sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Hilo halina ubishi mkuu.Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu
Ilo lipo wazi, ni suala la kujiuliza tu waliokuwa wanavujisha taarifa akiwa mgonjwa waliishia tu kupeleka taarifa au nini kingine walitumwa na hao wazungu? . Kuna special mission wametumia fursa ya wakati wa corona kufanya yao.Kwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu
Ni voice note sema ina matusi ya nguoni anamtukana Sir God aka Allah so nashindwa kuiweka.Kideo tafadhali tujionee vituko na makufuru.
Kama ulismkia mama samia suluhu ametamka wazi kuwa alikua anaumwa moyo kwa miaka 10 so it means kabla hata hajawa rais alikua mgonjwa tusiwasingizie wazungu tujifakari kali sana kumbuka lowasa aliambiwa ni mgonjwa atatufikia madarakan lakn tunaona wale waliotmka hayo wanaondoka mmoja mmojaKwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu
Michezo ya kikubwa hiyo uwezi elewa. Wenyewe wanaita kufix yani unatafutiwa angle yako weak unamalizwa umo umoKama ulismkia mama samia suluhu ametamka wazi kuwa alikua anaumwa moyo kwa miaka 10 so it means kabla hata hajawa rais alikua mgonjwa tusiwasingizie wazungu tujifakari kali sana kumbuka lowasa aliambiwa ni mgonjwa atatufikia madarakan lakn tunaona wale waliotmka hayo wanaondoka mmoja mmoja
Rasta kafunguka haswa yani kama una imani ndogo unaweza muelewa.Nimesikia ile clip hadi nimeogopa
Akili yako haijui neno kujiongezaKama ulismkia mama samia suluhu ametamka wazi kuwa alikua anaumwa moyo kwa miaka 10 so it means kabla hata hajawa rais alikua mgonjwa tusiwasingizie wazungu tujifakari kali sana kumbuka lowasa aliambiwa ni mgonjwa atatufikia madarakan lakn tunaona wale waliotmka hayo wanaondoka mmoja mmoja
Mkuu naomba audio hiyo PM tafadhali.Rasta kafunguka haswa yani kama una imani ndogo unaweza muelewa.
Hao hao ndo wamemtoa ili taifa ljengeke upyaKwa Magu hata mimi imeniuma sana.. akili yangu inahisi ameuwawa kwa biological weapon.
Usalama wa taifa wamezidiwa ujanja na wazungu
Watanzania ni nani aliyewarogaaa..Michezo ya kikubwa hiyo uwezi elewa. Wenyewe wanaita kufix yani unatafutiwa angle yako weak unamalizwa umo umo