Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Mleta maada ni mmoja wao nini tehe tehe tehe ,maana USA ni noma ...........Kidding ..no kidding ..ahaa JOKE
Kwenye maada mimi sioni kama ni jambo jema kuweka chama itawavutia na watu wengine kujaribu just ban them.
huyu mtoa hoja anaonekana ama ni mmojawao au ni shabiki wao nasema nendeni uarabuni mkaunde hicho chama si mnajifanya mko dunia nzima?.Acheni kutaka kujaribu kuharibu utamaduni wa kitanzania kama mmenogewa na ushoga hamieni huko ulaya.Vinginevyo hasira ya wananchi itakuwa juu yenu.
Tayari kuna mchakato umeanza wa kuanzisha taasisi rasmi ya gay, lesbian, transgender Tanzanians ili kutetea maslahi yao na kutoka katika maficho yao. Mchakato umefikia mbali na wakati wowote watajitokeza ili kujiweka wazi kuwa nao wapo na taasisi yao itambuliwe rasmi. Swali - Je Tanzania nchi yenye kudai kila mtu anastahili haki "ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake".. iko tayari? Tunajua wapo na wengine ni marafiki na jamaa zetu - je tufute sheria ambazo zimepitwa na wakati kama nchi nyingi duniani zimefanya au tuendelee kudai kuwa si "uafrika na ni dhambi" wakati tunajua kuwa wapo? Mjadala is officially OPEN.
]huyu mtoa hoja anaonekana ama ni mmojawao au ni shabiki wao nasema nendeni uarabuni mkaunde hicho chama[/B] si mnajifanya mko dunia nzima?.Acheni kutaka kujaribu kuharibu utamaduni wa kitanzania kama mmenogewa na ushoga hamieni huko ulaya.Vinginevyo hasira ya wananchi itakuwa juu yenu.
Tayari kuna mchakato umeanza wa kuanzisha taasisi rasmi ya gay, lesbian, transgender Tanzanians ili kutetea maslahi yao na kutoka katika maficho yao. Mchakato umefikia mbali na wakati wowote watajitokeza ili kujiweka wazi kuwa nao wapo na taasisi yao itambuliwe rasmi. Swali - Je Tanzania nchi yenye kudai kila mtu anastahili haki "ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake".. iko tayari? Tunajua wapo na wengine ni marafiki na jamaa zetu - je tufute sheria ambazo zimepitwa na wakati kama nchi nyingi duniani zimefanya au tuendelee kudai kuwa si "uafrika na ni dhambi" wakati tunajua kuwa wapo? Mjadala is officially OPEN.