Ujio wa Makamu wa Rais wa Warekani sio bahati mbaya

Usisahau sasa mahusiano ystaboreshwa ikiwa ni pamoja na haki za LGBTQ. Usisahau Kamara Harisd ni muumini wa LGBTQ!
 
Mtakuja kushangaa ule mpango wao wa kujenga kambi ya kijeshi Kigamboni unaendelezwa wana kigamboni jiandaeni kwa fidia maana wakisema wanaendeleza Plan mtafukuzwa anytime
Mzee baba unazungumziaje ndoa za kulana vijambio? Na hasa ukihusianisha na ujio wa Kamala Harris.
 
Usisahau sasa mahusiano ystaboreshwa ikiwa ni pamoja na haki za LGBTQ. Usisahau Kamara Harisd ni muumini wa LGBTQ!
Hilo suala hatuwezi kulikubali maana sisi tunachokiangali ni uhusiano wa kibiashara na uwekezaji pamoja na kuimarisha uchumi wa taifa letu hayo mengine yaishie uko uko kwao hatuwezi kujivika laana hiyo
 
Nimetafakari na nimeona ujio huu utaimarisha zaidi uhusiano wa kibishara, uwekezaji na utalii na sio vingine hilo suala la ushoga halikubaliki kwa nchi yetu na Rais Samia Suluhu analikemea wazi kabisa
 
Hilo suala hatuwezi kulikubali maana sisi tunachokiangali ni uhusiano wa kibiashara na uwekezaji pamoja na kuimarisha uchumi wa taifa letu hayo mengine yaishie uko uko kwao hatuwezi kujivika laana hiyo
Kwa kifupi wewe ni muumini wa msemo wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa"! Ahahahahaha!!!
 
Uwekezaji gani huo ambao haujulikani bwashee..USA ni wahuni tu wanaojipenyeza kupitia demokrasia.
 
Tanzania Kwa Marekani ni jicho la mbali ndio maana ilikuwa nchi ya kwanza kuweka ubalozi baada ya uhuru
 
China
 
Nini nchi ilifanikiwa ujio wa hao washenzi?,vyandarua?

Tumieni akili kidogo mungu aliyowazawadia kupambanua mambo,

Ndani ya muda mchache rais hayati Magufuli amefanya Makubwa bila ziara za hao LBGTQ
 
Nini nchi ilifanikiwa ujio wa hao washenzi?,vyandarua?

Tumieni akili kidogo mungu aliyowazawadia kupambanua mambo,

Ndani ya muda mchache rais hayati Magufuli amefanya Makubwa bila ziara za hao LBGTQ
Acha kukaza ubongo mzee Rais Samia Suluhu amefanya maendeleo mengi sana tena kwa kipindi cha miaka 2 tu imagine akifikisha miaka 5 au zaidi itakuaje

Asilimia kubwa ya nchi za Afrika zinapata msaada na mikopo kutoka Marekani kwahiyo mikopo na misaada haiepukiki kwa ajili ya maendeleo lakini pia Mwendazake alikua anakopa sana ila kwa siri
 
Ziara zote za viongozi wa Marekani lazima ziwe na maslahi fulani kwa walipa kodi wa taifa hilo.

Kazi iko huku kwetu ambako viongozi wengi hawaonekani kuwa na malengo yoyote ya kuwafaidisha wananchi wao katika majukumu yao ya kawaida achilia mbali wakifanya ziara huko ughaibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…