Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

Watanzania ni wavivu sana kusoma, ni wepesi kulalamika na hata wakisoma kitu ni wepesi wa kusahau, wali soma nini!, kila kitu kilielezna kwa maandishi kwenye ile IGA, kawa baada ya DPW kupewa HGA, kukitokea fursa zozote za uwekezaji kwenye Bandar zozote Tanzania, DPW pia wataalikwa, kwa vile Mao tayari capo nchini, ukitokea ushindani wowote, wao wana comparative advantage, kwasababu was tayari wapo nchini.
Kiukweli sii Watanzania sio tuu tuko very poor kwenye business lobbying and advocacy, bali ni kama tuko zero kwenye economic inteligence, hili la DPW tulipaswa tulibaini kitambo!, Rwanda haina bandari, hivyo tulipoona DPW wanajenga a dry port Kigali, watu wetu wa economical inteligence, walipaswa hili walione!, wakati wa maonyesho ya Expo Dubai, DPW akaisponsor Tanzania, tukasombelea watt Dubai, tukijua huyu ni msamaria mwema, kumbe watu wanaona mbali!.
P
We kaka utakuwa na matatizo, si wewe ulitetea sana hiyo IGA ukasema siyo mkatataba? Siku ya hukumu moto wenu utakuwa special
 
Watafanikiwa kila jambo kwa nguvu ya fedha
Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.

Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.

Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
 
Kuna maeneo umepotosha. Sijui kwa kukosa kumbukumbu au ni kwa kukusudia!!

IGA ile ya kishenzi inasema kuwa, kwenye maeneo yote ya nchi, baharini, maziwa mpaka kwenye mito, kukihitajika kufanyika uwekezaji, Serikali hairuhusiwi kumpa mwekezaji mwingine yeyote, bali italazimika kuitaarifu DPW. Sharti hili ni miongoni mwa vipengere vya kishenzi, na bahati mbaya kuna washenzi watanzania wenzetu wakauunga mkono mkataba huo Mama wa IGA unaosimamia mikataba yote midogo ya HGA.
Huyo pascal namuonaga ni wakaida sana kifikra alafu ni mnafki
Wananchi wengi wamelalamikia huo mkataba alafu yeye anawalaumu wananchi eti wana upeo ndogo ni mtu wa ajabu sana upeo wake ni mdogo sana

Na huyo pascal hiyo IGA aliitetea sana alisema sio mkataba leo anawalaumu wananchi

Serekali ya ccm imeshawadharau sana wananchi mambo mengi wanafanya kibabe
 
Nchi siku watanzania watakuja kumuelewa Tundu lisu hata kama ni miaka 100 iijayo?!! ndipo history itawa frame ccm kama lobengula na mangungo
 
Ni vizuri pia wakawaone watz wenzao halisi wakishughulika na kujishughulisha na shughuli zao za kila siku katika jamii zao naamini watajifunza kitu
Kuna watu hawapajui Kigoma,Mtwara,Kyela itabidi waanze kugoogle vituo vyao vipya vya kazi
 
Tunamtaka Mwabukusi awashe moto mwingine. Watanganyika hawaelewi lolote linaloendelea na athari zake.
Bora akae kimya tu, watanzania hata wakielewa bado huchagua kuwa wanafiki.
Kama linalosemwa ni kweli watapiga kelele wenyewe wakianza kuhamishwa kwenye ardhi zao.
 
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.

Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Nani alikwambia? Tulichosikia sisi ni kuwa Gati 3 za Dar ni mwanzo tu lakini Tanzania ilitaka kuboresha Mtwara na Nansio, itabidi wawaambie DPW ili nao waweze kushitiko kwenye maombi ya kuziendeleza.
 
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.

Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Unapoongelea askofu unaongelea PhD holder. TEC waliponga tukawaona wajinga.
 
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.

Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
Hawa wakuu wetu wajinga na wasio na maarifa ya dunia. Nani anayechochea vita Sudan, si hawa hawa wa Imarati? Mmewapa bandari watashindwa kuingiza silaha? Na Usalama wenyewe ni huo hata Magufuli auawa hadi leo hakuna hata taarifa ya utafiti. Pumbavu nchi hii!
 
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.

Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .

Kwani Mbowe na Lissu walivyokuwa wanasema ni maeneo yote tanzania nzima hadi kwenye maziwa huko DP world wamechukua mlikuwa mnajua masikhara?
 
DUBAI wamebakiza kuchukua ATCL, Ngorongoro, mlima Kilimanjaro na Tanesco.
Mwendokasi Kibindoni
Bandari zote mpaka Nansio Ukerewe.
Hivi watanzania tumejenga vyuo vikuu vingi vya Nini? Mbona shughuli zote zinazohusu management tunawapa wageni?
Tunawaamini waarabu kuliko vijana tulio wakaanga wenyewe? Hivi Dubai Kuna watu wangapi Hadi waje kutuelekeza kazi zetu sisi milioni 66????
 
Ni sawa kuhoji, Huenda DPW ikakosa wafanyakazi wazoefu iwapo wengi wataamua kubaki serikalini hivyo wakaamua kutanua wigo wa wafanyakazi wa bandari walio tayari kuamia DPW
Lakn si wangetoa tangazo la kazi la kuwalenga walioko kazini kuliko kuwambia wanaotaka kubaki TPA au kwenda DPW wajiandikishe ukizingatia hizo bandari hazimhusu.Je kesho wakipeleka hilo tangazo TRA nchi nzima itaeleweka kweli?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom