Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,626
- 46,270
Rais wa Ujerumani anapokuja kutumbelea tumkumbushe ukoloni wao ulikuwa wa hovyo sana tofauti na wakoloni wengine.
Makolini ya Ujerumani hayakuweza hata kurithi angalu lugha yao ya Kijerumani. Hakuna hata koloni moja la Ujerumani ambalo raia wake wanazungumza Kijerumani!
Afadhali hata katika makoloni mengine waliambulia angalau lugha za wakoloni wao ambao leo wanaweza kuzungumza nao vizuri kwa ufasaha.
Makolini ya Ujerumani hayakuweza hata kurithi angalu lugha yao ya Kijerumani. Hakuna hata koloni moja la Ujerumani ambalo raia wake wanazungumza Kijerumani!
Afadhali hata katika makoloni mengine waliambulia angalau lugha za wakoloni wao ambao leo wanaweza kuzungumza nao vizuri kwa ufasaha.