mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Mungu akupe pumziko la milele kazi umeifanya Baba yetu RIPKabla ya kuaga dunia 14 October 1999, mwalimu J.K. Nyerere aliusia yafuatayo:
"Najua Nitakufa, Sitapona Ugonjwa Huu...Nawaacha Watanzania Wangu, Najua Watalia Sana Nami Nitawaombea Kwa Mungu,
Naondoka Nikiwa Nimewaachia Taifa Moja Lenye Umoja Na Amani.Wosia Wangu Kwao Waipende Nchi Yao Kama Wanavyowapenda Mama Zao.Wajue Hawana Nchi Nyingine Zaidi Ya Tanzania."
Sent using Jamii Forums mobile app