Kwa sababu gani kwa sababu ya mapungufu yetu au kwani nyie hamna mapungufu yenu? Kwahiyo unataka kusema kuwa na nyie mnapokuwa na mapungufu yenu na sisi tuwacheat si ndiyo?
Hiyo siyo sababu pekee zipo sababu nyingi ambazo wanaume mnasema ndo zinawafanya mchepuke nyingine hazina kichwa wala miguu mimi naona mnafanyaga makusudi tu ila mnatumia mapungufu ya wake zenu kama ndo sababuMengine sio mapungufu no kutojielewa akishaolewa anajua amemaliza kazi,kuna wanawake wanawapangia waume zao ratiba.
Hapo mwanaume mwenye akili hawezi kuhangaika na wewe.
Hiyo siyo sababu pekee zipo sababu nyingi ambazo wanaume mnasema ndo zinawafanya mchepuke nyingine hazina kichwa wala miguu mimi naona mnafanyaga makusudi tu ila mnatumia mapungufu ya wake zenu kama ndo sababu
Ni kweli sababu ni nyingi ila kila mtu anasababu yake kucheat ikiwemo hiyo niliitaja.
Wengine ni ktk kubadilisha ladha tu,ila wengine wanasababu za msingi.
AsubutuuHuu uzi huu,wanawake watakuwa wamekaa kikao cha dharula,maana si kwa mapovu haya tunayopewa,na mtoa post ilitakiwa useme baadhi ya wanaume sio unatujulisha wote wakati wengine sisi tumetulia na ndoa zetu mpaka vyombo tunawasaidia wake zetu kuosha
Sasa mimi nawaongelea hao wanaobadilisha ladha tu wengi wao nao wakiulizwa kwanini wanachepuka wanasema eti wake zao ndo chanzo ndo hapo utagundua kuwa wanaume wengi wanaosema wanachepuka sababu ya wake zao ni waongo yaani wanawatumia wake zao kama chambo tu ila wanawake tunasingiziwa jamani looh
Kwamba huamini kama tunaosha vyombo na kupanga katika kabati au subutu ya nini?Asubutuu
Alhamdulillah tangia kumekucha saizi ndi nimeokotamo kapoint JFLingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!
Kwamba huamini kama tunaosha vyombo na kupanga katika kabati au subutu ya nini?
Inatakiwa usimpe mwanaume wako sababu ya kucheat,ukimpa sababu ananogewa si unajua tena mko tofauti.
Yote mnasababisha nyie kisha mnaanza kulalama,mwanaume anakusaidia kwa upendo wewe unageuza kuwa ni wajibu wake na kisirani juu ,sasa unadhani akimpata anaetambua thamani ya Mme lazime mpango wa kando utimieNdiyo wanaume wa siku hizi nyie ambao kila kitu mnachofanya mnadhani wake zenu wanawapanda vichwani? Nhee
daah
Mwanamke ukiwa kwenye ndoa angalia unatimiziwa mahitaji yako. Wajibu Wa Mme ni kuhakikishia familia, kula, kuvaa, watoto wanaenda shule na mambo mengine. Ukitaka kujua mmeo anamicjepuko mingap mtafariki Wa bp kila Siku.
Wanaume tuna huruma sana, huko nje kuna wanawake wenzenu tukiwaacha wataadhirika, so tunajitahidi kuwaweka Sawa na Kwa Mungu tuna thawabu.
Yote mnasababisha nyie kisha mnaanza kulalama,mwanaume anakusaidia kwa upendo wewe unageuza kuwa ni wajibu wake na kisirani juu ,sasa unadhani akimpata anaetambua thamani ya Mme lazime mpango wa kando utimie

Huu uzi huu,wanawake watakuwa wamekaa kikao cha dharula,maana si kwa mapovu haya tunayopewa,na mtoa post ilitakiwa useme baadhi ya wanaume sio unatujulisha wote wakati wengine sisi tumetulia na ndoa zetu mpaka vyombo tunawasaidia wake zetu kuosha