Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Laana mwanamke anavaa viskin jeans halaf ana vimiguu kama waya za tanesco
mmmmmh!!
Laana mwanamke anavaa viskin jeans halaf ana vimiguu kama waya za tanesco
Tehe, tehe, tehe!..Laana mwanamke anavaa viskin jeans halaf ana vimiguu kama waya za tanesco
Khaaaaaaa!Laana mwanamke anavaa viskin jeans halaf ana vimiguu kama waya za tanesco
mmmmmh!!
Hii nimeirusha laivu, manake kapita kadada hapa mbele yangu nikakisia tu kwamba kana miguu manake haionekani kiurahisi lakini ana kaskin jeans ka rangi ya zambarau halaf kamepauka kwa kuvaliwa sanaTehe, tehe, tehe!..
Hahahah...lol!Unazungusha round ya bis na wenzio alafu bill ikija unaenda choon!
Usishangae chwitiii, hiyo ni laivu. Bahati nzuri nimefotoa na sim, post ijayo nitaweka na ushahidi wa pichaKhaaaaaaa!
Ni husninyo huyo, katoka hapa kwangu kavaa hivo, hivo! Eti kamepauka lol, una laana wewe!Hii nimeirusha laivu, manake kapita kadada hapa mbele yangu nikakisia tu kwamba kana miguu manake haionekani kiurahisi lakini ana kaskin jeans ka rangi ya zambarau halaf kamepauka kwa kuvaliwa sana
Hii nimeirusha laivu, manake kapita kadada hapa mbele yangu nikakisia tu kwamba kana miguu manake haionekani kiurahisi lakini ana kaskin jeans ka rangi ya zambarau halaf kamepauka kwa kuvaliwa sana
Usishangae chwitiii, hiyo ni laivu. Bahati nzuri nimefotoa na sim, post ijayo nitaweka na ushahidi wa picha
Ni husninyo huyo, katoka hapa kwangu kavaa hivo, hivo! Eti kamepauka lol, una laana wewe!
Oooooh!my swty huby,mwaaaaaaaa!Hahahah...lol!
Myfwaif hapa umeua!!
Sheria za jf haziruhusu kumwita mke mwa mtu sweetie, umepewa kibali na Rejao au una hamu ya pamanenti ban?Usishangae chwitiii, hiyo ni laivu. Bahati nzuri nimefotoa na sim, post ijayo nitaweka na ushahidi wa picha
Hiyo pia ni laana, utakuwaje na guu mpaka ushindwe kutembea?hahahahaha! Guu langu la bia hadi nashindwa kutembea.
Yote yananihusu......mpaka kuuliza blueband duka la spea.mkuu ushawahi fumaniwa?dah,isiwe na mke wa mtu
Hahahah...lol!
Myfwaif hapa umeua!!
Oooooh!my swty huby,mwaaaaaaaa!
Kuna watu wa ivo atii,yani yeye mda wote tunagida,akiona bili inakuja ndio mkojo unabana,
Hii ni laana tu!!
Khaaaaaaaaa! naomba huduma ya oksijenSheria za jf haziruhusu kumwita mke mwa mtu sweetie, umepewa kibali na Rejao au una hamu ya pamanenti ban?
Hiyo pia ni laana, utakuwaje na guu mpaka ushindwe kutembea?
Hii ni noma lol!Usishangae chwitiii, hiyo ni laivu. Bahati nzuri nimefotoa na sim, post ijayo nitaweka na ushahidi wa picha
Utakuwa na matende basihahahahaha! Guu langu la bia hadi nashindwa kutembea.