Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,488
- 3,468
Kabla ya kuaga dunia 14 October 1999, mwalimu J.K. Nyerere aliusia yafuatayo:
"Najua Nitakufa, Sitapona Ugonjwa Huu...Nawaacha Watanzania Wangu, Najua Watalia Sana Nami Nitawaombea Kwa Mungu,
Naondoka Nikiwa Nimewaachia Taifa Moja Lenye Umoja Na Amani.Wosia Wangu Kwao Waipende Nchi Yao Kama Wanavyowapenda Mama Zao.Wajue Hawana Nchi Nyingine Zaidi Ya Tanzania."
"Najua Nitakufa, Sitapona Ugonjwa Huu...Nawaacha Watanzania Wangu, Najua Watalia Sana Nami Nitawaombea Kwa Mungu,
Naondoka Nikiwa Nimewaachia Taifa Moja Lenye Umoja Na Amani.Wosia Wangu Kwao Waipende Nchi Yao Kama Wanavyowapenda Mama Zao.Wajue Hawana Nchi Nyingine Zaidi Ya Tanzania."