Ujenzi wa nyumba za kuficha paa/contemporary/ hidden roof

Hicho ni kipaji kama vipaji vingine unaweza kuwa daktari kila siku ukawa unauwa watu tu..hata madaktari wanasomea professionalism lakini uwezo wamepishana why! Mkuu usitegemee sana vyeti.
Sisi tulioko makazini tunaona tofauti ya shule na talent ya mtu, japokuwa wwngine wana vyote yaani shule na kipaji
Kuna mtu mwenye kipaji cha kufanya operation ya moyo au operation ya ubongo bila ya kupata kwanza elimu?
 
Uwe unawaambia pia kwamba zinahitaji kemikali maalumu kuunga paa na kuta zisivuje.

Pia uwaeleze kwamba kwa kuwa hazina roof overhang zinahitaji kupakwa rangi maalumu ambazo zitahimili jua na mvua/unyevu kwa kuwa kutazake zina direct contact na jua na mvua tofauti na traditional houses

La mwisho uwaeleze wateja wako kwamba hizo nyumba mara nyingi zinakuwa na extra costs Ili zipendeze yaani makuta kuta,maurembo mengi na finishing ya nguvu.Kiufupi gharama za ufundi ni kubwa zaidi kuliko nyumba za kawaida.

Mwisho wa siku unakuta ule unafuu wa gharama ya paa ume offset kwenye finishing tena ya nje ambapo on average zina gharama kubwa kuliko nyumba za kawaida.

All in all ni nyumba nzuri kama una pesa ila kama pesa ya kuunga bora ujenge traditional houses
Wala hujasema rang gani hio? mbona magorofa hayana overhang roof na rang inakalaa miaka na miaka.
kemikal hio ipi? na hayo makuta kuta wala sio lazima tunaziona picha kibao za nyumb zimependeza.ukiokoa bando za bati nne ndio zitakua sawa na kaukuta kamoja au tuwili twa show twa tofal za inch 4??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna material yanakuwa kama lami hizi ile belt inayozungushwa kwenye msingi kabla ya kupandisha tofali, unapaswa kupiga hiyo na kubadili kila mwaka kwa mujibu wa wataalamu, wanasema gharama yake ni kama 30,000 kwa square nini sijui.
bloo haupo serias unasemea dump membrane la kyzuia unyevu mbona kila nyumba zinazojielewasing unawekwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba hizi ni nafuu sana kwa upande wa paa...bati na mbao.
Kitu kinachoongeza gharama ni urembo tu.

Kimsingi mtu mwenye uelewa sahihi urembo mwingi huharibu mwonekano wa nyumba hizi.

Jambo muhimu ni;
1. Msingi mrefu...nyumba iinuke
2. Madirisha makubwa
3. Urembo kiasi/ plain design inapendeza zaidi
sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujajibu swali langu.Nimekuuliza una elimu ya kiwango gani katika masuala ya ujenzi wa nyumba.
Acha ujinga nyie ndo wasomi makaratasi mnadhan shule ni darasani tu. Elimu yako haijakuondolea ujinga hebu acha wanaotaka kujifunza wajifunze kupitia mtoa mada
 
Mbona swali lako hili pia ni la kijinga! Kwani elimu ndo inajenga nyumba au ujuzi wa mtu! Hujifunzi kwa mainjia wale wa majengo wanavoharibu kazi na mavyeti yao!
Kiufupi huyo jamaa anaeuliza elimu ya mtoa mada ni mjinga,au ndo yupo chuo mwaka wa kwanza
 
Acha ujinga nyie ndo wasomi makaratasi mnadhan shule ni darasani tu. Elimu yako haijakuondolea ujinga hebu acha wanaotaka kujifunza wajifunze kupitia mtoa mada
Kwa hiyo kama shule siyo darasani tu ninaweza kufanya operation ya moyo au operation ya ubongo bila kupitia darasani?
 
Back
Top Bottom