Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

Joka kuu.

Waziri aliyekuwa anatetea ni mchagga(mramba) na ni huyu mramba ambaye huwakamua wafanyabiashara nyumbani kwake (kuwalazimisha kutoa michango kwa nguvu) akiwa na Kittlya? suala hilolilipelekwa na waziri wa kazi julai 2004 wakati kittlya yupo. na huyu mbunge alitumiwa barua august 2004. wakati huo kamishina NI Kittlya ndiye aliyeleta jeuri hiyo akijua mchagga mwenzake(mramba) atamtetea.

Joka kuu mbona una mawazo mafupi unategea nini kwa mramba ambaye anaitumia TRA kama kampuni yake binafsi ? ni kutetea uozu tu. kama alivyotetea barabara jimboni kwake. na Holili iko jimbo mwake yeye na wachagga wenzake TRA NI mali yao. si umesikia walipewa na shemeji yao(mkapa) kama asante.

Phillimon mikael (makengeza).

naona unashindwa hata kuelewa unachoandika. umeandika mwenyewe kuwa NDUGU ZAKE DITTO WAMEFANYA FUJO MAHAKAMANI, mbele unaniuliza kuwa huo si ukabila? mwenyewe na vyombo vya habari vimesema ni ndugu zake Ditopile(kuzaliwa tu mjini ni sawa sawa na form six ya Hai) sasa unasema huu ni ukabila mbona sioni logic ya swali lako?

hakuna gazeti au TV imesema hao ni watu wa kabila la ditopile ukiwaona ramadhwani mwinysheikh wa Mzuzuri wewe unasema ni ukabila una source na link ya hiyo habari? au umeamua kuzua? au ni matatizo yako ya macho yamepelekea kwenye ndugu ukaona ni kabila? kama ni matatizo ya makengeza tunakusamehe kwani hukujitakia, ila kama unazua hapa si mahala pake.

DATA nilizokupa za nssf ni za hadi june 2006 hatubahatishi wala kuja na habari nyepesi nyepesi kama zako na kama wewe una data tofauti nisute.

hayo majina uliyoweka ni ya examinations officers nimekueleza hao si lolote si chochote. na nikakupa hadi mwisho wa utendaji wao bado hujaelewa?

Joka kuu na PM.

naomba mtuambie Benny Lusege alikuwa ni officer incharge yuko juu ya examination officer wao wanapangiwa na kuripoti kwake. akaomba kwenda kusoma U.K. MASTERS aliporudi TRA akapewa kazi ya examination officer(akawa yuko chini kuliko alivyokuwa kabla ya kwenda kusoma) na baadae kutimuliwa kazi kabisa.hadi alipopeleka suala kwa waziri wa kazi..
jambo hili nimekuambieni mara nyingi tu hakuna jibu. tunaomba kwenye Hansard Mramba alisema nini? ni huyu benny aliyechomewa moto nyumba na wachagga baada ya kumuumbua FOYI(mchagga) aliyekuwa RRO dar huku ni mwizi tu.
tunaomba maelekezo.

Mwanakijiji.
umeunda tume sasa hata kazi haijaanza unaiingilia iache ifanye kazi yake. kwanini usijitie kwenye tume nawe ndiye umeiunda? kama unahisi utamiss nakupendekeza uwepo.

tulikubembeleza sana ufanye mahojiano na TRA lakini umekataa na mimi nilikutumia PM na kukueleza kwa kina umuhimu wa suala hili ujue kama majungu au laa. matokeo yake nikazushiwa nimekwambia muuza madawa na mswahili ndio akawa mada.
hongera kwa kuteua tume hii makini.
 
#7 11th March 2007, 08:28 PM
Kazi ndiyo kipimo cha utu
Senior Member Join Date: Wed Mar 2006
Posts: 410
Rep Power: 22




--------------------------------------------------------------------------------

Hivi ni nani aliandika kwenye bodi Dr. Kimei na Dr. Dau ndiyo wanaopewa nafasi kubwa kuukwaaa ugavana? m Je kuna ukweli juu ya Hili?


Kazi ndiyo kipimo cha utu
View Public Profile
Send a private message to Kazi ndiyo kipimo cha utu
Find all posts by Kazi ndiyo kipimo cha utu
Add Kazi ndiyo kipimo cha utu to Your Buddy List

#8 11th March 2007, 09:53 PM
phillemon mikael
Senior Member Join Date: Sun Nov 2006
Posts: 408
Rep Power: 21




--------------------------------------------------------------------------------

knkcu

hii mada aliiongelea mswahili kule kwenye mada ya ukabila ....kuwa majina ya huyu jamaa na dau yamepelekwa kwa muungwana..na tena hata ile kashfa ya nssf na manji[magodown na majumba waliyonunua nssf kwa kama billion 80]
ni sehemu ya kupakana matope kugombea ugavana.....so mswahili akawasiliana na chinga na wengine kuleta thread ya kumchafua kimei.....]

mimi nitakuwa observer pale nitakapopata wasaa.....kateni ishu.
 
#10 Yesterday, 12:19 AM
mswahili
Senior Member Join Date: Wed Sep 2006
Posts: 271
Rep Power: 21




--------------------------------------------------------------------------------

Phillimon mikael.

mbona unanifuatafuata bila sababu? kama umeshindwa hoja nyamaza tu.

naomba acha uongo zee zima linakuwa kila dakika linaongopa tu.

NAOMBA NIONESHE WAPI NILIANDIKA KUWA KUNA MAJINA YAMEKWENDA KWA MUUNGWANA NIKAMTAJA KIMEI KWENYE MADA YA UKABILA? KAMA KUNA KITU HICHO UKITHIBITISHA HAPA BASI MIMI SINTOENDELEA KUSHIRIKI HUMU KWANI NITAKUWA NIMEDANGANYA.

NIMELAZIMIKA KUANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUTOKANA NA MATATIZO YAKO YA KUTIZAMA MADA KIMAKENGEZA.

NAOMBA NIONESHE WAPI NIMEWASILIANA NA CHINGA AFUNGUE THREAD YA KIMEI?

kwanini unaishi kwa chuki na uongo kila dakika? mimi nina data za TRA huko Ikulu kwa Muungwana unazijua wewe.

naomba unikome kunizushia kila jambo baya nimekukosea nini? au Chinga kufungua thread ya kumfanananisha MBOWE NA CHIFUPA mnaona nae anachuki wachagga?

wanabodi.

mfuatilieni Phillimon Mikael ananinyanyasa bila sababu.basi lipueni na computer yangu kama mlivyochoma nyumba ya Benny LUSEGE WA TRA.
 
WANABODI.

hapo juu nimekopi maneno ya uongo aliyonileta Phillimon mikael aliyechangia humu ni mtu mwingine, yeye ananizushia mimi. nilimwambia toka jana kama ana ushahidi niliandika hivyo basi utakuwa mwisho wangu humu.

toka juzi hajajibu amekurupukia huku. mjadala huu uko kwenye Thread ya KIMEI ASAKA UGAVANA KWA UDI NA UVUMBA.

Phillimon utaishi hadi lini kwa kutegemea kuwazulia watu uongo? hatuchukiani hii ni forum ya kuanika uchafu katika Idara mbalimbali za serikali na binafsi usiumie sana kweli mtu unaweza kutolewa roho hivi hivi kwa kutia kitumbua mchanga.
 
mswahili,
Kesi ya huyo mama ni ya muda mrefu tangu 2001. Ndiyo Kamishna wa Kichaga amekataa kumrudisha kazini, lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba aliyemfukuza kazi mwaka 2001 hakuwa kamishna wa kichaga.

Hoja yako ingekuwa na uzito kama Kittilya[mchaga] angekiuka maamuzi ya Sanare[mmeru] na kuamua kumfukuza kazi huyo mama. Hata Waziri wa kazi amekiri kwamba huyo mama alikuwa na makosa, ila akaomba aonewe huruma tu. Hakuna sheria inayosema mtumishi wa umma akigushi na kumuibia mwajiri wake anapaswa kuhurumiwa.

Sina any knowledge kuhusu suala la Benni Lusege. Kwa msingi huo basi ninayaacha madai yako yasimame kama yalivyo.

Mheshimiwa Dua,
Hii hapa chini ni kauli ya Mbunge baada ya utetezi wa Waziri wa Fedha:

MHE. STEPHEN M. KAHUMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza ninakiri
aliyosema Waziri wa Fedha kwamba, tumefanya kazi kwa muda mrefu vizuri sana na
hatuna matatizo na ndiyo maana nilikuwa nasitasita kuzungumza wakati wa hotuba yake
ya kwanza. Sasa kilichonistusha mimi ni ile barua kwa sababu nilichangia tarehe 29
tarehe 2 ikaandikwa barua na ukichukua na yale majibu aliyoyajibu Waziri wa Kazi,

nikapewa nakala. Kwanza, mimi sikuwepo kwenye kesi, angepewa nakala aliyehukumu,
Waziri wa Kazi kwamba, hatukuikubali. Lakini maelezo aliyoyatoa Mheshimiwa Waziri,
yameniridhisha. Mimi sikujua yalivyokuwa huko ndani. Kwa hiyo, mimi namwomba
Waziri wa Fedha, tuendelee kama kawaida. (Makofi)

Nadhani majibu ya maswali yako yanapatikana ktk kauli hiyo ya Mbunge. Ikiwa huridhiki, na bado una dukuduku, nitakuwa tayari kukupa ufafanuzi zaidi.
 
Kwa vile mjadala huu utaendelea bila kukoma na ndugu zetu watetezi wa Ukabila wanaendelea kumwaga "data" nimeamua kuweka manyanga chini na kuwaacha ndugu zetu hawa washinde. Hata hivyo, kwa vile wao wanalijua tatizo hili kwa undani, nimeamua kupendekeza tume* ambayo ije na mapendekezo ya jinsi ya kuondoa ukabila huo TRA. Badala ya wao kuendelea kulalamika na kutugongelea kama msumari hii hoja ya ukabila nina uhakika watakuwa na nia na kusudi la kuamua kuondoa tatizo hilo.

NB* Mamlaka ya kuunda tume nimejipachika na hamruhusiwa kuhoji iweje "mimi" niunde tume. Tunakaa chini sasa tuone nani "atamkoma nyani giledi!"


Fungu la kuhudhuria vikao na kusafiri je:)
 
Bravo Mswahili!

Mwanangu kumkoma nyani giladi, weka vitu mwanangu lete vitu! Ndugu yangu siwezi kukuacha peke yako jangwani mkulu!
 
kwa kweli katika suala ambalo linaniumiza kichwa ni jinsi gani watanzania tumekuwa tunapenda sana kuongea na ukuta. ninaposema ukuta namaanisha kuwa tunapenda kujiongelesha bila kujua nini kitatokea na nini tunakiongelea na kama ni tatizo jinsi gani linatatuliwa.

kwanza nimpongeze sana mwana kijiji kwa kuonyesha kwamba yeye naye ana uwezo mkubwa wa kufikiria kama mimi bwana gerrard snr, nazungumza ukubwa ukinilinganisha na yule mcheza kandanda wa liverpoolfc.

bwana mwanakijiji ameuliza nini kifanyike ili kuondoa ukabila. watani zangu wengin wameshindwa lijua hili. mimi naomba niunge mkono na kutoa hoja ambatishi kwamba ni muda umefika tutafute suluhisho la matatizo tuliyonayo na sio kulalama.

kwa kuanza mie, nafikiri kwamba pale TRA,twende mimi, mwana kijiji na bwana mnyika tukafanye kazi. au mnasemaje?
 
Gerrard snr.. sasa kama mimi, wewe, mnyika n.k tumeoa uchaggani si tatizo litakuwa ni "back to square one"?
 
tutaondoaje ukabila TRA?

AHAHAHAHA POLE SANA MWANA KIJIJI. KWANI BWANA MNYIKA AMEOA TAYARI. NA YEYE AMEOA UCHAGANI. NASI KAZI KWELI KWELI.

MIE NINGEWASHAURI TU KUWA MUWAACHE WAKE ZENU MKAFANYE KAZI TRA. MAANA NAONA WOTE HAMNA AKILI. KWELI KABISA WEWE MWANA KIJIJI NA AKILI YOTE NA HUYU NDUGUYO MHYIKA NA GERRARD MNASHINDWA JIPANGA NA SOLUTION. MIE NITAKUSHAURINI MUANGALIE TENA MUSTAKABALI WA MAISHA YENU HASA KWA KUANGALIA NINI MNASOMA NA NINI MNATAKA KUFANYA.

MNYIKA MWENYIO AMEAMUA KUSOMA SIASA SIJUI ILI AWEZE KUJA KUPANGUA WATU HAPO TRA , WEWE SIJUI NI KITU GANI UMESOMA. ANGALIA. MZEE .

JIPANGE UPYA, MAARIFA TELE.
 
Kumbe Nchi Yetu Imefika Pabaya Kwa Sasa.

Kwa Hiyo Kama Unataka Kufanya Kazi Pale Tra Inabidi Usiwe Na Uhusiano Wowote Hata Wa Karibu Na Wachaga Au Waliotajwa . Du , Hii Kali...

Ikulu Usiwe Mkwere....basi Tuangalie Makabila Ambayo Yanastahili Kukaa Nyumbani
 
AHAHAHAHA POLE SANA MWANA KIJIJI. KWANI BWANA MNYIKA AMEOA TAYARI. NA YEYE AMEOA UCHAGANI. NASI KAZI KWELI KWELI.

MIE NINGEWASHAURI TU KUWA MUWAACHE WAKE ZENU MKAFANYE KAZI TRA. MAANA NAONA WOTE HAMNA AKILI. KWELI KABISA WEWE MWANA KIJIJI NA AKILI YOTE NA HUYU NDUGUYO MHYIKA NA GERRARD MNASHINDWA JIPANGA NA SOLUTION. MIE NITAKUSHAURINI MUANGALIE TENA MUSTAKABALI WA MAISHA YENU HASA KWA KUANGALIA NINI MNASOMA NA NINI MNATAKA KUFANYA.

MNYIKA MWENYIO AMEAMUA KUSOMA SIASA SIJUI ILI AWEZE KUJA KUPANGUA WATU HAPO TRA , WEWE SIJUI NI KITU GANI UMESOMA. ANGALIA. MZEE .

JIPANGE UPYA, MAARIFA TELE.


sijasoma mimi, nalima.
 
Ha ha haaaaa ..............................JembaJemba unataka alime nini?
 
Ndugu zetu wanaotetea uwepo wa ukabila TRA wamekuwa wakilalamika kuwa kwanini sijajitahidi kuwahoji watu wa TRA wakati nimejitahidi kuwahoji watu wengine wengi. Ninayo sababu. Hatimaye nimefanikiwa kuwapata mabosi kadhaa wa TRA ambao wanaujuzi na masuala haya. Nimekopi message za "Mswahili" na kuzifikisha kwa wanaohusika na kutaka maelezo ya kesi moja baada ya nyingine na mifano yote iliyotolewa na Mswahili ambayo hapa imepokelewa kama "Ujumbe toka juu" na kuitwa "ushahidi" na wengine kuita "data". Watu wameanza kuamini kuwa kuna ukabila wa Wachagga pale TRA.

Je, TRA wanasema nini? Mabosi wawili wa TRA wamekubali kushiriki kwenye mdahalo nitakaouandaa kuhusu ukabila TRA tukipitia "data" za ndugu yetu "Mswahili" moja baada ya nyingine. Hata hivyo ili mjadala huu unoge nawaomba "Mswahili" na "Dua" na mtu mwingine yeyote kama Mkandara hivi washiriki upande wa wale wanaotetea uwepo wa ukabila. Kama mko tayari ili kukata kizabizabina hiki cha ukabila tupangesiku katika ya weekend hii ya tarehe 17 na ile ya tarehe 24 kufanya majadiliano hayo kwa njia ya simu. Msiwe na shaka mitambo yangu inaweza kuunganisha hadi watu 6 kwa wakati mmoja.

Naomba mkubali ombi langu.

M. M.
 
tatizo la watu hawaelewi, wakati huo makabila hayo wengi walikuwa wasomi sasa utamwajiri mtu ambaye si msome! huo si ukabila! kwa sasa tunaweza kuzungumza kwani wengi ni wasome. walioanza mpaka wasitaafu ni leo! kwa heriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Back
Top Bottom