Ujerumani kusafirisha mikusanyiko 23 ya sanaa kwenda Namibia

ldleo

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
1,010
1,036
Huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, mkuu wa Wakfu wa Urithi wa Prussian Bw. Hermann Parzinger, na Esther Moombolah wa Makumbusho ya Kitaifa ya Namibia walionyesha sehemu ya mkusanyiko wa sanaa za Namibia kutoka Jumba la Makumbusho la Berlin, 23 kati yao itasafirishwa kwenda Namibia.

VCG111384010666.jpg

VCG111384010825.jpg
 
Back
Top Bottom