Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 1,734
- 3,433
Usisahau sasa mahusiano ystaboreshwa ikiwa ni pamoja na haki za LGBTQ. Usisahau Kamara Harisd ni muumini wa LGBTQ!Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha diplomasia iliyoanzishwa na watangulizi wake na sasa Tanzania tunaendelea kunufaika kupitia uhusiano huu.
Ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris nchini itaimarisha na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji.
Wewe utaendelea nyonywa hilo shimo kama kawaida yakoMarekani sio taifa la kuamini,wapo kimasilahi zaidi,kuja Kwa Kamala ni vizuri Kwa taifa ila tutegemee kuendelea kunyonywa mahala fulani
Very sad Extro 😂😂Mtakuja kushangaa ule mpango wao wa kujenga kambi ya kijeshi Kigamboni unaendelezwa wana kigamboni jiandaeni kwa fidia maana wakisema wanaendeleza Plan mtafukuzwa anytime 🤣🤣🤣
Mzee baba unazungumziaje ndoa za kulana vijambio? Na hasa ukihusianisha na ujio wa Kamala Harris.Mtakuja kushangaa ule mpango wao wa kujenga kambi ya kijeshi Kigamboni unaendelezwa wana kigamboni jiandaeni kwa fidia maana wakisema wanaendeleza Plan mtafukuzwa anytime
Hilo suala hatuwezi kulikubali maana sisi tunachokiangali ni uhusiano wa kibiashara na uwekezaji pamoja na kuimarisha uchumi wa taifa letu hayo mengine yaishie uko uko kwao hatuwezi kujivika laana hiyoUsisahau sasa mahusiano ystaboreshwa ikiwa ni pamoja na haki za LGBTQ. Usisahau Kamara Harisd ni muumini wa LGBTQ!
Hiyo kitu haipoIkiwa ni pamoja na kupokea kifurushi cha ushoga, siyo?
Nimetafakari na nimeona ujio huu utaimarisha zaidi uhusiano wa kibishara, uwekezaji na utalii na sio vingine hilo suala la ushoga halikubaliki kwa nchi yetu na Rais Samia Suluhu analikemea wazi kabisaAlipokuja Oboma wakati wa Kikwete 2013 tulipata nn said ya Obama kutuambia tu tukubali mapenz ya jinsia moja.Alipokuja Bush tulipata nn? Anakuja Kamala kusisitiza ushoga ndio maana mama hataki kupinga.Tafakali ndugu yangu .Acha kuandika vitu visivyo na maana.
Kwa kifupi wewe ni muumini wa msemo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa"! Ahahahahaha!!!Hilo suala hatuwezi kulikubali maana sisi tunachokiangali ni uhusiano wa kibiashara na uwekezaji pamoja na kuimarisha uchumi wa taifa letu hayo mengine yaishie uko uko kwao hatuwezi kujivika laana hiyo
Uwekezaji gani huo ambao haujulikani bwashee..USA ni wahuni tu wanaojipenyeza kupitia demokrasia.Mimi nachokiona watanzania tutanufaika zaidi na ziara hii maana lazima Marekani aongeze uwekezaji Tanzania na hii itasaidia kutuinua kiuchumi na kuzalisha ajira nyingi zaidi maana
hadi sasa watanzania Zaidi ya 50,000 wamepata ajira za moja kwa moja kupitia uwekezaji wa TZS trilioni 10.97 uwekezaji huo uliofanywa na marekani
ChinaMarekani ameshasaidia Taifa lipi la mfano likainuka? Waanze na Haiti! Taifa la kinafiki linaloangamiza dunia kwa sera mbovu zinazolazimishwa na ubabe wao.
Kama hata sisi binadamu tulivyo na maadui ili watutie adabu tumrudie Mungu, ndivyo Marekani nao lazima kuwe na akina Putin kuwapunguza upunguani wao.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Nini nchi ilifanikiwa ujio wa hao washenzi?,vyandarua?Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha diplomasia iliyoanzishwa na watangulizi wake na sasa Tanzania tunaendelea kunufaika kupitia uhusiano huu.
Ziara ya Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris nchini itaimarisha na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji.
Acha kukaza ubongo mzee Rais Samia Suluhu amefanya maendeleo mengi sana tena kwa kipindi cha miaka 2 tu imagine akifikisha miaka 5 au zaidi itakuajeNini nchi ilifanikiwa ujio wa hao washenzi?,vyandarua?
Tumieni akili kidogo mungu aliyowazawadia kupambanua mambo,
Ndani ya muda mchache rais hayati Magufuli amefanya Makubwa bila ziara za hao LBGTQ