'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

Watu mnamtukana mleta mada wakati kaleta mawazo yake. Kwani hizo shule za private ambazo unalipa mamilioni mmelazimishwa kupeleka watoto huko?

Ni sawa na maduka ya nguo yapo yanayouza nguo flani kwa elfu kumi ila nguo hiyohiyo kwingine ikauzwa laki mbili, hujalazimishwa kununua.

Hapa mamlaka husika imekosea kabisa, wapewe shule kila mwanafunzi akilipa buku kwa siku tuone kama wataweza kutumia hiyo hela kumlisha mwanafunzi milo mitatu na kulipa walimu. It is stupid, yani hilo hata kilaza analiona wazi kabisa.

Hata wewe haujaelewa pia, swala hapa ni sheria za nchi, tuna sheria ya Elimu ambayo inasema kwamba Elimu yetu siyo biashara na serikali ndiyo inayopanga ada au ada elekezi na hakuna anayeruhusiwa kuongeza ada ya shule bila ya idhaa ya kamishna wa Elimu hiyo ndiyo sheria yetu ya Elimu inavyosema na ambayo kila mwenye shule kabla ya kupata kibali cha kufungua shule yake ameipewa akaisoma na kuikubali akasaini na kupewa kibali cha kuanzisha shule, sasa iweje leo hii Serikali inavyotaka kutekeleza jinsi sheria yetu ya Elimu inavyoelekeza wenye shule wapinge?

 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

Wewe ndiyr Mjinga. Hakuna Serikali yeyote inayoongozwa na Rais makini ikaachia watu wajipangie ada hovyo hovyo tu kwa kisingizio cha elimu bora.

Huduma zozote hata kama ni binafsi lazima ziwekewe udhibiti maalum.

Subiri ada Elekezi.
 
Nyinyi ndio mliofanya wafanyakazi wawe wezi, ada kila mwaka juu , kodi za nyumba zinapaa , bidhaa muhimu zinafumka tu bei ....hakuna true free economy dunia nzima ....kuna public goods lazima serikali iwe na mkono ...

Hawa wenye shule za private wapumbavu kweli, waliniuzi sana walipomfukuza kijana wangu shule eti alipe laki mbili kwa ajiri ya ujenzi wa maabara na wakakomenti eti kumbuka hili ni agizo la rais nchi nzima kila shule iwe na maabara. Mm nikajiuliza sasa kwa shule binafsi mm ndio najenga maabara?

Walikomaa mpaka nikalipa
 
Ngoja nitafute jina la kukufaa mleta mada then nitarudi....

Na kama CHAKA lako linakaribia kuungua tafuta lingine haraka.....
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

Aisehh,mbona jasho linakutoka hivyo, hebu punguza muhemko, jaziba nk eh nini shida unahemea juu juu hivyo?nyie wenye shule binafsi tena usijaribu kutukana serikali, nyie ndo huwa mnafanya maisha ya mtanzania kuwa magumu na yenye stressful kwa hizo gharama zenu za ada kuzifanya juu kuliko maelezo na mnazo badirisha kila wakati hasa mnavyo jiskia nyie, na ndo upelekea kutugawa watanzania kwenye makundi ya wenye nacho na wasio nacho, acheni tamaa isiyo taka kulenga kusaidia na ni vyema kufanya ada iwe ya wastani ili kila mtu aweze ku-afford na sio vinginevyo, sasa mhe raisi JPM ameshaliona hilo na mlengo wake ni kusaidia watanzania kupata affordable education,na sio kitu kigeni serikali na mamlaka zake kuingilia sehemu zinazo simamia kurekebisha bei ambazo watu wanakurupuka na kuweka bei wanazotaka wenyewe tena ufungee😷,
 
Sera ilikuwepo,ipo na itaendelea kuwepo,kilichokuwa kimekosekana ni implementation tu,hakuna uhuru usio na mipaka na bila usimamizi ni ngumu kuiona mipaka,hili ni jema vinginevyo shule hizo zingewahusu wale mafisadi wanaoficha mabilioni mchagoni huku matrillioni yamejipumzikia bank,na kwa kuwa zama za mafisadi zinakwenda kuwa historia ni muhimu sasa hata hizo ada ziwe regulated.
Chunga ulimi wako mkuu neno ujinga kwenye ikulu ya JPM sio mahali pake unlless kama hujui maana ya neno ujinga.wenye shule binafsi tuache kulia lia ukiona biashara ya shule imekushinda kachome mahindi kijijini,serikali haiwezi kuacha kutekeleza sera zake kwa kukuendekeza wewe unayetaka utajiri wa haraka haraka kwa mtindo wa kuwanyonya wananchi,ukishangaa ada elekezi siku utaamka utakuta zimefutwa kabisa,mbona serikali kwa sasa ina shule nyingi tu za kutosha?
 
mtoa mada anataka kuyageuzageuza ujinga ili aonekane fisadi papa kuwa angefaa.
ila namshauri akaye kimya aone kazi anayofanya DR JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
 
Si uhame tu ukafungue shule zako sehemu ambazo mnaruhusiwa kujipangia ada. Wapuuzi sana nyie kila mwaka ada inapanda chakushangaza mkaanza kukataa hata shs mnataka dola, shame on you.
 
Ushindwe na Ulegee naona wewe ni mfaidika na ulaji haramu wa KEKI ya TAIFA
 
pole mkuu! inchi haiwezi kuwa hivyo mpaka kuwe na ada elekezi

ndio amri ishatoka, ukitaka kufunga shule we funga tu. ibadili kwa matumizimengine

naogopa kukufundisha au kukuelekeza kwa upana na undani, maana akili yako hajawa tayari

Hili ni taifa, sio kijiwe cha wakimbizi

Ilifikia sasa mzazi ikifika December sherehe za xmass na mwaka mpya unazichukia kwa ajili ya hawa washenzi wakubwa maana bei ya ada utadhani unainunuwa shele yenyewe, kwa hili Serikali ikiweza kulisimamia ipasavyo watawin miyo ya Watanzania, cha msingi serikali hii ijiweke mbali na ccm, ccm ndio wahusika wakuu wa uhalifu huu maana hata shule zao wenyewe za wazazi wameziuwa wakati zilikuwa ndio tegemeo miaka yetu huko nyuma.
 
Hawa wenye shule za private wapumbavu kweli, waliniuzi sana walipomfukuza kijana wangu shule eti alipe laki mbili kwa ajiri ya ujenzi wa maabara na wakakomenti eti kumbuka hili ni agizo la rais nchi nzima kila shule iwe na maabara. Mm nikajiuliza sasa kwa shule binafsi mm ndio najenga maabara?

Walikomaa mpaka nikalipa

Elimu ikifanywa biashara in hatari.....serikali ilijisahau tu ....hawa wafanyabiashara ndio wanaohujumu public school ili zao ziaminiwe, wamehujumu shirika la reli ili mabasi na malori yao yafanye kazi, hata hujuma kwa ATC na mashirika mengine .....hii ni kwakuwa viongozi wenyewe na familia zao ni wajasiriamali .....taifa lilishajifia ...
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta! Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi". Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule! Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?! Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!


inawezekana umeguswa na ndiyo maana unaona ni ujinga
- Walipopanga nauli za daladala na mabasi hukuona ni ujinga, ulifurahia kabisa na kuona ni sawa
- Walipopanga bei elekezi za petrol na diezel hukuona ni ujinga
- Walipopanga bei elekezi za umeme na maji hukuona ni ujinga
- Walipopanga bei elekezi za ada za vyuo vikuu uliona ni sawa

sasa kwa dhati ya moyo wangu nimejirithisha pasipokuacha shaka yoyote kuwa wewe ni mjinga, tena mjinga sasa
 
Mpuuzi mkubwa unaujua ujamaa wewe?Wakati wa kujifanyia mambo kiholela umeisha.Subiri maelekezo toka Ikulu.Mmetuonea vya kutosha,mmetukandamiza vya kutosha,mmetusylubisha vya kutosha tumeleta mzalendo Ikulu mwezi mmoja tu unajamba he miaka si utajinyeanyea kila siku.
 
Punguani mkubwa wewe watu wanataka kupunguza gap kati ya walionacho na wasiokuanacho ili kubalance uchumi wewe unaleta mavi mavi hapa mnduku wako
 
private mmejiaribia wenyewe toka lini ada ya elimu ya msing, secondary ikawa zaidi ya chuo kikuu. Tuwalipe milioni na nusu afu muajiri form six leavers wafundishe watoto. Pambafu mtaisoma no.
 
Hivi watanzania mnataka nn jamani? Mbebwe migongoni na raisi ndo muone serikali inafanya kazi, mshatunyonya sana na upandishaji wenu wa ada kiholela mmefanya shule kuwa biashara, hizo ada elekezi zitasaidia sana, tulipokuwa tunaelekea ada za nursery tu zingefika 5ml
Ndugu kama wewe huna uwezo wa kupeleka watoto wako shule za maana ni bora ukakaa kimya tambua kila kitu kizuri kinahitaji gharama.
 
Alafu mipango mnayopanga mjue serikali ipo na ina masikio marefu hata kama mtanong'ona na wake zenu vitandani .....
 
Hawa wenye shule za private wapumbavu kweli, waliniuzi sana walipomfukuza kijana wangu shule eti alipe laki mbili kwa ajiri ya ujenzi wa maabara na wakakomenti eti kumbuka hili ni agizo la rais nchi nzima kila shule iwe na maabara. Mm nikajiuliza sasa kwa shule binafsi mm ndio najenga maabara?

Walikomaa mpaka nikalipa

haa! kumbe nao huwa wanawachangisha wazazi kwa maendeleo ya shule zao. hakika bei elekezi inawahusu, no way.
 
Ndugu kama wewe huna uwezo wa kupeleka watoto wako shule za maana ni bora ukakaa kimya tambua kila kitu kizuri kinahitaji gharama.

Ww ni mpuuzi wa mwisho, na mtaisoma namba mwaka huu, enzi za bwerere zimeisha
 
Back
Top Bottom