Alinipenda sana, alifanya kila alichoweza ili nione thaman ya upendo wake kwangu. Alinibeea zawadi kila alipopata nafasi kwenda town. Alikuja geto akafua, alipika, akaosha vyombo, akatandika kitanda na kila kazi. Weekend alipokua haendi kazin tulishinda ndani kwangu kutwa nzima.
Sijui nilikua na akili gani aisee...Alinifumania akalia sana..nilimbembeleza anisamehe na kum promise sitorudia tena, ilibaki kidogo aniache kipindi kile lakini baada ya dada angu mmoja kumbembeleza sana akakubal kurudisha moyo wake nyuma. Nilimhakikishia sitofanya ujinga tena, akarudisha imani yake kwangu na mapenzi yakaendelea...
Lakini bado sikuacha ule mchezo japo wakat huu nliufanya kwa siri na umakin zaidi japo walikuja kuharibu wahenga tuu pale waliposema kila lenye mwanzo lina mwisho wake, wiki mbili tuu baadae akaja kunifumania tena na mwanamke yuleyule...ooh why did i hurt that innocent heart kwa kiasi kile.
Now anaonekana ana furaha na hanichukii, she calls kuuliza naendekea vipi na hali na vitu kama ivo..ameamua ku move on.,
Shida nnayopata huku sijui hata nielezeeje..janamke babe babe tuu likija hata lilale siku mbili halijishughulishi na kazi yoyote, chakula halipiki eti tukale mtaani, tukipita sehem anachagua vitu na kuweka kwene mkoba kisha ananitumbulia macho hapo anasubiri nilipe.