale polisi wanazngua lkn wapo tu na ukitaka ufaidi nenda mchana
Hao polis ni longolongo tu wanawazibia watu kupata mkate wao wa kila siku kwani ajira zenyewe hakuna
 
Mkuu unakwepa majukumu?
majukumu wapi mkuu...
izi toto zenyewe pasua kichwa, majukumu mpaka nwe nae kwa ndoa
sasa fikiria, una vitoto kama ivo vitano..utatumia tsh ngapi kwa mwezi.!!
au salary yote inaishia uko tu na mambo mengine hayaendi..!!??
 
majukumu wapi mkuu...
izi toto zenyewe pasua kichwa, majukumu mpaka nwe nae kwa ndoa
sasa fikiria, una vitoto kama ivo vitano..utatumia tsh ngapi kwa mwezi.!!
au salary yote inaishia uko tu na mambo mengine hayaendi..!!??
Wewe utakuwa ni mtu wa mikopo kila mwezi naona huo ushauri wa kupata hiyo huduma ya itigi ni bora kwani ni F&P huna kufuatana fuatana
 
Makonda hana lolote mbona dar kashindwa,, kule yemeke wale makahaba wapo hadi leo,, ambians ndo kabisaaa kibaooo
Teeeeeeh Teeeeeeeh kati ya mitihani ambayo amemtoa Tko
 
Makonda hana lolote mbona dar kashindwa,, kule yemeke wale makahaba wapo hadi leo,, ambians ndo kabisaaa kibaooo
Hata hapo makaburini kinondoni ni wa kumimina tu
 
Back
Top Bottom