Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Wanaume huwa tuna fujo sana ktk mahusiano,na ni vigumu mke kuhimili mikiki yote ya mwanaume,na ili ndoa idumu na usimgasi mkeo unajikuta unatafuta wa nje atakayeweza kuendana na hiyo mikiki
Mmhh
 

Mother con
Ukilitafakari neno la upumbavu utapata jibu,kwanza ile siku anayoamua kukupa cheo cha upumbavu ndio siku anayoacha kukupenda. Sasa anakuchukulia kama mtu dhaifu anaehitaji msaada
Kwahiyo ww hata ukienda cambodia ukarudi kama mbwa wa kienyeji atakupokea tu atakulisha ukaendelee na mambo yako uko'
Let asshole be asshole u'll sleep better
We mfuate umwambie ukweli. Umezunguka mbaali ila tumekusoma, m nakusihi uendelee kukaza
 
Unawashauri wanaume tena kama unawajua kuliko wanavyojijua.
Kwa taarifa yako mwalimu wa mapenzi wa mwanaume ni sehemu zake za siri na sio mwanamke na kwa msaada zaid mwanamke anaweza kumsadia mwanaume kwenye maombi tu tena ukimuomba kwa adabu na unyenyekevu aliyemuumba mwanaume amdhibiti kiumbe wake na sio hata mzazi wake.
Yaani kabisa unatoka mbele kabisa kuwashauri wanaume kuhusu wanawake?? Mwanaume hashauriwi kuhusu mapenzi ila matokeo ya mapenzi ndio mwalimu wa mwanaume.
 
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.
Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke ! Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!
Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.

Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"
Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"
Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.
Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu! Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.
Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu! Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.. Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi sikumoja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.

NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.
Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
maisha sio fair kila siku ninasema kama maana nishasoma uzi hapa hapa wanawake wakawa wana sema wanawapenda sana wanaume waliokwisha kuwa kwenye ndoa eti wanajua kucare na hawana usumbufu na inafikia hatua hadi wanajitongozesha sijui sisi binadamu tunakwamaga wapi ila kama tungekua tuanjua thamani zetu haya yote yasingetokea
 
Hivi kwani wanawake ndo hatupendi kudekezwa au?
ha ha ha mnapenda kudekezwa,ila ukimdekeza yule anayeongoza familia lazima amani na utulivu uwepo na kicheko kinakuwepo muda wote;mfano mwanaume akiwa home anatakiwa achukuliwe kama mtoto mdogo
 
Back
Top Bottom