Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,408
Kuna mtu mwenye kipaji cha kufanya operation ya moyo au operation ya ubongo bila ya kupata kwanza elimu?Hicho ni kipaji kama vipaji vingine unaweza kuwa daktari kila siku ukawa unauwa watu tu..hata madaktari wanasomea professionalism lakini uwezo wamepishana why! Mkuu usitegemee sana vyeti.
Sisi tulioko makazini tunaona tofauti ya shule na talent ya mtu, japokuwa wwngine wana vyote yaani shule na kipaji