'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi


Punguza jazba!

Kwanza nakupa pole kama ulianzisha kijishule ukidhani ni mradi wa kujipatia kipato. Elimu ni huduma kwa jamii na ndivyo ilivyo ktk nchi zote duniani. Hapa kwetu hao wanaojiita wenye shule binafsi wamekimbilia wakidhani ni biashara na wanajaribu sana kuendesha elimu kama biashara. Ada za kipuuzi kabisa, au ada wastani na kuongeza mambo ya kipuuzi.

Mara mchango wa maktaba, mara mchango wa gari la shule, mara mchango wa masomo ya kompyuta, nk.

Usilaani maamuzi ya ikulu. ukitaka biashara fungua guest house au restaurant. Pamba utakavyo, pika na weka viungo utakavyo kuvutia wateja. Elimu, Hapanaaa! lazima iongozwe na serikali. Kama unataka kuwachezea disco wanafunzi wako kila siku jioni kwa gharama za wazazi, acha! hao ni vijana wa Taifa la Tanzania.
 
Mi nimemuelewa mtoa mada,japo nnaukakasi kidogo juu ya hoja yake ila nipo upande wake, kiufupi serikali inataka kujificha nyuma ya shule binafsi ili ionekane inajali elimu kwa ada elekezi, iboreshe shule zake hizo zenyewe zitakufa kifo cha asili kama yalivokufa mashirika ya umma na mengne yamebaki kwa mwendo wa jongoo..Nenda posta huwa nacheka mpka.. walivokuwa na jeur enzi zao hata siamini
 
Bila shaka ww ni mnufaika... kazi moja wapo ya serikali ni kuwa regulator kwamba matendo ya watu binafsi kwenye secta zenye public interests lazima yatazamwe kwa undani hasa athari zake kwa jamii
Hivyo basi ni jukumu la serikali ku regulate elimu kwasababu ni jukumu lake ku assure elimu bora kwa jamii
Ukija kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa sealing and floating prices kwahiyo lazima ada ziwe regulated wala siyo ombi kwakua elimu ni public interest
NB: shule za serikali zita compete vp na private wkt private wanatoza bei za ajabu na kupora walimu wote wazuri toka serikalini kwakua wana uhakika wa kuwamwagia mapesa?
 
Duh huyu jamaa anatukana taasis ya rais sijui jeuri anatoa wapi.
 

Mleta mada Ubongo wako hauna mawasiliano na ulichokiandika.Ugolo mtupu.
 
We sema2 kama unataka kuendelea kukuza ada ya shule yako maake unajua wanafunz hawawez kuama baada ya kuanza
 

Hili nalo ni Jipu linaloanza kuiva!....
Akiri za Nyumbu wa Ufipa hizi!...
 
Kama Serikali inatoa waraka juu ya bei elekezi katika bidhaa kama mafuta au kwenye vyombo vya usafiri kwanini isiwe kwenye shule? Jiandae kisaikolojolia na kishule chako hicho
 
Kwenye suala la ada elekezi kwa shule binafsi hata sikubaliani naye Dr Magufuli,hizi shule zina miundombinu mizuri,zinaajiri mpaka wafanyakazi wa kawaida wasio na utaalamu wowote kama vile watunzaji mazingira na wapishi.Pia zinajitahidi kuajiri Walimu wazuri kwa malipo mazuri.Isitoshe hizi shule haziwalazimishi wazazi au walezi kuwapeleka vijana wao huko,ni utashi wao tu ndio unaowapeleka huko.
 
Shule sio biashara wewe kama mnataka biashara kafungueni mabelo ya mitumba
 
Na sasa tutaangalia ulipotoa pesa ya kuanzishia hiyo shule yako.
 
subiri hayo maelekezi ndo ujue una hoja ya kuanzisha uzi au la. Ewura na sumatra hulalamiki. Hapa umeguswa nini ?

nakemea mifumo yote ya kupanga bei. Ewura na sumatra wakiwemo pia. Makampuni binafsi ya maji na umeme yakianzishwa na kutoa huduma zile zile hakuna atakayeteswa na ukiritimba wa mamlaka za maji na tanesco. Hivyo hivyo katika usafiri: Reli, majini, na angani.
 
Hivi vituo vya mafuta kumbe vyote vimejengwa na serikali ndiyo maana vimeundiwa EWURA???.
Wewe mdau wa shule kajipange upya ila kwa sababu hiz ulizotoa kwenye thread yako hazina mashiko.
Kila jambo linahitaji mwongozo na taratibu zake.
 
Hiz shule ni za kufuta kabisa, zmesababisha matabaka katika jamii alafu zilikuwa zinachangia kwa watumishi wa umma kupiga madili ili waweze kumudu hizo ada ili watutambie sisi masikini kwamba watoto wao wanasoma shule za gharama.
 
Huyu hedimasta mbona atakoma leo...........atajutraaaaa..........
 

idai serikali yako ikupe mrejesho wa kodi yako kwa kukujengea shule na kuajiri walimu wenye sifa na viwango. Wapewe pia maslahi mazuri na dhana za kufundishia .kwa ujumla mazingira ya kujifunzia na kufundishia yawe mazuri.
 
Ukimkimbiza chini uchi kunakuwa hakuna tofauti yako na huyo chizi. Hata mumueleweshe vp hataelewa.anawaza kufilisika tu huyo baada ya bei elekezi .
 

naunga mkonyo hoja! Gamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…