chimpa100
Member
- Mar 28, 2012
- 44
- 5
niko kibosho jimbo la mbunge wa ccm siril chami barabara inajengwa kisa kuna ziara ya rais jk,2010 alikuja kufungua kituo cha polisi okaoni akahaidi barabara na mkandarasi akijitokeza na kuhaidi ingekamilika baada ya miezi sita alipoondoka mpaka sasa ndo wanamwaga vifusi hii ni halali kwel