GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
Rest In Peace Babu Julius Kambarage Nyerere na Asante kwa Zawadi yako Kuu na ya Kipekee kwa Watanzania wote kwa Kutuunganisha kuwa na Umoja, Upendo na kutokuwa Wakabila huku ukitumia Silaha Kuu Tatu za Lugha ya Kiswahili Kuzungumzia Kote, Utamaduni wa Utani kwa Makabila karibia yote ya Tanzania na Kuwachanganya Watanzania Kimaeneo ambako Mtu wa Mwanza ( Msukuma ) alikuwa akipelekwa Lindi ( kwa Wamwera ) kuishi na Kufanya Kazi mengineyo pia.
GENTAMYCINE nawaomba wana JamiiForums wote hapa popote pale mlipo Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa Watanzania Zawadi ya Malaika wake Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliyetujengea Misingi Imara ambayo inatufanya Watanzania tupendane, tuheshimiane, tuvumiliane na kubwa zaidi tuwe na hii Amani ya Kutukuka tuliyonayo hadi hii Leo.
Namuombea pia Uongozi Mwema Mheshimiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan aendeleze ile Misingi yote ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Kutunza Tunu Kuu za Tanzania na Watanzania za Amani, Upendo na Umoja.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki JamiiForums
GENTAMYCINE nawaomba wana JamiiForums wote hapa popote pale mlipo Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa Watanzania Zawadi ya Malaika wake Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliyetujengea Misingi Imara ambayo inatufanya Watanzania tupendane, tuheshimiane, tuvumiliane na kubwa zaidi tuwe na hii Amani ya Kutukuka tuliyonayo hadi hii Leo.
Namuombea pia Uongozi Mwema Mheshimiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan aendeleze ile Misingi yote ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Kutunza Tunu Kuu za Tanzania na Watanzania za Amani, Upendo na Umoja.
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki JamiiForums