Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Lita 3 za maji mzeee??????? Bora nije na gongo kabisa au?
Hivi kuna gongo ya baridi...!? kama ipo yaweza kukufaa pia.
Lita 3 za maji mzeee??????? Bora nije na gongo kabisa au?
Hivi kuna gongo ya baridi...!? kama ipo yaweza kukufaa pia.
Ha ha haaaaa nitaiweka kwenye friji
We haya we... ukirudi utakuja toa ushuhuda hapa..
Usiniogopeshe basi........mwishowe nitaghairi
Aaaaa h bhana... kwani ushuhuda mbaya...!? usighairi, ujue foleni ya wanaosubiri kukaguliwa inaongezeka!?
Basi fanya fasta, tuanze kazi, mwaka ndo waisha...watu wasivuke hawaja kaguliwa
Hilo la msingi sana aisee... usijali aisee..
Mama, usiogope msiba mama yangu...... Ogopa kuzikwa.