Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,129
Hifadhi maneno wewe nyumbu, akija chadema utaanza msifia. Uaibike kama scenario zingine.Mojawapo ya majizi makubwa ndani ya chama cha wahuni, mafisadi na wauaji.
Hifadhi maneno wewe nyumbu, akija chadema utaanza msifia. Uaibike kama scenario zingine.Mojawapo ya majizi makubwa ndani ya chama cha wahuni, mafisadi na wauaji.
Halafu wakihama chama hao mnaowaita majizi nyie tena mnakuja kuwatetea na kusema hawakupelekwa mahakamani.Mojawapo ya majizi makubwa ndani ya chama cha wahuni, mafisadi na wauaji.
Hifadhi maneno wewe nyumbu, akija chadema utaanza msifia. Uaibike kama scenario zingine.
Nyumbu Baba yako na mama yako kikaragosi cha dikteta uchwara. Sifanyagi huo ujinga wa kusifia fisadi yoyote yule kisa tu kaamua kuhamia Chadema.
Wapi wewe nyumbu kikaragosi cha dikteta mbowe.
Vipi tuhuma za Nyalandu from Nasary, Mnyika, Mdee, you included.
Mbona mnampokea na kumsifia.
Huo sio ujinga?
Mojawapo ya majizi makubwa ndani ya chama cha wahuni, mafisadi na wauaji.
Kwa wasiojitambua.
Eh! Nyalandu mwizi, Chenge, Tibaijuka wasafi! Kumbe mmelogwa na magonjwa cutting across!Achana naye huyo kibaraka wa Lowasa.
Shutuma zake zina tofauti gani na za Lowasa.....ambaye ni mgombea wenu wa kudumu.....!!?
Unataka kuniambia hujawahi mtuhumu Nyalandu kabisa na nyuzi zote zilizoanzishwa na bavicha humu. Kadanganye nyumbu.Acha ujinga wako wewe hebu weka ushahidi hapa kuonyesha upuuzi ulioandika taahira wewe. Fisadi akiwa popote pale akamatwe mara moja bila kujali kavaa rangi zipi. Sasa huyo dikteta uchwara, mwizi muongo mwenye chuki za kutisha ni kipi kinamshinda kumkamata Nyalandu au yeyote yule ndani ya Chadema na kumpandisha kizimbani mpuuzi wewe? Mbona Lissu alikuwa anamkamata kila kukicha?
Utaahira mwisho mtaa wa Lumumba humu utapewa makavu ya uso yena bila huruma. Vipi vichwa vya treni ambavyo dikteta uchwara kadai mwenyewe hajulikani kishamjua mwenyewe ni nani au anataka kupiga dili linguine kama la boti uozo?
Unataka kuniambia hujawahi mtuhumu Nyalandu kabisa na nyuzi zote zilizoanzishwa na bavicha humu. Kadanganye nyumbu.
Alafu unapaswa ujue tofauti ya tuhuma na proven guilty. Mtu anaweza tuhumiwa something, lakini kwenye macho ya sheria akawa hana hatia, haimaanishi kwamba ni innocent, la hasha.
What we sane people know is that, mlimtuhumu Nyalandu, sasa mnamsafisha hamtaki tena asemwe kwa maovu aliyoyafanya ambayo nyinyi mlituhumu.
Reason behind? He joined us.
Hamnaga msimamo.
Yani mnatia huruma sana, mnakufa mdo mdo huku mnajiona.
Hivi ulishawahi kuona hata siku moja mimi kumpigia debe Lowassa humu? Acha kukurupuka.
Ok.Eh! Nyalandu mwizi, Chenge, Tibaijuka wasafi! Kumbe mmelogwa na magonjwa cutting across!
Sawa ndugu yangu......
Si kwa ubaya ni katika kubadilishana mawazo tu......
Uwe na wakati mwema
Hata huko aliko si ni jemadari bac sawaAkihamia Chadema ataitwa kamanda