tena Mwanyasi ana hamu ya kukaguliwa
zana zimejaa,mkiwa tayari mnijuze
mbona atajutraaaa!!
Kama vipi tuingie mzigoni mimi na wewe!
Kwa mujibu wa katiba ya cc, rais wa cc haruhusiwi kukagua, aidha member asiyekaguliwa hawezi kukagua
cc Lady doctor
Mwanyasi alikuwepo nikamwandika jina nikamwambia apite kwako akagoma
Mimi nakumbuka ulisema utanambia lakini hukuniambia! hivi wewe ulikaguliwa?
Lady doctor mwenyewe hata sijui kama tayari!
Halafu mbona mimi hukunikagua?
Njoo unikague
Ibala ya 22 kifungu na 3b inaeleza wazi kuwa member haruhusiwi kukagua kama hajakaguliwa! hivyo mimi siwezi kuwa mkaguzi, wewe unakiuka katiba?
Mimi nakumbuka ulisema utanambia lakini hukuniambia! hivi wewe ulikaguliwa?
Lady doctor mwenyewe hata sijui kama tayari!
Nitafute!
hivi kipindikile nawakagua nyie mlikuwa wapi? au mlikaa nyara????