Mimi ndio mkaguzi msaidizi wa @ Filipo mna maswali
mmh kukaguliwa....!!
basi subiri mkwaju waja...
Kuna ma bi dada watatu walikuwa wanafanya hiyo ya kukagua me. Ni kama walianza kuzidiana kete. Pengine wakipita hapa watajitambulisha. Mi nina bifu nao as walianza kukagua hata baba zao.
unaanzia sehemu gani kukagua?
Madame B mwanamke rijali ndio mwenye hiyo title...