lane: see youuuKama wasema hivyo shemkwe basi sawaaaa....:smile-big:
Embu fanya upate semina mapema
maana wengine hatujakaguliwa
Mwanyasi alikuwepo nikamwandika jina nikamwambia apite kwako akagomahahaha
TEAM YA UKAGUZI KWA WANAUME
Madame B
Lady doctor
The secretary
MTUNZA ZANA ZA UKAGUZI
Passion Lady
hivi Mamndenyi kipindi wakati wa operation yaukaguzi kwa wanaume Mwanyasi alikuwa wapi hadi leo hajakaguliwa?
Mie nipo tayari hebu nikagueni
Hii step sikuipitia ndio maana nimekuwa najiuliza! kwani wewe si una weza kunikagua pia?
Mwanyasi alikuwepo nikamwandika jina nikamwambia apite kwako akagoma
aaaah wapi nitapigwa faini
kwa kuingilia majukumu ya watu buuureee!!
ngoja nimuite pacha wangu Lady doctor
aje akukague mi nitaandaa vifaa tu!!
Ha ha haaa
Mie sinaga uzoefu wa hiyo kazi;
labda nipate semina kwanza.
Ayaaa! Asprin na Filipo kama kazi zimewazidia nivae magwanda ya kazi kwa ruksa ya shemeji yenu Lady doctor?
ooh real!????? Jaribu uone
Kama vipi tuingie mzigoni mimi na wewe!
honey, baada ya kunioa niliacha shughuli nzima ya kuwakagua wanaume humu now tuko ndani ya ndoa unajitia kiherehere kubeba jukumu la kuwakagua wanawake. kamavipi wakague humu mie nikawakague jukwaa la wakubwa