jibu la swali namba 1 ulireply hivi In a free market economy, or even a mixed economy, the government does not set price ceilings. Prices ceilingsare set by the economic forces of demand and supply.
jibu namba 2. Capitalism ni nature ya maisha ya kiuchumi ya binadamu wote hivyo wakati wa industrial revolution in europe watu wa chini walikandamizwa sana na wale wanaomiliki factors of production hadi pale mjerumani karl marx alipokuja mawazo mbadala kwamba capitalism inapokoma sana lazima iwe overthrown na socialism aliibuka na theory kibao lakini hazikuwapendeza hata kidogo wazungu hatimaye akakimbilia france na baadae kwa kushirikiana na raisi wa urusi wa wakati huo wakafanikiwa kuzifanyia kazi zile theory na ujamaa ukaanza rasmi rusia na baadae ukakomaa hadi kufikia hatua ya kuunda Ussr(eastern block) na baadae ukaanza kupenyeza hadi ulaya, china n.k
kwanini nasema USA ndo muasisi wa capitalism wote tunajua baada ya mtikisiko wa kiuchumi wa 1930's na vita ya pili ya dunia mataifa ya ulaya yalikuwa kwenye hali mbaya kiuchumi USA(western block) kwa hofu(cold war) aliwapa mikopo kwa masharti ya kuwa free economy hivyo hatimae wakaanza kujipenyeza Africa Usa akipromote open door policy na hawa wa eastern wakipromote closed economy kwa lengo la kujipatia soko la kuuza bidhaa zao, malighafi n.k na kwa kiasi kikubwa Usa alifanikiwa kupata member wengi hata waliokuwa wamechagua ujamaa tulifeli kwani Usa walikata misaada ndo maana NAM ikazaliwa ili wafaidi kotekote
sasa ni usiku sana mejaribu kuelezea roughly na kwa ufupi sana hivyo makosa madogo madogo usiyaconside sana, nitarudi kwa maelezo zaidi kama hatupo pamoja.