Ujio wa DP World, kuimarika kwa kundi la Ugaidi Mozambique, kudhoofu kwa Usalama Kongo na uwepo wa Alshaabaab tuviangalie kwa mapana

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,109
Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki.

Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona rasilimali za Mozambique zipo mikononi mwa msbeberu ya ili waweze kuzivuna wameondoa amani na kuweka vikosi vya kigaidi.

Hali hiyo ipo Sudani, Somalia na Congo. Tunaelewa wazi kwamba silaha zinatembezwa kwenye maji zaidi kuliko kwa ndege na usafiri wa Ardhini. Tunaelewa pia kwamba kama siyo juhudi binafsi za Magufuli na utawala wake maghaidi walishakata mizizi Kibiti ambalo ni eneo la mwambao wa bahari

Tunaelewa namna ambavyo shehena au kontena lenye silaha likifanikiwa kupita kwetu kwenda kwa majirani endapo litakamatwa tutavuruga kabisa mahusiano. Lakini tumesikia pia juzi tumeondoa vikwazo kwenye sheria ya kodi na kuruhusu madini yanayozalishwa nchi jirani yaingie Tanzania bila kikwazo; means Kongo na Mozambique wanaweza kuja kuuza madini hapa nchini. Wanapokuja kuuza uwezi jua wauzaji watakuwa waasi au genuine dealers ; uwezi jua wabia wa DP World watawekeza kwenye sekta gani nyingine.

Hivyo bandari yetu si sawa na bandari nyingine kwa sababu ikitumika vibaya itatengeneza maadui wengi ambao ni majirani zetu. Upo uwezekano tukatuhumiana kama anavyotuhumiwa uganda na hata Rwanda kwamba amepeleka watu Kongo kwenda kukwapua rasilimali.

Nataka tuwalete mezani vyombo vya dola vione kwamba wanayo kazi kubwa katika mkataba huu. TLS wameshauri vyema ila vyombo vya ulinzi na usalama wasiliona ili jambo kwa jicho la tatu tunaweza tukawa tunatafuta bajeti yakununulia zaidi silaha za kupambana na makundi ya waasi kuliko kujenga miundombinu

Tuone risks kuliko kuona fursa. Ghadafi alitengeneza mengi ila yalikuja kuharibiwa kwa muda mfupi sana .....bora tuchelewe kuendelea tuendelee tukiwa salama kuliko kuwahi kuendelea then tukalibomoa Taifa kutoka kuwa mkombozi wa Afrika tukageuka mgombanishi wa Afrika.
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki.

Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona rasilimali za Mozambique zipo mikononi mwa msbeberu ya ili waweze kuzivuna wameondoa amani na kuweka vikosi vya kigaidi.

Hali hiyo ipo Sudani, Somalia na Congo. Tunaelewa wazi kwamba silaha zinatembezwa kwenye maji zaidi kuliko kwa ndege na usafiri wa Ardhini. Tunaelewa pia kwamba kama siyo juhudi binafsi za Magufuli na utawala wake maghaidi walishakata mizizi Kibiti ambalo ni eneo la mwambao wa bahari

Tunaelewa namna ambavyo shehena au kontena lenye silaha likifanikiwa kupita kwetu kwenda kwa majirani endapo litakamatwa tutavuruga kabisa mahusiano. Lakini tumesikia pia juzi tumeondoa vikwazo kwenye sheria ya kodi na kuruhusu madini yanayozalishwa nchi jirani yaingie Tanzania bila kikwazo; means Kongo na Mozambique wanaweza kuja kuuza madini hapa nchini. Wanapokuja kuuza uwezi jua wauzaji watakuwa waasi au genuine dealers ; uwezi jua wabia wa DP World watawekeza kwenye sekta gani nyingine.

Hivyo bandari yetu si sawa na bandari nyingine kwa sababu ikitumika vibaya itatengeneza maadui wengi ambao ni majirani zetu. Upo uwezekano tukatuhumiana kama anavyotuhumiwa uganda na hata Rwanda kwamba amepeleka watu Kongo kwenda kukwapua rasilimali.

Nataka tuwalete mezani vyombo vya dola vione kwamba wanayo kazi kubwa katika mkataba huu. TLS wameshauri vyema ila vyombo vya ulinzi na usalama wasiliona ili jambo kwa jicho la tatu tunaweza tukawa tunatafuta bajeti yakununulia zaidi silaha za kupambana na makundi ya waasi kuliko kujenga miundombinu

Tuone risks kuliko kuona fursa. Ghadafi alitengeneza mengi ila yalikuja kuharibiwa kwa muda mfupi sana .....bora tuchelewe kuendelea tuendelee tukiwa salama kuliko kuwahi kuendelea then tukalibomoa Taifa kutoka kuwa mkombozi wa Afrika tukageuka mgombanishi wa Afrika.
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki.

Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona rasilimali za Mozambique zipo mikononi mwa msbeberu ya ili waweze kuzivuna wameondoa amani na kuweka vikosi vya kigaidi.

Hali hiyo ipo Sudani, Somalia na Congo. Tunaelewa wazi kwamba silaha zinatembezwa kwenye maji zaidi kuliko kwa ndege na usafiri wa Ardhini. Tunaelewa pia kwamba kama siyo juhudi binafsi za Magufuli na utawala wake maghaidi walishakata mizizi Kibiti ambalo ni eneo la mwambao wa bahari

Tunaelewa namna ambavyo shehena au kontena lenye silaha likifanikiwa kupita kwetu kwenda kwa majirani endapo litakamatwa tutavuruga kabisa mahusiano. Lakini tumesikia pia juzi tumeondoa vikwazo kwenye sheria ya kodi na kuruhusu madini yanayozalishwa nchi jirani yaingie Tanzania bila kikwazo; means Kongo na Mozambique wanaweza kuja kuuza madini hapa nchini. Wanapokuja kuuza uwezi jua wauzaji watakuwa waasi au genuine dealers ; uwezi jua wabia wa DP World watawekeza kwenye sekta gani nyingine.

Hivyo bandari yetu si sawa na bandari nyingine kwa sababu ikitumika vibaya itatengeneza maadui wengi ambao ni majirani zetu. Upo uwezekano tukatuhumiana kama anavyotuhumiwa uganda na hata Rwanda kwamba amepeleka watu Kongo kwenda kukwapua rasilimali.

Nataka tuwalete mezani vyombo vya dola vione kwamba wanayo kazi kubwa katika mkataba huu. TLS wameshauri vyema ila vyombo vya ulinzi na usalama wasiliona ili jambo kwa jicho la tatu tunaweza tukawa tunatafuta bajeti yakununulia zaidi silaha za kupambana na makundi ya waasi kuliko kujenga miundombinu

Tuone risks kuliko kuona fursa. Ghadafi alitengeneza mengi ila yalikuja kuharibiwa kwa muda mfupi sana .....bora tuchelewe kuendelea tuendelee tukiwa salama kuliko kuwahi kuendelea then tukalibomoa Taifa kutoka kuwa mkombozi wa Afrika tukageuka mgombanishi wa Afrika.
Siasa nyiiiingi za kibaguzi, TICTS wamekaa pale bandarini miaka 22 nini kimetokea kibaya kwa Tanzania?.

Hizi ni nyuzi za kuteka akili za kijinga zilizojaa huko mitaani, huyo DP anakwenda kupangishwa katika eneo mojawapo la bandari na sio zaidi ya hapo.
 
Wana usalama wetu wanasubiri maandamano ya 22nd July :) :) pole Tanganyika muda si mwingi na wewe utapigwa mnada.
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki.

Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona rasilimali za Mozambique zipo mikononi mwa msbeberu ya ili waweze kuzivuna wameondoa amani na kuweka vikosi vya kigaidi.

Hali hiyo ipo Sudani, Somalia na Congo. Tunaelewa wazi kwamba silaha zinatembezwa kwenye maji zaidi kuliko kwa ndege na usafiri wa Ardhini. Tunaelewa pia kwamba kama siyo juhudi binafsi za Magufuli na utawala wake maghaidi walishakata mizizi Kibiti ambalo ni eneo la mwambao wa bahari

Tunaelewa namna ambavyo shehena au kontena lenye silaha likifanikiwa kupita kwetu kwenda kwa majirani endapo litakamatwa tutavuruga kabisa mahusiano. Lakini tumesikia pia juzi tumeondoa vikwazo kwenye sheria ya kodi na kuruhusu madini yanayozalishwa nchi jirani yaingie Tanzania bila kikwazo; means Kongo na Mozambique wanaweza kuja kuuza madini hapa nchini. Wanapokuja kuuza uwezi jua wauzaji watakuwa waasi au genuine dealers ; uwezi jua wabia wa DP World watawekeza kwenye sekta gani nyingine.

Hivyo bandari yetu si sawa na bandari nyingine kwa sababu ikitumika vibaya itatengeneza maadui wengi ambao ni majirani zetu. Upo uwezekano tukatuhumiana kama anavyotuhumiwa uganda na hata Rwanda kwamba amepeleka watu Kongo kwenda kukwapua rasilimali.

Nataka tuwalete mezani vyombo vya dola vione kwamba wanayo kazi kubwa katika mkataba huu. TLS wameshauri vyema ila vyombo vya ulinzi na usalama wasiliona ili jambo kwa jicho la tatu tunaweza tukawa tunatafuta bajeti yakununulia zaidi silaha za kupambana na makundi ya waasi kuliko kujenga miundombinu

Tuone risks kuliko kuona fursa. Ghadafi alitengeneza mengi ila yalikuja kuharibiwa kwa muda mfupi sana .....bora tuchelewe kuendelea tuendelee tukiwa salama kuliko kuwahi kuendelea then tukalibomoa Taifa kutoka kuwa mkombozi wa Afrika tukageuka mgombanishi wa Afrika.
Mkuu umeandika ambalo wengi hawalioni!
Hii depii something ni kuruhusu ugaidi katika Bara la Africa..
Watawala mnasikia lakini?
 
  • Mshangao
Reactions: K11
Tunaelewa pia kwamba kama siyo juhudi binafsi za Magufuli na utawala wake maghaidi walishakata mizizi Kibiti ambalo ni eneo la mwambao wa bahari
Hakuna cha ugaidi wala nini nchi ina udini sana hii mitaani watu kibao wamepotea hadi leo hawajulikani walipo mtu akionekana amefuga ndevu tu tayari anaitwa gaidi lakini na yeye kawafuata huko akapambane nao tena.
Mtu unakuwa na roho mbaya kama nini!
 
  • Dislike
Reactions: K11
Tanzania ni nchi pekee ambayo kwa sasa imekaa eneo la kimkakati ambalo lisipolindwa vyema ipo hatari mataifa ya magharibi yakapenya na kutuondolea kabisa amani iliyopo kwenye ukanda wa bahari na Afrika Mashariki.

Tunapowaza kuhusu DP world kuja kiuchumi lazima pia tuangalie kiusalama. Tumeona rasilimali za Mozambique zipo mikononi mwa msbeberu ya ili waweze kuzivuna wameondoa amani na kuweka vikosi vya kigaidi.

Hali hiyo ipo Sudani, Somalia na Congo. Tunaelewa wazi kwamba silaha zinatembezwa kwenye maji zaidi kuliko kwa ndege na usafiri wa Ardhini. Tunaelewa pia kwamba kama siyo juhudi binafsi za Magufuli na utawala wake maghaidi walishakata mizizi Kibiti ambalo ni eneo la mwambao wa bahari

Tunaelewa namna ambavyo shehena au kontena lenye silaha likifanikiwa kupita kwetu kwenda kwa majirani endapo litakamatwa tutavuruga kabisa mahusiano. Lakini tumesikia pia juzi tumeondoa vikwazo kwenye sheria ya kodi na kuruhusu madini yanayozalishwa nchi jirani yaingie Tanzania bila kikwazo; means Kongo na Mozambique wanaweza kuja kuuza madini hapa nchini. Wanapokuja kuuza uwezi jua wauzaji watakuwa waasi au genuine dealers ; uwezi jua wabia wa DP World watawekeza kwenye sekta gani nyingine.

Hivyo bandari yetu si sawa na bandari nyingine kwa sababu ikitumika vibaya itatengeneza maadui wengi ambao ni majirani zetu. Upo uwezekano tukatuhumiana kama anavyotuhumiwa uganda na hata Rwanda kwamba amepeleka watu Kongo kwenda kukwapua rasilimali.

Nataka tuwalete mezani vyombo vya dola vione kwamba wanayo kazi kubwa katika mkataba huu. TLS wameshauri vyema ila vyombo vya ulinzi na usalama wasiliona ili jambo kwa jicho la tatu tunaweza tukawa tunatafuta bajeti yakununulia zaidi silaha za kupambana na makundi ya waasi kuliko kujenga miundombinu

Tuone risks kuliko kuona fursa. Ghadafi alitengeneza mengi ila yalikuja kuharibiwa kwa muda mfupi sana .....bora tuchelewe kuendelea tuendelee tukiwa salama kuliko kuwahi kuendelea then tukalibomoa Taifa kutoka kuwa mkombozi wa Afrika tukageuka mgombanishi wa Afrika.
Wasiwasi wako kuhusu bandari unakuja baada ya DP World kutaka kuwekeza hapa TPA?. TICTS wamekaa miaka 22 pale mahali na ugaidi umeendelea kufanyika kule Msumbiji, haukuwahi kuja na mada zenye kuwahisi vibaya hao TICTS hata mara moja.

Mada yako imeficha ubaguzi fulani dhidi ya hao wawekezaji, nadhani ni masuala ya ukristo na uislam yanakutesa.

Mwarabu hatakuwa na nguvu kuliko vyombo vyetu vya ulinzi vilivyo kazini muda wote.
 
Siasa nyiiiingi za kibaguzi, TICTS wamekaa pale bandarini miaka 22 nini kimetokea kibaya kwa Tanzania?.

Hizi ni nyuzi za kuteka akili za kijinga zilizojaa huko mitaani, huyo DP anakwenda kupangishwa katika eneo mojawapo la bandari na sio zaidi ya hapo.
Kuna wananchi 76 walialikwa kushiriki kujadili mkataba kama geresha bwege, kati yao alihudhuria mmoja tu, 75 walishiriki kwa e- mail. IGA inakunzana na sheria ya manunuzi kifungu 64 (Procurement Act), hakuna tenda, njia za uchochoroni tu.
 
Wasiwasi wako kuhusu bandari unakuja baada ya DP World kutaka kuwekeza hapa TPA?. TICTS wamekaa miaka 22 pale mahali na ugaidi umeendelea kufanyika kule Msumbiji, haukuwahi kuja na mada zenye kuwahisi vibaya hao TICTS hata mara moja.

Mada yako imeficha ubaguzi fulani dhidi ya hao wawekezaji, nadhani ni masuala ya ukristo na uislam yanakutesa.

Mwarabu hatakuwa na nguvu kuliko vyombo vyetu vya ulinzi vilivyo kazini muda wote.
Mkataba unasema "nchi mbili" , nchi ya pili ni ipi? DUBAI? Dubai ni nchi? Msitetee mkataba wa Kimangungo, mkataba wa kipuuzi.
 
Kuna wananchi 76 walialikwa kushiriki kujadili mkataba kama geresha bwege, kati yao alihudhuria mmoja tu, 75 walishiriki kwa e- mail. IGA inakunzana na sheria ya manunuzi kifungu 64 (Procurement Act), hakuna tenda, njia za uchochoroni tu.
DP World mwenye meli 400 unamlinganisha na kampuni gani duniani kwenye masuala ya logistics kwa sasa?.

Kainunua shipping line ya P & O Nedlloyd utamlinganisha na nani kwenye sekta hiyo na aweze kumfikia?.

Ule ule ujuaji wa kitanzania, ashinde na kampuni gani kwa mfano kwenye masuala ya logistics?.
 
Mkataba unasema "nchi mbili" , nchi ya pili ni ipi? DUBAI? Dubai ni nchi? Msitetee mkataba wa Kimangungo, mkataba wa kipuuzi.
Chambua mkataba mzima sio kujikita kwenye vifungu viwili vitatu, kosa lile lile la kina Mwabukusi.

Dubai ni sehemu ya UAE na katiba yao inaruhusu ufanyaji wa biashara za kimataifa.
 
Back
Top Bottom