Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Hilo la wanawake kubadilika kwenye ndoa na kuwa tofauti na kwenye uchumba mmelitaka wenyewe wanaume kwa sababu wanawake ambao wamefikisha miaka 30 au zaidi na hawajaolewa mnawaperceive vibaya tofauti na wanaume wenye miaka 30 na kuendelea na hawajaoa na hakuna binadamu anayependa jamii imfikirie vibayaHahahahahah.
If don't want, just play fairly.
If you wanna go for equity make sure that your hands are so clean.
Just play your roles as a wife, respect your man, be a whore to your man in bed uone kama he will cheat.
Tatizo lenu maisha ya ndoa huwa mnayachukulia poa mkishazoeana. Mfano kabla ya ndoa ulikuwa unaepiga Vita manyama uzembe but baada ya kujifungua mtumbo huo ukiambiwa piga mazoezi hutaki.
Haya mbali na hilo before hamjaoana ulikuwa unajituma sana katika mapenzi style nyingi kama nini but baada ya ndoa. Akitaka chuma mboga unamwambia nimechoka na hautaki style za ajabuajabu. Kama una hamu ingiza ukojoe uniache nilale.
Though cheating is a choice.
Hivyo hii inapelekea wanawake kutaka ndoa sana kuliko wanaume kwahiyo wakipata wachumba wanajaribu kufanya kila kitu ambacho wanaume wanataka ili tu hao wanaume wawaoe sasa wakishaolewa si tayari azma yao ya kuolewa imetimia kwanini waendelee tena kujituma kama kwenye uchumba wakati walichokihitaji wameshakipata?
