Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Kwani hao wanaodhulumu wanadhulumu kwa sababu ya uislam wao? maana kuna wakristo wengi hasa walio CCM wanatetea huo mkataba.
ninachojua Ukristo unahitaji wakristo kuipigania haki na kupinga dhuluma na wizi …