Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Niache basi unanichekesha sana ujueUnacheeeka mwenyew kama nakuona vile nlivojitoa kwa ajil yko kumbe mwenzangu unanichora tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Niache basi unanichekesha sana ujueUnacheeeka mwenyew kama nakuona vile nlivojitoa kwa ajil yko kumbe mwenzangu unanichora tu.
Duh kumbe hadi nawe kwenye mapenz umo? Nljua magari tu.My dear Ex
Nimepata habari umetolewa posa
Umepata kibosile mwenye pesa
Kwangu ulifuata kiki kuishi na mimi usafirie nyota
Kweli kisichoridhiki hakiliki
Ona unavyonitesa
Kwenye harusi nitakuja nione walivyokupamba
Ninajua itaniuma ila nitajikaza
Nitaleta na zawadi nitampa mkono jamaa
Mi nilijua we ni strong woman.. Kumbe.. .Huyo huyo naemlilia ndo nampenda mkuu.
Hakuna ustrong kwenye mapenzi mpaka umove on.Mi nilijua we ni strong woman.. Kumbe.. .
Na hilo jicho ulivyolikaza. Kuna kijana anaitwa Marwa mwanafunzi Sua naskia kamnyonga mpenzi wake hadi kufa. Sasa kuwa strong maana we ndo upo kwao[emoji12]Hakuna ustrong kwenye mapenzi mpaka umove on.
Huu nuukopi ntautumia pundeMy dear X,
Naamini haukuwa mpango wa Mungu tuishi pamoja, yote yanayotokea kwenye maisha yetu yana sababu.
Sisi ni binadamu, tuna mapungufu pia. Kuishi na binadamu yahitaji uvumilivu, busara na hekima pia. Hayo tulikuwa nayo kwa kiwango kikubwa lakini niseme haikuwa imepangwa tuwe wa kufa na kuzikana.
Mimi nina amani pamoja na yote yalotekea, naanimi nawe una aamani pia.
Mungu akupe wa kufanana nawe my dear X!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkurya wangu muogaNa hilo jicho ulivyolikaza. Kuna kijana anaitwa Marwa mwanafunzi Sua naskia kamnyonga mpenzi wake hadi kufa. Sasa kuwa strong maana we ndo upo kwao[emoji12]
Mmmmh! Tutaona.. Ngoja tuwe na subira labda km si huyo unayemlilia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkurya wangu muoga
aliniacha mkuu .anapitia hali ngumu vibaya yaani Mungu ni mwema sana.halafu ananiamini sana eti mimi ndo mfariji wake ananitegemea . mimi na yeye wapi na wapi jamani? aliniacha acha tu nilivokuwa nampenda .Wacha wee, bata kwa wingi after breaker up, bbut we ndo ulimtenda au yeye alikuchoka we?
Mwanamke ukiachwa inabidi ujiangalie ulipokosea. Kweli unashindwa kumshika mwanaume asifurukute? Mbona uwezo mnao mkubwa tu sema mmekua makauzu hamtaki kutusikiliza sisi wanaume. Pole lakini haikupangwaaliniacha mkuu .anapitia hali ngumu vibaya yaani Mungu ni mwema sana.halafu ananiamini sana eti mimi ndo mfariji wake ananitegemea . mimi na yeye wapi na wapi jamani? aliniacha acha tu nilivokuwa nampenda .
wazazi wake ndo walimkataza asinioe aoe kabila lake mkuu wala hatukuwa na shida .usinilaumuMwanamke ukiachwa inabidi ujiangalie ulipokosea. Kweli unashindwa kumshika mwanaume asifurukute? Mbona uwezo mnao mkubwa tu sema mmekua makauzu hamtaki kutusikiliza sisi wanaume. Pole lakini haikupangwa
big LIKE......![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yani nmecheeeeka kifala
Kwahiyo mpaka Leo Bado unatafuta hujamapata?wazazi wake ndo walimkataza asinioe aoe kabila lake mkuu wala hatukuwa na shida .usinilaumu
hili komenti nimelielewa sana mkuuMkuu hatutakiwi kupenda 100% mapenzi yatakupoteza ni asilimia 15 tu kupenda