Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaguzi haswa haswa ni wa shepu
Mamndenyi naomba unikague wewe tafadhali...!!!Kuna ma bi dada watatu walikuwa wanafanya hiyo ya kukagua me. Ni kama walianza kuzidiana kete. Pengine wakipita hapa watajitambulisha. Mi nina bifu nao as walianza kukagua hata baba zao.
Aah mbona mie sikukaguliwa jaman..labda ndo maana hamni cc!
Ennnh hebu ngoja nikae kitako unisimulie...alianza na stepu gani hadi ukaona hali si hali huko ukaguzini?
Mie nipo tayari hebu nikagueni
Hahahaha
Kwasababu kwa upande mwingine wewe ni mkwe tuishie tu hapo shemkwe
Mmmmh!! shemkwe ujue nina jukumu la kukulinda na wachafuzi pia...
Najua sana shemkwe na nashukuru kwa kujali
Ila mambo mengine urojo urojo
Nakuheshimu ujue
Ujue hawa wakaguzi mimi siwaelewi,Ayaaa! Asprin na Filipo kama kazi zimewazidia nivae magwanda ya kazi kwa ruksa ya shemeji yenu Lady doctor?
Nashauri watakao kaguliwa wakikutwa na vibamia wafungiwe umember wa jf hadi watakapo.. manyasi madam B natimu yenu ushauri wangu Lol!