Ujumbe kwa rafiki yangu

Ujumbe kwa rafiki yangu

Hilo neno nimechoka mie...

linamaanisha nini Mkuu?
Ni msemo wa kwetu uzaramuni.....mazowea tuu ya matumizi yake unaweza pia kuutumia popote unapotaka kuonesha kukerekwa na jambo fulani.
mbadala wake unaweza kusema nishavurugwa au nimevurugwa.
 
Daah! Ata mie ningeshindwa mrekebisha live! Naogopa kusutwa!!! Ila wanawake wengine wamekosa haya! Ndo mana madada wa kazi wanaishia kumalizia hasira zao kwa watoto. Tena mwenye watoto muwe makini sana mnavyotreat wasaidizi wenu wa kazi!
 
Daah! Ata mie ningeshindwa mrekebisha live! Naogopa kusutwa!!! Ila wanawake wengine wamekosa haya! Ndo mana madada wa kazi wanaishia kumalizia hasira zao kwa watoto. Tena mwenye watoto muwe makini sana mnavyotreat wasaidizi wenu wa kazi!
wanawafanyia vituko tukiwa hatupo inasikitisha kwa kweli
 
Daah! Ata mie ningeshindwa mrekebisha live! Naogopa kusutwa!!! Ila wanawake wengine wamekosa haya! Ndo mana madada wa kazi wanaishia kumalizia hasira zao kwa watoto. Tena mwenye watoto muwe makini sana mnavyotreat wasaidizi wenu wa kazi!
We haujapata mtoto mkuu
 
Kweli umekuwa mama sasa, naona changes katika comments/posts zako kila nikizisoma. Naamini wake zetu watapita humu, kuna somo zito hapa...

Nipe ile namba yako nakurushia vocha..teh!!
 
Back
Top Bottom