Huo ulikuwa wimbo wa Kapt. Komba kwenye maombolezo ya msiba wa NyerereKavideo tafadhali.
tatizo aliiacha nchi mikononi mwa wezi.Kabla ya kuaga dunia 14 October 1999, mwalimu J.K. Nyerere aliusia yafuatayo:
"Najua Nitakufa, Sitapona Ugonjwa Huu...Nawaacha Watanzania Wangu, Najua Watalia Sana Nami Nitawaombea Kwa Mungu,
Naondoka Nikiwa Nimewaachia Taifa Moja Lenye Umoja Na Amani.Wosia Wangu Kwao Waipende Nchi Yao Kama Wanavyowapenda Mama Zao.Wajue Hawana Nchi Nyingine Zaidi Ya Tanzania."
Kabla ya kuaga dunia 14 October 1999, mwalimu J.K. Nyerere aliusia yafuatayo:
"Najua Nitakufa, Sitapona Ugonjwa Huu...Nawaacha Watanzania Wangu, Najua Watalia Sana Nami Nitawaombea Kwa Mungu,
Naondoka Nikiwa Nimewaachia Taifa Moja Lenye Umoja Na Amani.Wosia Wangu Kwao Waipende Nchi Yao Kama Wanavyowapenda Mama Zao.Wajue Hawana Nchi Nyingine Zaidi Ya Tanzania."
Hizi ni hisia zako tu mzee nawewe kaibe 5tr unasubiri nini?tatizo aliiacha nchi mikononi mwa wezi.
kwa huu upigaji wa kiwango cha 1.5tr, lazima huko kaburini atakuwa anageukageuka kwa hasira mzee wa watu masikini (rip).
Yaani kwa kweli - alituachia balaatatizo aliiacha nchi mikononi mwa wezi.
kwa huu upigaji wa kiwango cha 1.5tr, lazima huko kaburini atakuwa anageukageuka kwa hasira mzee wa watu masikini (rip).
mkiambiwa huyu mtu hafai kuitwa binadamu mnakataa yaani mwalimu alipoitoa nchi hii unakuja kumuambia maneno hayo kweli ? tundu lissu inabidi akatubu la sivyo ataendelea kula majalalani maisha yake yote yaliyobaki na kuwa ombaomba milele
Genius from butiamaKabla ya kuaga dunia 14 October 1999, mwalimu J.K. Nyerere aliusia yafuatayo:
"Najua Nitakufa, Sitapona Ugonjwa Huu...Nawaacha Watanzania Wangu, Najua Watalia Sana Nami Nitawaombea Kwa Mungu,
Naondoka Nikiwa Nimewaachia Taifa Moja Lenye Umoja Na Amani.Wosia Wangu Kwao Waipende Nchi Yao Kama Wanavyowapenda Mama Zao.Wajue Hawana Nchi Nyingine Zaidi Ya Tanzania."