Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Hakunipenda yeyeHivi hicho kitu kipo hadi saivi eh? Upangiwe utaolewa na Mani? Itakuwa hamkupendana kwa dhati mkuu
Hakunipenda yeyeHivi hicho kitu kipo hadi saivi eh? Upangiwe utaolewa na Mani? Itakuwa hamkupendana kwa dhati mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawaHahaha
Ongea taratibu
My dear X,
Naamini haukuwa mpango wa Mungu tuishi pamoja, yote yanayotokea kwenye maisha yetu yana sababu.
Sisi ni binadamu, tuna mapungufu pia. Kuishi na binadamu yahitaji uvumilivu, busara na hekima pia. Hayo tulikuwa nayo kwa kiwango kikubwa lakini niseme haikuwa imepangwa tuwe wa kufa na kuzikana.
Mimi nina amani pamoja na yote yalotekea, naanimi nawe una aamani pia.
Mungu akupe wa kufanana nawe my dear X!!!
Kila siku unaachika wewe...hivi unatatizo gani lakini??ni kweli mashine tofauti na muonekano wako?aliniacha mkuu .anapitia hali ngumu vibaya yaani Mungu ni mwema sana.halafu ananiamini sana eti mimi ndo mfariji wake ananitegemea . mimi na yeye wapi na wapi jamani? aliniacha acha tu nilivokuwa nampenda .
Tatizo anaringa sana....na atazeeka na urembo wake.......Sakayo we NI m
mrembo sana, HUWEZI kuwa single bhana, labdaaaaa, coz hata me handsome but nipo single
Yamekufika shingoniUliniambia nitakukumbuka nilidhani nikauli yamkosaji kumbe nikweli aisee leo hii natamani nirudishe siku nyuma ili nianze natabia njema ila ndio hivyo ishachelewa maana tayari ulishapata boy mwingine natayari umemzalia watoto wawili (mapacha) dah aisee unaweza kulia acha2 niishie hapa
Najaribu kujiweka miguuni pa Hugo ex wako mpendwa, duh nahisi maumivu makali, kumbe ulikuwa unatafuta pa kupumzikia tu, ili ukisha kuwa okey urudi kwa mwenyewe.Ujumbe wa kwanza umwendee niliemuacha
Kwa kwel nisamehe sna skua na njia nyengine nilistahili niowe tu mtu ambae tumetoka mbal sna na kukutana na changamoto nying na tukavumiliana
Najua uneumia sna ila utaelewa tu ipo sku ila najua nilihakikisha sifanyi na ww mapenz ili usije kuumia zaid hapo baadae kila unaponifkiria natumai utaelewa why nilifanya ivo pia
Ingawa unanichukia nakutakia maisha mema
I am so sory
duuuu yani yaelekeabado unamaumivu ya kuachwaNamwambia akafie mbele, namwombea mabaya atapata mtu wa kumtesa kwani mm aliniona ni boya nilivyokuwa mwaminifu kwake
HatariiiYamekufika shingoni
Nimeipenda hiiMy dear X,
Naamini haukuwa mpango wa Mungu tuishi pamoja, yote yanayotokea kwenye maisha yetu yana sababu.
Sisi ni binadamu, tuna mapungufu pia. Kuishi na binadamu yahitaji uvumilivu, busara na hekima pia. Hayo tulikuwa nayo kwa kiwango kikubwa lakini niseme haikuwa imepangwa tuwe wa kufa na kuzikana.
Mimi nina amani pamoja na yote yalotekea, naanimi nawe una aamani pia.
Mungu akupe wa kufanana nawe my dear X!!!
Tunazidiana investment ila wengi wahanga humuDear ex pole na maswahibu niliyokufanyia nilikunyang'anya iphone niliyokununulia.. Ila muda mfup ukapata tecno ya tochi ukaniambia umenunuliwa simu mpya na dume mwingine.
Pole sana I wish ningekunyang'anya na Yale magauni.
Pole sana ndo mikasa ya mapenz my dear ex[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nafurahi aliyekuwa mke anatunzwa vizuri saana na jamaa mwanaume wa ukweli. Nafurahi sana. Aliyekuwa mke wangu kanenepa kama mbuyu.Nimeipenda hii
Sio umeachana na mtu kazi kuombeana mabaya tu
Me nkimpenda mtu napenda awe ma furaha milele whether niwe nae au tumeachana that's real luv other wise ni unafiki kusema unampenda kwa dhati kisa upo nae ila ukiachana nae umamuombea mabaya that's selfishness
Kwa nin we si ulikua unampendaNamwombea dua mbaya