Suzzane hakutaka kukurupuka katika kufanya kazi yake , alikuwa na kazi mbili za kufanya kwa wakati huo ili kujua ukweli anaotaka kuujua , mtu wa kwanza aliekuwa akimfatilia , alikuwa ni janeth , na wa pili alikuwa ni stephano lamberk alikuwa makini kweli na kazi yake hakutaka kabisa kuwapa nafasi watu anaowafatilia wajue kama wanafatiliwa , na ndio maana alikuwa akitumia akili sana katika kuwafatiilia , hata ile alipogundua kuwa kuna uhusiano kati ya mke wa raisi na janeth hakutaka kumwambia mheshimiwa raisi , kwani aliona kabisa anapaswa kujua kabisa kile kinacho endelea na ndipo atoe taarfa hio kwa mkuu wake .
Siku hio ilikuwa ulikuwa ni muda wa saa mbili kamili akiwa ametoka kwenye mihangaiko yake ya kiuchunguzi , alikuwa amekaa mezani akijaribu kuunganisha matukio.
Jina la janeth bendera na jina la stephano lamberk ni majina ambayo yalikuwa kwenye akili yake .alikuwa na picha zilizokuwa zikiwaonesha wawili hao kuchekeana kabisa , picha alizochukua siku hio mchana ndani ya makao makuu ya kampuni ya NLT .
Alikuwa akiangalia picha ya stephano akiwa ameshikana mkono na janeth , na muda huo walionekana walikuwa wakiagana , tabasamu lililokuwepo kwenye uso wa janeth na pia kwenye uso wa bwana stephano lamberk vilimfanya aje na hitimisho kuwa wawili hao walikuwa wanafahamiana .
Lakini jambo la pili lililomchanganya ni jina la janeth “janeth bendera ‘ ni jina ambalo lilimchangaya sana , kilicho mchanganya Zaidi ni mwanadada huyo kuwa na elimu kubwa mno tena akiwa na umri mdogo , hakuamini kwamba mwanadada huyo ni kweli alikuwa na PHD kwa umri aliokuwa nao , jambo hilo kwake pia lilikuwa likimpa maswali mengi ambayo kuna muda yalikuwa yakigongana .
“ kama janeth ana PHD inawezekana pia alienda kwenye kampuni ya NLT kwa ajili ya biashara kwani wote wapo kwenye fani moja , lakini pia nina hisia wawili hawa wanaonekana kufahamiana kwa muda mrefu japo ni hisia zangu lakini naamini uwezekano huo upo , na kama watakuwa washakutana kabla kuna uwezekano pia wakawa wanashirikiana pia katika maswala mengine , ikiwemo la janeth kuchoma madawa ya kimbona , lakini bado kuna jambo linanichanganya na natakiwa kulifania uchunguzi , inawezekanaje huyu anae jiita mzalendo kutumia sura za watu wengine katika matukio yake ya nyuma , inatakiwa ni ujue ukweli lakini ukweli nitaujua vipi ?” hayo yote yalikuwa ni mawazo ya mwanadada suzzane , jasusi mbobezi aliekuwa akimtii sana mheshimiwa raisi katika kazi zake nyingi .
*****
Ni siku ambayo ndani ya kampuni ya NLT kulikuwa na kikao cha wakurugenzi wa bodi , yaani wale wamiliki wate wa kampuni walikuwa wapo kwa ajili ya kujadiliana mustakabali wa kampuni hio mpya tanzania katika maswala ya teknolojia kwa ujumla wake.
Kwa damiani hata yeye pia alifurahishwa sana na muamko wa watanzania , kwani kitendo cha kutangaza kuuza hisa asilimia ishirini na hisa hizo kununuliwa zote , aliamini sana watanzania wanaipenda teknolojia na wapo tayari kwa ajili ya kuona taifa lao likiwa linaendelea katika swala zima la teknolojia
Siku hio mda wa asubuhi ndio muda ya watu mbali mbali waliokuwa ni wamiliki wa hisa za kampuni ya NLT waliingia ndani ya ukumbi wa mikutano ndani ya jengo hilo la NLT , moja ya watu waliongia eneo hilo alikuwa ni Patrick mtoto wa mheshimiwa raisi .
Patrick alikuwa ni mmoja ya mmiliki wa hisa katika kampuni hio na haikueleweka kwanini alivutiwa na kampuni hio mpaka kununua hisa , kwani hata yeye pia alikuwa ni moja ya watu waliokuwa wamkimiliki kampuni inayo endana na hio ya NLT lakini pia alikuwa ni adui mkubwa wa kampuni hio .
Kilichomshangaza Patrick ni mara baada ya kuingia ndani ya ukumbi wa mikutano ni kumuona merina , hakujua kuwa na merina alikuwa ni mmiliki wa asilimia kadhaa ndani ya kampuni hio sio kwake tu lakini pia kwa merina pia alishangazwa na uwepo wa Patrick ndani ya ukumbi huo kwani pia hata yeye hakujua kuwa patrick alikuwa mmiliki wa hisa ndani ya kampuni hio .
Nusu saa baada ya watu wote kuingia ndani ya ukumbi huo , akiwemo janeth , na mainjinia wengine , rebbecca , luang shu hakuwepo kwani alikuwa tayari amekwisha rudi nchi kwao china .
Basi damiani aliingia huku akiwa amevalia suti yake safi kabisa ya bei mbaya , alikwenda moja kwa moja kuketi katika kiti chake maaulumu kama kurugenzi wa kampuni hio , lakini pia kama mmiliki wa kampuni kwani yeye ndie aliekuwa anahisia nyingi katika kampuni hio ( major share holder ).
Damianni ama stephano na yeye pia alijikuta akishangazwa na uwepo wa merina ndani ya eneo hilo , alikuwa akimjua merina kama mteja wake , lakini hakujua kuwa mwanadada huyo alikuwa amekwisha kununua hisa katika kampuni yake , alijikuta moyo wake ukifurahi , hali ambayo hata yeye hakujua kwanini alikuwa akifurahi , aligeuza upande wa janeth na wakagongana macho na kila mmoja alitabasamu .
Basi kikao icho kilianza kwa kutambulisha watu mbali mbali waliokuwa wakimiliki hisa zao kwa asilimia zao na Patrick alikuwa akimiliki asilimia kumi na merina pia alikuwa akimiliki asilimia kumi , pia kikao kiliambatana na moja ya malengo ya kampuni siku za usoni .
MASAA MACHACHE NYUMA .
Kitendo cha stephano kuitwa jina lake halisi na mrembo janeth kilimchanganya na kumshitua kwa wakati mmoja , hakujua ni kwa namna gani mrembo huyo alimjua , japo alikuwa akikumbuka kuwa mrembo huyo kuna sehemu ashawahi kukutana nae , lakini swala la kumjua kuwa amevaa ngozi feki lilimchanganya .
“ usiwe na waswasi siri yako ipo salama “ aliongea janeth kwa mapozi .
“ wewe ni nani ?”
“ mimi ni janeth mfanyakazi wako “ aliongea janeth kwa mapozi huku akizunguka ndani ya ofisi hio kama mtu aliekuwa akiichunguza na alionekana alikuwa akijiamiani sana mbele ya damiani .
Stephano japo mwanadada huyo alikuwa ameonesha kujua siri yake lakini hakutaka kabisa kuwa mwepesi aliweka ngumu
“ sijui unacho ongea kuhusu siri “
“ hahahaha… kwa hio unamaanisha ninayo ongea hapa ni uongo “
“ ndio ni uongo , inakuwaje unaniita jina ambalo sio la kwangu na huyo damiani ni nani ?”
“ damiani ni jina lako halisi nakujua A to Z najua unaweza ukawa umenisahau , au unataka nikukumbushe tulipokutana mara ya kwanza “.
“ sijawahi kukutana na wewe mimi “ aliongea stephano kwa kujiamini huku akiangalia tarakishi yake “
“ naona umesahau siku ile ulivyogongana na mimi ndani ya hoteli ya four season china wakati unaenda kuonana na waziri wa china “
Hapo ndipo stephano alipokumbuka sehemu aliokutana na mwanadada huyo , alijikuta akijilaumu kwa kutomkumbuka mapema , alimkumbuka mwanadada huo alipogongana nae wakati anaingia kwenye lift .
“ naona umenikumbuka sasa “
“ janeth nina kazi kwasasa naomba tuishie hapa kwa leo “ aliongea stephano kwa sauti ambayo ilionesha kuwa na waswasi ndani yake .
“ usijali damiani , kwanza unaelewa kuwa hio ngozi ndio mimi nilioitengeneza , au luang shu hajakwambia “
Kauli hio ndio iliomfanya stephano kushangaa Zaidi , na hapo hakuwa na ujanja kabisa , mpaka hapo alijikuta akikumbuka kauli ya luang shu kumwambia kuwa mtu alieitengeneza FULL BODY MASK alikuwa ni mtanzania mwenye phd yake , mpaka hapo alijua kuwa mtu aliekuwa akiongea nae alikuwa akimjua vyema .
“ wewe ndio uliotengeneza full body mask “.
“ ndio ni mimi damiani “ aliongea janeth huku akikaa kwenye sofa huku akimwangalia damiani akiwa ameachia tabasamu
“ ila sikujua kuwa unatumia jina la stephano lamberk mpaka nilipo kuona , nikajua umevaa ngozi bandia “
“ sina hoja , ila nasema hongera sana “
“ asante damiani , ila nilikuwa nikikutafuta sana tokea siku ile ulionigonga “
“ ulikuwa ukinitafuta!! , kwa ajili ya nini ulikua ukinitafuta ?”
“ nitakuambia siku nyingine damiani , kwasasa kuna majukumu yangu nataka kwenda kuyashughulikia lakini nisindikize basi “ aliongea mrembo huyo na kisha damiani alinyanyuka na kutoka na janeth mpaka eneo la kupark magari na walipeana mkono kwa bashasha kubwa , na wakati wanapeana mkono ndio wakati ambao suzzane alikuwa akiwapiga picha .
*****
Mheshimiwa raisi japo swala la uwekezaji wa Stephano lamberk lilikuwa swala lenye tija kwa nchi , lakini kwake aliliona wala hilo kama mwiba katika maendeleo yake mwenyewe , alijua kuwa kampuni ya INNOVA na kampuni ya NLT kuingia nchini na kuwekeza inamaanisha yeye kampuni yake kufa kabisa , kwani aliamini asingeweza kabisa kushindana na INNOVA na NLT, alikuwa akiwaza mambo kadha wa kadha ni kwa namna gani angeishi pasipo kupata hasara Zaidi . mchaga huyu japo ya kuwa raisi lakini alikuwa akipenda pesa pia , na ndio maana alikuwa tayari kufanya lolote kwa ajili ya kujiingizia pesa .
Siku hio ni baada ya kuonana na bwana stephano na kufanya mazungumzo nae , alikuwa ameshikilia karatasi ya asilimia za hisa ambazo zilikuwa zikiuzwa na kampuni hio ya NLT alikuwa amekaa chini akiwaza ni maamuzi gani afanye , lakini pia upande wa pili pia alikuwa akiwazia uwekezaji wa kampuni ya INNOVA ambayo pia ilikuwa ikiuza asilimia za hisa zao .
Baada ya kuwaza muda wa masaa kadhaa , ndipo alipokuja kufanya maamuzi ya kununua hisa katika makampuni hayo yote mawili kwa wakati mmoja , alitoa simu yake na kupiga mahali .
“ nataka kununua hisa zote za kampuni ya NLT na INNOVA “ aliongea mheshimiwa .
“ mheshimiwa hisa zilizobaki ni asilimia kumi tu kwa kampuni zote mbili “”
“ hizo zingine zimeenda wapi “
“ zimekwisha kununuliwa na SWIFT TRANSIT “
“ okey sawa nitanunua hizo zilizobaki nafanya muamala sasa “ aliongea na kisha alikata simu .
“ huyu ni merina mchumba wake Patrick huyu , mwanamke anaakili sana huyu sijui Patrick anakwama wapi kumuoa huyu mwanamke , inabidi nimuite nifanye nae mazungumzo “ alijifikiria huku akiendelea kuchezesha simu yake , na dakika kadhaa alikuwa ashanunua hisa zote .
Mara baada ya kufanikisha hilo ndipo alipoendelea na majukumu yake , mpaka muda wa kutoka ofisini.
Lakini kabla ya kutoka aliingia kijana wake ambae alikuwa akimfanyia baadhi ya shughuli zake binafsi , kijana huyu aikuwa akijulikana kwa jina la talimba , alikuwa ni kijana msomi mno aliekuwa ni mwanausalama kitengo cha ikulu , na moja ya kazi kubwa ambayo alikuwa amempa kijana huyu kuifanya ni kumfatilia mke wake , kwani mheshimiwa raisi japo alikuwa akimpenda sana mke wake lakini hakuwa akimuamini hata kidogo , haikujulikana ni sababu gani hakuwa akimuamini mke wake
“ vipi talimba kuna habari yoyote “
“ ndio muheshimiwa na ndio maana niko hapa “ aliongea talimba , alikuwa ni kijana mojamfupi maji ya kunde mwenye macho makubwa hivi na mwili wake mnene kiasi .
Muda huo mheshimiwa alikuwa amesimama nje ya ofisi na alikuwa akitaka kuelekea upande wa familia yake , lakini ilibidi aghaili na kurudi ndani ya ofisi kuongea na talimba , kwani alijua kabisa kila talimba anapofika anayo taarifa , basi jua ni taarifa ya siri ambayo hakutaka mtu oyote yule ndani ya ikulu aifahamu
“ mheshimiwa madam siku mbili zilizopita kakutana na mwanadada anaefahamika kwa jina la janeth bendera muda wa jioni maeneo ya ununio ndani ya nyumba moja ambayo kwa kufatilia niligundua kuwa inamilikiwa na msichana huyo , pia siku ya jana yake alikutana na mwanadada merina muda wa saa kumi kamili ndani ya hoteli ya serena “
‘’umesema janeth , huyo janeth ni nani “
“ janeth kwa taarifa nilizo nazo ni mwanasayansi aliengia nchini miezi kadhaa iliopita akitokea china , kiwango cha elimu yake ni PHD “”alijjibu talimba na kumfanya bendera ashangae na awaze kidogo na majina hayo mawili yalipita ndani ya kichwa chake yaani ‘merina na janeth’.
“ safi endelea kuwafatiilia na unipe taarifa Zaidi “
“ sawa muheshimiwa “
Baada ya mheshimiwa kupewa taarifa hio na talimba alitoka ofisini na kwenda upande wa familia yake na kuonana na mke wake aliekuwepo sebleni akiangalia tamthilia , wema mara baada ya kumuona mme wake , aliinuka na kumkumbatia
Mheshimiwa alioga na kisha alimua kupumzika huku akijaribu kuwaza jambo la mke wake kukutana na merina na janeth hakujua ni kwanini wamekutana ila aliamini kama kuna mpango unaendelea ambao yeye haujui basi angeujua tu , muda wa saa mbili kwenda tatu ndipo alipo mkumbuka patrick na kumpigia simu na kumpa maagizo ya kufika ikulu siku inayo fata .
Ilikuwa siku nyingine siku ya asubuhi na mapema ndio siku Patrick alifika kwa ajili ya kuonana na baba yake na walianza mazungumzo
“ kesho nataka ukahudhurie kikao cha wana hisa ndani ya kampuni ya NLT , nimenunua hisa asilimia kumi ndani ya kampuni ile japo nilihitaji kununua zote ila inaonekana mkwe kanizidi ujanja “
“ mkwe gani baba “
“ si merina au kuna mwingine ?”
“ inamaana merina kanunua hisa kwenye kampuni ya NLT “
“ ndio , inakuwaje merina ni mpenzi wako na hujui hilo “
“ baba mimi na merina hatuzungumzi sana maswala ya kazi “
“ anhaa sawa .. ila patrIck kuna kitu sikielewi , hivi unaamini kweli yule mwanamke anakupenda ?”
“ baba hata mimi mpaka wakati huu nachanganyikiwa kabisa , nampenda sana merina , lakini merina kuna mtu anampenda “
“ kuna mtu anampenda , unamaanisha sio wewe “
“ ndio baba kuna kijana mmoja anafahamika kwa jina la damiani , ndio merina anampenda lakini mpaka sasa kijana huyo hajawahi kuonekana tokea atekwe”
“ unasema damiani?? “
“ ndio mbona umeshituka unamfahamu ??“
“ hapana lakini ni kama nishawahi kulisikia hilo jina “
‘ yawezekana baba kwani ni moja ya watu waliokuwa wakihusiana na bruno , kwani mama yake alipigwa risasi na mahasimu wa bruno “
“ kwa hio unamaanisha merina na damiani wanafahamiana , na walifahamiana vipi ?”
“ hata mimi swala hilo linanichanganya , sijui wapi walikutana ila najua wanafahamiana kwani merina alilia sana siku ambayo alitekwa “ aliongea Patrick huku akimuhadithia baba yake tukio la damiani kutekwa ndani ya hosputali ya lushoto “
“kweli inaonekana wanafahamiana , sasa unamaamuzi gani juu ya merina maana hata mimi nimetokea kumpenda yule mwanamke , ana akili sana za kimaisha na kama atakuwa mke wako atakusaidia sana “
“ baba hata mimi mpaka sasa sijui nifanyeje kumteka merina kihisia kwani nampenda sana “
“ hahaha kijana wangu wanawake ni viumbe dhaifu sana , hakikisha merina anakuwa mke wako , usikubali mtu mwingine akimchukua kutoka kwako “ aliongea raisi na kumfanya Patrick atabasamu .
“ baba umenitia nguvu sana , na mimi lazima merina awe mke wangu sitoruhusu mtu yoyote amchukue “
“ safi sana kijana wangu , pia hakikisha bishara zinaenda vizuri “
‘ sawa baba “
Itaendelea
SEHEMU YA 42
Zakayo alikuwa mtu mjanja sana katika kufanya uchunguzi , na kilichokuwa kinampa uwezo wa kujua jambo hata kama limejificha ni kutodharau kila taarifa inayomfikia , kwani baada ya kupata taarifa aliokuwa akiitaka kutoka kwa Irene basi aliona ni mwanzo mzuri wa kuendelea na uchunguzi wake .
‘stephano lamberk ‘ ni jina lililomvutia sana jasusi huyu , aliamini kabisa kuna taarifa iliokuwa Imejificha juu ya bwana stephano lamberk , kwani kupita taarifa za maisha ya nyuma ya bwana bruno kutokuwa na mtoto wa kiume wala ndgu yoyote , aliamini lazima kuna jambo nyuma ya stephano lamberk .
Jambo la kwanza ambalo aliona anapaswa kulijua undani wake, ni swala zima la bruno lamberk kupigwa risasi na kuuwawa , aliamini kwa kulifanyia swala hilo uchunguzi , angejua ni watu gani walimuua na swala hilo huenda lingepelekea kujua ni wapi alipo damiani .
Mwanzoni kazi hio aliona ni nyepesi sana , lakini sasa aliona ni kazi ngumu mno kwake , hata waliompa kazi walipomuuliza maendeleo ya uchunguzi wake aliishia kuwaambia kuwa wampe muda wa kulifanyia uchunguzi swala hilo kwa undani zaidi .
Siku hio alikuwa ndani ya jiji la Arusha , haikujulikana alikuwa ndani ya jiji hilo kwa ajjili ya nini , lakini aliamini kuna kitu angekipata ndani ya jiji hilo ambacho kingemsaidia katika upelelezi wake, alienda mpaka ndani ya hoteli moja kubwa ya kitalii iliokuwa ikipatikana ndani ya jiji hilo iliokuwa ikifahmika kwa jina la gran melia .
baada ya kuweka mizigo yake michache ndani ya chumba hiko alijipumzisha , na muda huo ilikuwa yapata saa kumi za jioni , alikuja kushituka kutoka usingizini muda wa saa mbili za usiku , na kilizho mshitua ni mlio wa simu .
“ vipi uko wapi “
“ ilikuwa ni sauti iliosiikika katika masikio yake “
“ niko hotelini “
“ mtu wako nimemuona sasa hivi hapa triple A “
“nakuja sasa hivi , hakikisha humpotezi “ aliongea zakayo na alianza kujiandaa haraka haraka na kisha alitoka ndani ya hoteli hio na kuchukua usafiri wa taksi uliomfikisha mpaka triple A
Ni moja ya sehemu ambazo zilikuwa zimechangamka sana , watu walikuwa wengi wakiwa wanakunywa bia , na wengi wao walikuwa ni machalii wa miaka ya ujana .
Baada ya kuingia eneo hili la club alitoa simu yake na kupiga na dakika kadhaa alitoka mwanaume mmoja mnene kiasi mwenye miaka kati ya miaka ishirini na nane hivi aliekuwa amevalia kinadhifu kabisa , bwana huyu alikuwa akifahamika kwa jina la godlove .
Baada ya kuonana na godi waliingia wote ndani ya club hio na kuchagua sehemu na kuketi na god love alimuonesha mtu ambae alikuwa anamtafuta , na zakayo alijikuta akitabasamu baada ya kuona kuwa mtu anaemtafta alikuwa mwenyewe .
“unataka tufanyeje , maana jamaa anaishi kwa machale sana “
“ nataka nimteke kibabe , lakini sina shemu ya kumpeleka “
“ kuna karakana moja hivi nahifadhia kahawa tunaweza mpaleka “ aliongea
“ hapo fresh , ngoja niendelee kumlia timing , si umekuja na gari yako ?”
“ ndio ipo “
Basu baada ya masaa kadhaa hivi kupita , ikiwa imetimu saa nne kamili mtu waliekuwa wanamfatilia alionekana kunyanyuka kwenye kiti chake akiingia kati ya watu waliokuwa wanacheza mziki , na kuanza na yeye pia kucheza , jambo hilo ni kama zakayo alikuwa akilisubiria , kwani alitabasamu na kisha alinyanyuka.
“ nisubirie kwenye gari yako “ aliongea zakayo na kisha god alitoka na zakayo kuingia kati ya watu na kuanza kucheza huku target yake ilikuwa ni kumpata mwanaume huyo aliekuwa akicheza hapo ndani , alijua sio jambo rahisi kwani mtu aliekuwa akimsogelea alikuwa ni mtu hatari mno , na alijua kosa moja tu anaweza kumkosa na hilo hakutaka litokee kwani alikuwa akimtafuta mno .
Baada ya kumfikia akiwa bize , mara alijikuta akizongwa na watu ambao walimfanya kumzibia kwa mbele , aliwapangua na kupita na hapo ndipo alipo pigwa na mshangao kwani mtu aliekuwa akimtafuta hamuoni tena , alijikuta akianza kujipenyeza kwenye watu huku akizungusha shingo , lakini hakumuona , alichoka , alijua tayari ashashitukiwa tayari na mtu ashapotea , na kama alivyosema god kuwa mtu huyo alikuwa ni mtu anaeishi kwa machale aliona jambo hilo ni la kweli , wakati akiwa anaendelea simu yake ilivibrate na haraka aliitoa na kuangalia meseiji .
“ mtu wako huyu huku anasepa “ ilikuwa ni meseji iliomkurupusha zakayo na haraka alielekea upande wa kutokea nje , na ile anafika tu aliingia ndani ya gari la god .
‘ kaelekea wapi ?”
“ katoka saivi na gari ya Subaru “ aliongea na kisha walianza kulitafuta gari hilo uelekeo wake , na uzuri ni kwamba walikuwa wakitumia range . hivyo zakayo aliamini kwamba kama wangemfukuzia wangempata kiurahisi muda huo walikuwa ndani ya barabara ya kaloleni na mbele kidogo walikuta wakiiona gari hio na hapo zakayo alitabasamu , uzuri ni kwamba muda huo hakukuwa na magari mengi hivyo jambo lao lilionekna kuwa rahisi , lakini pia gumu kwani mtu waliekuwa wanamfatilia alionekana kujua kabisa kuwa anafatiliwa maana spidi alikuwa anatembea nayo ilikua juu , dakika chache gari ile ilikunja simeon road , na wakina zakayo hawakutaka kabisa kuipoteza kwani muda huo walikuwa wameikaribia kabisa , walikuja kufanikiwa kuipita kwa mbele na kuizuia gari hio nyuma kidogo na barabara ya kwenda njiro .
Baada ya kuizuia bwana huyo alitoka kwenye gari na kutoka nduki na zakayo hakutaka kabisa na yeye kubaki nyuma kwani kama mshale alichomoka na kuanza kumfukuza kwa nyuma , jamaa alikuwa kwenye spidi ya hali ya juu lakini pia zakayo vile vile, alikuja kumkamatia kwenye kona ya kuingia vijana rd. lakini bado jamaa huyo hakutaka kukamatwa kizembe kwanni alianza kupambana na zakayo , lakini zakayo alionekana kuwa imara kwenye mapambo kwani mapigo mawili tu yalikuwa yamemdondosha chini , kuna baadhi ya watu walijikuta wakivutiwa na tukio hilo , lakini zakayo hakutaka kuwapa nafasi kwani alimbeba mtu wake na kuondoka eneo hilo , mpaka alipo kuja kukutana na god na kumpakia mtu wake na safari ya kuelekea kwenye karakana ya god ikaanza , dakika chache walikuwa kijenge , gari ilikunja kulia na kwenda kusimama kwenye jengo moja kuu kuu, alitoa ufunguo na kufungua mlango na kumuingiza ndani mtu wake na kisha alimzindua .
“ nyie ni wakina nani , kwanini mnanifatilia ?”
“ na wewe ni nani kwanini unatukimbia “
“siawakimbia mimi “
“sikia bwana mdogo sipo hapa kwa ajili ya kukudhuru ila kuna taarifa naihitaji kutoka kwako “
“ taarifa gani unataka kutoka kwangu ukiwa umenifunga”
“sikia najua ulikuwa moja ya walinzi wa bwana bruno lamberk “ aliongea zakayo na kumfanya bwana huyo ashituke .
“ simfahamu mtu huyo “
“ najua ungejibu hivyo , kama nilivyo kuambia sipo hapa kwa ajili ya kukudhuru ukinipatia taarifa yangu nnayo hitaji nakuachia huru “
Aliongea zakayo na kisha alitoa kitambulisho bandia chenye jina tofauti na kumuonesha bwana huyo , na jamaa alishangaa baada ya kuona kitambulishho hicho kilichomuonesha kuwa mtu huyo alikuwa ni mwanausalama , alijikuta akivuta pumzi nyingi na alionekana kama mtu alieshukuru “
“ ni kweli mimi nilikuwa mlinzi wa bruno lakini sina taarifa yoyote kwenu ”
“ sasa mbona unaonekana kuwa na waswasi “
“ lazima niwe na waswasi maana tokea kifo chake maisha yangu yamekuwa yakujificha “
“ kwanini unasema ni yakujificha ?”
“ walinzi wote wa bruno wameshakufa nilepo hai ni mimi tu “
“ unaamaanisha wenzako wote walikufa na kwanini wafe “
“ sijui sababu “
“ ulianza kuwa mlinzi wa bruno kwanzia lini ?”
“ miaka nane sasa “
“unafikiri ni kwanini wenzako wamepoteza maisha “
“nadhani ni maadui wa bruno “.
“ wee unwafahamu maadui wa bruno ?”
“hapana siwafahamu wote ila kuna baadhi nawafahamu aliokuwa anafanyanao biashara “
“kwanini wawe maadui wakati alikuwa akifanya nao kazi “
“braza nakujibu tu kwasababu wewe ni mwanausalama , lakini maisha yangu yapo hatarini naomba unisaidie hata nitoke nje ya hii nchi “
“ kama unataka kuwa salama na nikusaidie nipe taarifa muhimu ambayo itanishawishi” aliongea zakayo huku akimwangalia kijana huyo .
“ ninayo ndio , lakini lazima unihakikishe kuwa nipo salama “
“ mpaka sasa upo salama bwana mkubwa , kwanza jina lako nani “
“ Herbert sheiza “
“ wewe ni mwenyeji wa wapi “
“ lushoto “
“nipe hio taarifa “
“kuna mpango wa siri boss aliuandaa kabla ya kifo chake “ aliongea Herbert na kumfanya zakayo atabasamu .
“ mpango gani?? “
“damiani “
“ damiani ni nani ?”
“ damiani ndio mpango wenyewe “
“ unamaanisha nini kusema damiani ndio mpango wenyewe “
“ boss alimchagua damiani katika kutimiza mpango huo , na hata mama yake damiani kuuwawa ulikuwa mpango wa boss “ zakayo alijikuta akitoa jicho kwa mshangao
“unamaanisha nini kusema hivyo “.
“ “mimi najua hivyo tu kuwa mama yake damiani kuwawa ulikuwa mpango wa boss , na pia walikuwa wakimfatilia damiani tokea akiwa chuo na aliepewa kazi hio alikuwa ni danieli ambae ashakufa “
“Nipe taarifa nyingine hio bado haitoshi kukusaidia nataka uniambie kila unachokijua kuhusu boss wako “.
“ boss alikuwa anauza madawa ya kulevya , mpaka pale alipowasaliti wenzake na kuungana na raisi bendera , na mpaka sasa sisi tulishangaasababu ya boss kuwasaliti wenzake , lakini moja ya mlinzi mwenzetu alituambia kuwa boss kashikwa pabaya na raisi bendera merehemu na wote tulikubaliana na hilo , lakini mpaka sasa hatukujua ni nini kinaendelea kwani boss aliongezewa ulinzi “.
“.unajua aliemuua boss wako “.
“ sifahamu ila kuna watu wawili nawahisi kuhusika “.
“ nani na nani “
“ suzzane “
“ suzzane ndio nani ?”
“ ni moja ya walinzi walikuwa wametumwa na mheshimiwa raisi kumlinda boss “
“ sasa kama suzzane alikuwa anamlinda boss kwanini useme kuwa ndio kamuua boss huyo huyo “.
“ kwasababu suzzane ndie aliemuua danny “. Aliongea bwana Herbert na kumfanya zakayo ashangae , kilicho mfanya ashangae ni kwamba alikuwa akiwajua vyema suzzane na danieli kama moja ya makomandoo wenzake , lakini pia alifahamu fika kuwa danny na suzzane walikuwa wakivunja sheria za usalama wa taifa kwa kuwa wapenzi , lakini kuambiwa kuwa suzzane ndio aliemuua danny swala hilo lilimshangaza “
“ wee ulijuaje haya yote ?”
“ siku ambayo danny anapigwa risasi nilishihudia kwa macho yangu”
“umesema umeshuhudia kwa macho yako hebu niambie kilichotokea “
“ siku hio baada ya kifo cha boss kila mlinzi alitawanyika , kimya kimya kwani tulijua hali isingekuwa salama tena , mimi sehemu nilio fikiria kujificha ni kwenda kujificha kwa bibi mkuzi , siku ambayo damiani anaingia ndani ya mkuzi akiwa na danny niliwashuhudia , lakini jambo lililo nishangaza ni mara baada ya danny kupigwa risasi na mtu aliejificha juu ya mti mwanzoni sikuwa nimemuona vizuri mpaka pale aliposhuka chini na hapo ndipo nilipomuaona suzzane , lakini hakuwa peke yake , alikuwa na bwana mmoja hivi mzungu mzungu hivi “.
“ na damiani je ?”
“ damiani alikimbia na mimi pia nilikimbia na sikukaa tena kwa bibi ndio nilikuja huku Arusha kwanzia siku hio , lakini bado kuna watu walikuwa wakinifatilia kwanzia siku hio na ndio maana maisha yangu yalikuwa ya kujificha sana , na hata nilivyowaona pale club niliwagundua tu ni walewale “.
Zakayo aliridhshwa na maneno ya Herbert mno , lakini pia ni nameneno ambayo yalimuacha kwenye mashangao , baada ya mahojiano yake kumalizika , hakuona sababu tena kubaki eneo hilo , god aliondoka na Herbert na zakayo alienda hotelini .
“ mama yake damiani kuuwawa na bruno , linawezekanaje hili , na ni mpango gani huo ulikuwa ukisukwa , najua suzzane kumuua danny ni lazima itakuwa ni oda kutoka kwa raisi lakini hili la mama yake damiani kuuwawa linanichanganya “ aliongea zakayo mara baada ya kufika hotelini akiwa amejilaza akiwaza mambo hayo , alijikuta akianza kuunganisha matukio ya upelelezi wake wote “
“kwanini bruno amuue mama yake damiani ni mpango gani bruno alikuwa nao , na kwanini bruno afie nyumbani kwa damiani , watu wawili waliokuwa ndani ya nyumba ya wakina damiani walikuwa ni wakina nani, je mpango huo suzzane alikuwa akiujua , ni nani aliemsaidia damiani kwenda thailland je ndio mpango wenyewe wa bruno, lakini hata kama bruno ashakufa tayari , aisingeweka mpango ambao na yeye anakufa , ni Dhahiri kabisa kuwa mpango wake ulifeli , lakini hata kama umefeli , damiani ni nani anaemsaidia?, sehemu ni moja tu ya kupata jibu na sehemu hio ni ndani ya ubalozi wa kenya , balozi wa kenya lazima atakuwa anajua kinacho endelea maana si rahisi kwa mtu mkubwa kumsafirisha damiani pasipo ya kufahamiana nae “ hayo ndio maswali alio ona kwamba anapaswa kuyajibu kwani muda huo hakuwa na jibu hata moja “.
*******
Carlos Cardosso muuaji huyu wa kimataifa , mara baada ya kushindwa kazi yake ya kwanza aliokuwa amepewa na kimbona , kazi ya kupata nyaraka alizoacha bruno kutoka kwenye mikono ya damiani , kazi ambayo alifiifanya akiwa na suzzane , mkataba wake na kimbona ulivunjika , lakini pia japo mkataba wake na bwana huyo ulivunjika , lakini pia hakutaka kurudi gerezani na ndio maana aliamua kumuomba bwana huyo kuendelea kuishi uraiani huku akiahidi kufanyakazi zote ambazo atakuwa anampa.
Kambi yake rasmi ilikuwa ni ndani ya jiji la lushoto tanga ndani ya mlalo , sehemu ambayo ndio kulikuwa na kambi ya kimbona , lakini taarifa ya mzigo wa madawa ya kulevya wa mabilioni uliokuwa ukimilikiwa na boss wake huyo kupotea , jambo hilo lilimshangaza sana , na hata pale alipopewa taarifa ya kufika dar kwa ajili ya kulifanyia uchunguzi swala hilo , aliamini kabisa mtu ambae anamfanyia uchunguzi alikuwa ni mtu wa hatari sana , kwani kitendo cha dawa hizo kutolewa bandarini mpaka kupelekwa bagamoyo na kuteketezwa alikiri kuwamtu huyo alikuwa ni mwenye welevu mkubwa wa akili katika kupanga mipango yake na yeye pia aliona ili kufanikisha kazi ya boss wake bila makossa ni kuhakikisha kuwa na yeye anakuwa na akili vile vile katika kupanga mipango yake .
Mara baada tu ya kufika ndani ya jiji la dar mtu aliemkumbuka alikuwa ni suzzane , na kwakuwa alikuwa anamawasiliano na mrembo huyo hakupata shida ya kuonana nae , suzzane ndie aliempa taarifa zote za muhusika mkuu anaemtafuta , jambo hilo lilionekana kumfurahisha sana carlos , lakini pia lilimrahishia kazi yake .
Siku hio alikuwa makini sana kumfatilia janeth , alitaka kujua ratiba yake yote , lakini pia kuwa na tahadhari atakapotaka kumfanyia tukio mrembo huyo , kwani kama alivyopewa maelezo na suzzane kuwa mrembo huyo ni hatari kimapigano .
Siku hio alipanga kufanya tukio la kumteka janeth , ili akampe mateso kama alivyo ambiwa na boss wake ili kujua ni nani aliechini yake .
Saa saba kamili za usiku ndio muda ambao aliingia ununio , mbele kabisa ya jumba analoishi janeth huku akiwa na taarifa za muonekano wote na ramani nzima ya nyumba hio mpaka chumba anacholala mlimbwende huyo .
ITAENDELEA
NILIKUWA NIMESHIKWA NA MALARIA WADAU TOKEA JUMAPILI NILISHINDWA KUANDIKA KABISA HATA KUWAJIBU. .
SEHEMU YA 43
Carlos alikuwa amezamilia kuhakikkisha tukio la kumteka janeth linafanikiwa kwa asilimia mia , na ndio maana alifanya uchunguzi wa ratiba zote za mwanadada huyo kwanzia muda anaolala , chumba anacholala , walinzi wanaolinda nyumba hio , watu wanaoishi nao na ramani nzima ya nyumba jinsi ya kuingia na kufanya tukio lake pasipo kukwama haikueleweka utafiti huo alifanya saa ngapi , lakini kila kitu kilikuwa kipo mikononi mwake na jambo lilokuwa limebaki ni kukamilisha tu kazi yake .
Muda huo wa saa saba aliofika ndani ya jengo hilo alizunguka mpaka nyuma ya ukuta na kama chui aliparamia ukuta na kutua ndani pasipo kushitukiwa wala kupigisha kelele , na jinsi alivyoruka na ukuta ule ulivyokuwa na umeme aliruka kitaalamu sana .
Mara baada ya kutua ndani pambeni kabisa ya swimming pool alianza kuangaza kulia na kushoto kuangalia usalama , baada ya kuona hali ikoshwari alitembea kuelekea upande wa nyumba ambayo walikuwa wakilala walinzi , akiwa na bastora yake mkononi aina ya pistol F3 blaser na usoni akiwa amejiziba vyema kuzuia sura yake kuonekana .
Basi kama mwanajeshi wa navy alivyofika kwenye mlango aligonga kama mara tatu kwa nguvu lakini sio kwa kelele sana na kisha alijibanza pembeni ya mlango , na zilipita kama sekunde sitini tu mlango ulifunguliwa , na mtu wa kwanza kutoka alikuwa ameshika bastora huku akiwa na kifua wazi , lakini uzembe wa mtu huyo ni kutoka bila tahadhari na hio ilikuwa fursa moja kwa carlos kwani alimvuta kwa staili moja ya kijeshi na kumzimisha na kisha kumlaza chini , baada ya kuona zoezi lake limefanikiwa alichokifanya ni kufunga kiwambo cha kuzuia sauti kwenye pistol yake na kisha alizama kama kinyonga ndani ya nyumba hio , ilikuwa na vyumba kadhaa ambavyo kwa haraka haraka alijua kuwa kila chumba kilikuwa na walinzi wamelala , alisukuma kitasa cha mlango wa kwanza na kikakubali na jamboo hilo lilimfanya apate tumaini kwani aliingia kiulaini na kuzama ndani na hapo ndipo alipokutana na vitanda viwli kimoja kina mtu kalala na kingine kilionekana hakina mtu na hapo hisia zake zilimwambia kuwa chumba hicho kilikuwa ndio chumba anacholala mlinzi aliemzimisha nje .
Ni mvumo wa risasi ndio uliosikika kwa mbaali na kukifumua kichwa chamlinzi aliekuwa akikoroma huku damu zikitapakaa , baada ya kuona zoezi hilo limefanikiwa alitoka taratibu na kwenda kwenye chumba kinachofata kisha aligonga mlango maana chumba hicho kilikuwa kimefungwa kwa ndani na mara baada ya kugonga mlango ulifunguliwa na jamaa mmoja mnene alitokezea uso na hapo hapo carlos alitokea kwa mbele yake na kumnyooshea bastora huku akimpa ishara atokea nje ya chumba hicho na bwana yule kwa kutetemeka sana alitoka nje pasipo kelele na hakuchelewesha alitwangwa risasi na kisha carlos akaingia ndani kwa spidi , lakini bahati haikuwa yake kwani ile anaingia alijikuta akilambwa teke lililomyumbisha pembeni na bastora yake kudondoka , na hapo ndipo aliposhudia mwanaume alikuwa amevaa boksa akiwa amekunja ngumi , lakini usoni akionesha hali ya hofu mno jambo ambalo kwa carlos alilichukulia kama udhaifu .
“ wewe ni nani ?” lilikuwa swali kutoka kwa bwana huyo lakini carlosa aliona swali hilo alijibu kwa vitendo kwani alimsogelea bwana huyo kwa kasi na hakuchelewa alimpiga mapigo mawili yaliomzimisha chini , hakuwa na muda wa kupoteza maana alikuwa na dakika kadhaa za kufanya tukio la kumteka janeth kabla hajashtukiwa , aliinama na kuchukua bastora yake na kisha alimpiga risasi ya kichwa yule mlinzi na kusababisha damu kuruka mpaka kwenye mapazia .
Baada ya kuona zoezi lake limefanikiwa alirudi kwenye chumba cha kwanza na alipekuwa pekuwa na akaja kuibuka na rimoti moja ya rangi ya majivu na kutoka nayo nje na mara baada ya kutoka na kumpita mlinzi aliemzimisha ni kama alikumbuka kitu kwani aliangalia nyuma na kisha alimchapa risasi yule mlinzi na kisha alitembea kuelekea mlango mkubwa wa kuingilia ndani ya nyumba kubwa , alifika na kuminya kitasa na alikuta kilifungwa kwa ndani na kwa kutumia utundu wake sekunde chache tu tayari mlango ulikuwa umefunguliwa , alizama ndani na kukutana na sable huku mwanga wa taa za nje ukimulika ndani ya sable ile , hakutaka kwenda kwenye vyumba vingine kwani alikuwa akijua ni chumba gani janeth alikuwa analala .
Alitembea kama mwanajeshi komandoo na kufikia mlango wa chumba cha janeth juu ya floor ya kwanza ya nyumba hio na kisha alishika kitasa na kukinyonga na uzuri ni kwamba mlango haukufugwa kwa ndani alizama taratibu huku akiona mtu alielala kwenye kitanda na jambo hilo lilimfurahisha kwani kazi yake aliona inakwenda kuwa nyepesi , aliingia ndani lakini ni kama alikuwa anasubiriwa kwani ile anaingia tu kwa utaalamu wa hali ya juu mno janeth alimrushia shuka carlos na kumziba uso huku akitanguliza na front kick iliompata vyema carlos , lakini hakuwa mzembe kwani aliyumba nyuma kidogo mpaka kwenye kabati huku shuka akiwa amelitupa pembeni .
Sifa moja kuu ya carlos ilikuwa ni kuchukia kupigana na mwanamke halafu amshinde na ndio maana alivyo ona mpinzani wake yupo vizuri alitupa bastora nje kabisa ya mlango na wakaaza kuzipiga , janeth alionekana kuwa vyema kujihami na mapigo ya carlos lakini pia carlos na yeye alikuwa makini mno, wa kwanza kupigwa pigo mshitukizo ni carlos , kwani ile anakwepa teke la mrembo janeth , alijikuta akipigwa teke lingine lililounganishwa na roundhouse (pigo la kung fu ) na kumpeleka carlos chini , lakini carlos aliinuka kama mwanariadha na hapo aliona asipokuwa makini lazima azidiwe , jenth alimsogelea carlos kwa kasi lakini bahati haikuwa yake kwani ni kama carlos alikuwa akimsubiri kwani alivutwa mbele na kutua kwenye kifua na bila kuchelewesha alipigwa kwenye shingo na hapo hapo akalegea na kudondoka chini huku nguo yake ya kulalia ikiusaliti mwili .
Carlos alimwangalia janeth kwa uchu , lakini hakutaka kufanya ujinga , alimbeba begani na kisha kutoka hadi nje , kwa kutumia rimoti aliokuwa amechukua kwa mlinzi alifungua geti na kutoka mpaka nje na kisha alilifunga na kurusha rimoti ndani na kisha akaenda kumpakia janeth kwenye gari yake akiwa hajitambui kabisa na kutokomea , akiwa amekamilisha kazi yake kwa asilimia mia moja .
******
Asubuhi siku nyingine kabisa mtu wa kwanza kufika nje ya nyumba ya janeth alikuwa ni abasi lakini kilicho mshangaza abasi ni mara baada ya kupiga honi mfululizo pasipo kupata majibu , hali hio kidogo ilimtia hofu kwani nyumba hio ilikuwa na walinzi alishuka kwenye gari yake na kulisogelea geti na kisha aligonga lakini bado hakupata mafanikio , akiwa amesimama nje anawaza alikuja mwanamama mmoja ambae abasi alimtambua , kwani alikuwa ni mfanyakazi aliekuwa akihusika na maswala ya upishi na usafi wa nyumba hio .
“ kuna nini ?”
“ hakuna anaeitika nimegonga mara kibao “.
“ kwahio tunafanyaje “
“ngoja nijaribu kupiga simu “ aliongea abasi na kuingia kwenye gari yake na kuchukua simu na kuanza kupiga , lakini simu iliita bila kupokelewa , alipiga simu kwa moja ya walinzi lakini pia simu iliita bila kupokelewa na hapo kengele ya hatari iligonga kwenye kichwa chake , alizunguka hadi nyuma ya ukuta na kisha aliuparamia na kwenda kutua chini ,na kusogelea upande wa getini na kitu cha kwanza kukutana nacho ni rimoti ya geti , alisogea zaidi na hapo ndipo moyo wake ulipiga kite na hio ni ,mara baada ya kumuona mlinzi akiwa amechanguliwa kichwa vibaya , alijikuta akisahau hata kufungua geti ili mwanamke aliepo nje aingie ndani kwani alikimbilia ndani huku akiita jina la janeth , lakini alikuta nyumba imetulia , alienda mpaka kwenye chumba cha janeth na kukuta patupu huku simu yake ikiwaipo kwenye ‘bedside’.
Hapo moja kwa moja akili yake ilimwambia kuwa tayari janeth alikuwa amekwisha kutekwa , alijikuta akikaa chini huku akitamani kulia , alichokumbuka muda huo ni kwenda upande wa kamera na kuangalia kilichorekodiwa , alitoka na kwenda moja kwa moja upande wa kushoto mita kadhaa na chumba cha janeth na kufungua mlango na kisha aliwasha laptop na kuanza kuangalia matukio ya siku hio na hapo ndipo aliposhuhudia mwanaume akiingia ndani ya nyumba hio kwanzia mlango mkubwa ambapo ndipo sehemu ambako kulikuwa na kamera mpaka kwenye cchumba cha janeth , mpaka alipomuona mtu huyo aliejiziba uso akitoka huku akiwa amembeba janeth , hakujua mtu huyo ni nani kwani mwanga ulikuwa hafifu mno kwani taa zilikuwa zimezimwa , lakini alichogundua kuwa mtu alietekeleza jambo hilo alikuwa ni mwanaume .
Alijikuta akitoa simu yake ya mkononi na kupiga , na dakika chache simu ilipokelewa .
“ sabi upo wapi ?”
“ nipo na mheshimiwa ndio tunaelekea uwanja wa ndege nasafiri kwenda marekani sasa hivi kuna nini? “
“ janeth “
“ kafanya nini “
“ katekwa “
“ nini? “
“ ndio yaani na sijui ni nani kafanya tukio hilo kwani ni mwanaume aliekuwa amejiziba uso “.
“sasa abasi nakusaidiaje , maana ndio nafika airport hapa na mheshimiwa “
“ wewe nenda tu nitajua cha kufanya , ila inabidi swala hili tulifanye kimya kimya madam asijue “
“ hakuna shida , hakikisha unanipa kinachoendelea , ukijua alipo wataarifu polisi pia “
“ poa “
*****
Saa moja kamili ndio muda ambao jeneth alizinduka , hakujua ni eneo gani alipo , ila alikuwa akikumbuka tukio la jana lote lililotokea , chumba alichokuwepo kulikuwa na kitanda na godoro ambalo halina shuka akiwa amefungwa mikono na miguu , huku mwanga hafifu ulioashiria kuwa muda huo ni asubuhi ulimurika ndani ya chumba hicho .
Janeth alijaribu kujinasua lakini aliona ugumu wa aina yake , na hapo hakuwa na jinsi kabisa , aliona siku hio kakamatika kweli .
Dakika chache mbele mlango ulifunguliwa na aliingia carlos cardosso awamu hii alikuwa hajajifunika kabisa uso wake .
“ wewe ni nani ?”
“ you fuk__ng bitch , stay quite before I lose my patient “ wewe kunguni tulia kimya kabla sijapoteza uvumilivu wangu
“ who are you “
“you don`t need to know who I am , what you need to know is that your day to go to hell are numbered “ huna haja ya kunijua mimi ni nani , unachopaswa kufahamu ni kwamba siku zako za kwenda kuzimu zinahesabika “ aliongea carlos huku akiwa amemsogelea kabisa usoni janeth akiwa amemkazia uso , lakini kwa janeth na yeye hakumchelewesha kwani alimtemea mate usoni na kumfanya carlos anyanyuke na kuyafuta huku akiwa kama hajakasirika , lakini fasta janeth alipokea kibao cha uhakika kilichomgeuza upande mwingine na hapo simu ya carlos ilitoa mlio kuashiria ilikuwa inaita aliangalia na kuona ni boss aliekuwa anapiga , alitoka mpaka nje ya chumba hicho na kuja kutokelezea kwenye moja ya sable kubwa kubwa yenye makochi ya mbao, huku kukiwa na baadhi ya wanaume wenye miili ya mazoezi wakiwa wanavuta sigara .
“ yess boss “
“ carlos make sure that bitch talks aboaut her boss, proceed with first class torture if she doesn’t cooperate “ carlos hakikisha huyo Malaya anaongea ni nani boss wake , akikataa kuongea mpe mateso daraja la kwanza .”
“okey boss “
Ilikuwa ni simu kutoka kwa kimbona aliekuwa akimpa maelekezo ya kipi carlos alichotakiwa kufanya , mara baada ya simu ile kukatika , carlos alimpa ishara moja ya wanaume wale waliokuwa wakivuta sigara na dakika kadhaa mwanaume yule alitoka na kuja na box kama la huduma ya kwanza na kisha aliongozana na carlos kwenda kuingia kwenye hiko chumba na kisha janeth alifunguliwa kwenye kile kitanda na kisha alifungwa kwenye kiti kwa ajili ya zoezi la mateso kuanza baada ya kumfunga jeneth huku kigauni chake kikiacha mapaja yake yalionona nje jambo ambalo wale wanaume waliangalia kwa matamanio.
“ boss can we talk out there “.boss tunaweza ongea kidogo hapo nje “ aliongea yule mwanaume mweusi kama mkaa akimpa ishara carlos , na carlos aliitika na wakatoka hadi nje kidogo “”
“what do you want to talk about Dario “ unataka kuongea nini Dario .
“how do you think if we *** her first , she is hot I cant stand it “unaonaje tukijilia vyetu kwanza kabla ya kumpa mateso mtoto mrembo mno siwezi vumilia “ aliongea Dario huku pepo la ngono likiwa linafanya kazi yake kwa kiwango cha 4G .
“ I think you have made a point but I will be the first to *** bcoz I did all the work myself and don’t tell the boys until we finish “nadhani umeongea point ila nitakuwa wakwanza kufanya maana nimehaingaika mimi mwenyewe na usiwaambie vijana mpaka tumalize “ aliongea na hapo darius alitoa jino lake lenye kutu kwa furaha .
“ you wait here until I finish the first round “ wewe suubiri hapa mpaka nimalize round ya kwanza “ aliongea carlos na darius alimuonesha alama ya dole gumba kukubaliana nae na carlos akazama .
Janeth alikuwa na wasiwasi mno , hisia zake zilimwambia tu kwa vyovyote lazima abakwe siku hio , kwani macho ya uchu alioyaona kutoka kwa watekaji wale alijua tu lazima huko nje walipokuwa wameenda kuongea ni kwenda kujadili mpango huo .
Na kama alivyotegemea ndivyo kilichokwenda kufanyika , kwani baada ya carloss kuingia alimtoa janeth kwenye kile kiti na kumrudisha kitandani na kumfunga mikono vizuri na mguu mmoja akaufunga mashariki na mwininge magharibi , na alivyoona zoezi lake limefanikiwa alilegeza mkanda wa suruali yake ya jeans ,ilishuka na kubaki na boksa tu , hakutakka kuvua yote maana alijua kuwa pia yupo kazini , janeth alishuhudia mdubwana wa carlos ulivyotuna ,hakuweza kupiga kelele kwani muda huo alikuwa ameshindiliwa matambala mdomoni , carlos alisogea na kupanda juu ya kitanda na kisha alikipandisha kigauni cha janeth .
Janeth hakuamini kama siku hio ndio anakwenda kuliwa tunda lake alilolitunza kwa miaka mingi pasipo kukutana na mwanaume yoyote yule , kwake aliamini baada ya kitendo hicho hatakuwa na thamani tena , kitendo cha kubakwa kwake ni Zaidi ya kuuliwa kuliko kufanyiwa kitendo hicho , kwa jinsi alivykuwa amefungwa hakujua kama anakupona siku hio , alichokifanya ni kufumba macho ili kusubiria unyama unaoenda kutendeka hhuku akimuomba mungu kutokee muujiza .
ITAENDELEA
SEHEMU YA 44
Carlos alitoa mhogo wake na kisha alitema mate na kuupaka vizuri kwa ajili ya kazi yake , lakini ile anavuta nguo ya ndani ya janeth , mara mlango uligongwa kwa nguvu , kitendo kilichomkasirisha na kutoka nje kwa hasira na alijua yote hayo ni wivu wa dario na alidhamiria kumfanyia mbaya , ile kutoka na mihasira yake lilikuwa ni kosa kubwa sana kwani alijikuta akilwamba risasi mbili kifuani na kwenda mkumku chini huku damu zikitapakaa mlangoni .
Mtu aliekuwa ameshika bunduki alikuwa ni damiani mwenyewe , tena huyu akiwa ni yule original asie na ngozi feki , sebleni hapo zilionekana damu zilizokuwa zimetapakaa kila kona , huku mwili wa dario ukionekana ukiwa chini huku dudu yake ikiwa nje kabisa na alionekana kabisa wakati mwenzake akiwa ndani basi na yeye alikuwa akipooza pooza dudu yake .
Damiani hakutaka kuchelewa , alikuwa amecahafukwa na roho ya kikatili mno , hakuonesha huruma hata kidogo , kwani damu zilizotapakaa eneo hilo zilionesha kuwa mtu alieingia eneo hilo alikuwa ni Zaidi ya hayawani .
Aliingia ndani ya chumba alichokuwemo janeth , na kumfanya jenth atoe machozi mara baada ya kumuona mwanaume damiani akiwa mbele yake , damiani alimfungulia na kumtoa matambara , , kitendo cha janeth kufunguliwa tu alijikuta akimkumbatia damiani kwa nguvu huku akilia kwa kwikwi , damiani alimbembeleza jeneth na kisha walitoka eneo hilo m mpaka upande wa barabarani na kuingia kwenye gari .
****
MASAA TISA NYUMA
Kwa janeth ilikuwa ni kama ndoto , kwani wakati huo alipkuwa usingizini alikuwa akiota kabisa kuna mtu kavamia nyumba yake , alijikuta akikurupuka , lakini wakati huo anakurupuka ndio wakati ambayo mlango wa nje ndio ulikuwa ukifunguliwa kwani alisikia ufunguo ukidondoka chini , alijikuta akipatwa na waswasi , na kukimbilia dirishani na kuangalia getini na hapo ndipo alipomshuhudia mlinzi akiwa chini alikimbilia simu yake na kutafuta namba ya abasi na kuipiga lakini haikupatikana kitendo kilichomfanya aachie tusi , hakujua ni mtu gani wa kumpigia muda huo na alijikuta akiwa amepiga namba ya damiani , lakini kabla hata hajaongea tayari kitasa cha mlango kilikuwa kishashikwa na hapo hapo alitupa simu pembeni huku simu ikipiga na kujifunikashuka gubigubi .
Huku upande wa damiani kama ilivyo kawaida yake ya kuchelewa kulala , saa sita kama na robo ndio aliingia kwenye chumba cha kulala , masaa machache mara baada ya kulala simu yake ilitoa mlio ikiashiria kuwa inaita , jambo ambalo lilimkurupusha na pia kumshangaza , hakujua ni nani anaweza kumpigia simu usiku huo maana haikuwa kawaida . .
Alijikuta akipokea simu mara baada ya kuona aliekuwa akipiga ni janeth , sauti ya kwanza kusikia , ilikuwa ni kishindo na hapo hapo akasikia sauti ya janeth “ wewe ni nani “ hapo hapo kwa akili yake ya haraka alikuwa ashajua kuwa kuna jambo la hatari lililokuwa linamtokea mrembo huyo , alijikuta akitoka kitandani mkumku huku simu bado ikiwa sikioni , sauti ya mwisho kuisikia , ilikuwa ni mguno wa wa mwanaume na hapo hapo hakusikia tena sauti .
Kilicho mchanganya kwa wakati huo hakujua ni wapi nyumbani kwa janeth kwani hakuwa na mazoea na mrembo huyo ya kujua ni mahali gani anaishi na laiti angekuwa anapajua basi angeendesha gari yake moja kwa moja mpaka eneo hilo .
Angekuwa na utaalamu wa wa komputa huenda na program kadhaa huenda kwake ingekuwa rahisi, lakini sasa uwezo huo hakuwa nao kabisa , alichokumbuka ni bastora yake aina S&W Model 12-9 aliokuwa ameihifadhi kwenye kabati , aliichomoa na kuvaa suruali yake ya jeansi na tisheti ya timberland na koti,na kutoka nje na kuingia kwenye gari yake aina ya BMW X8 , wazo alilokuwa nalo muda huo lilikuwa ni kwenda kurasini , lakini kuna wazo jipya lilimjia na wazo hilo ni kumpigia simu luangshu kwani aliamini muda huo china itakuwa ni muda wa asubuhi .
Dakika kadhaa tu simu ilipokelewa.
“ hello luang shu I am in very urgent emergency and I want to acces dreamer T by phone to find someone location “ habari luang shu nina dharula ya muhimu mno , nauliza kama ninaweza kupata mawasiliano na dreamer T kwa kutumia simu kujuaa mtu alipo “
“ yes its very simple dial the number I refer to in the usual way 0001” ndio ni rahisi sana piga namba ninazo kutajia kwa njia ya kawaida sifuri sifuri sisfuri moja “ aliongea na hapo hapo damiani alipiga namba zile na kuweka sikioni na hazikupita hata sekunde tayari simu ishapokelewa .
“welcome to DREAMER T global service , how may I help you ?” karibu kwenye DREAMER T huduma kwa ulimwengu , je unataka nini nikusaidie “
“ I need to locate someone, janeth bendera “ nataka kujua mtu alipo , anaeitwa janeth bandera .
“please wait our T to process your request “.tafahari subiri T akijaribu kufanyia kazi ombi lako “
“your request has been approved , a messege has been sent with a link that will direct you to the location where janeth bendera is “.ombi lako limefanikiwa meseji imetumwa kwako iliambatana na link ambayo itakuunganisha na mtu unaemtafuta .
“okey thank you “
Damiani alifungua ujumbe ule na kisha alifungua link ambayo moja kwa moja ilimpeleka mpaka kwenye google map iliokuwa ikionenyesha kialama chekundu kilichokuwa kikitembea , aliangalia eneo husika aliona janeth muda huo alikuwa anapita bunju na yeye wakati huo alikuwa yupo anatokelezea mbezi huku akifatilia mshale uliokuwa ukionesha uelekeo .
Masaa machache baadae ndio muda alifanikiwa kufika mpaka mwisho wa mshale ulipokuwa ukimpeleka , na alikuja kusimamisha gari barabarani eneo moja lililokuwa likifahamika kwa jina la kerege bagamoyo , alipita kanisa moja la roman na kusonga mbele huku akipata uelekeeo kupitia simu yake na mpaka anakuja kusimama kwenye nyumba moja kubwa iliokuwa na ukuta ndipo alipo pozi hapo , aliangalia hapo na kuona kuwa huo sio muda sahihi wa kuvamia eneo hilo kwani alijua kuwa lazima watu hao watakuwa wapo makini kwa muda huo , alichofanya ni kurudi barabara kuu na kuingia ndani ya gari na kwenda kusimamisha gari yake kwenye ofisi moja ya kata na kutulia hapo .
Saa moja kamili ndio muda ambao alikuwa akivamia eneo hilo na a aliingia kiulaini kupitia getini baada ya kumpiga pigo takatifu mtu aliekuwa akilinda geti baada ya kutoka kizembe na kisha alizama ndani na hapo ndipo alipochapa watu risasi bila huruma , alikuwa akipiga risasi huku akikumbuka tukio la mama yake kuuwawa kikatili na wala hakuogopa kabisa damu ambazo zilikuwa zikirukia kwa muda huo aliamini akileta uchungaji/ushekhe tu basi watu hao wangesmhambulia yeye ..
******
Moja ya watu ambao walikuwa na taarifa ya kutekwa kwa janeth alikuwa ni suzzane(miss k agent) , kwani tukio zima yeye mwenyewe alikuwa akilijua na hata mipango yote ya carlos alikuwa akiijua , alitaka kumtumia carlos kutekeleza jambo hilo ili iwe kwake rahisi kupata kujua kuwa janeth ni nani kupitia kwa carlos .
Hata taarifa za vyombo vya usalama vilivyoripoti tukio hilo kwake alitabasamu na kuona kuwa carlos alikuwa amefanya kazi kikamilifu kama alivyotegemea na ndio maana asubuhi hio aliongea na carlos wakutane eneo la bagamoyo kwa ajili ya kumfanyia mahojiano janeth .
Alikuja kupishana na gari alililopanda damiani akiwa na janeth karibu kabisa na shue ya sekondari baobab , na wala hakujua kuwa ndio aliikuwa anapishana na mtaalamu damiani ambae ametoka kufanya mauaji ya majambazi sugu au washirika wake .
Dakika tano pekeee alikuwa akikatiza kweye njia ya vumbi upande wa kushoto mkabala na kanisa la romani akielekea mafichoni alipokuwa ameelekezwa na carlos , baada ya kufika eneo hilo alisimamisha gari nje ya geti na kisha akaingia ndani pasipo kugonga na hapo ndipo aliponusa hali isio ya kawaida , maana komandoo huyu na jasusi alikuwa na machale balaa , alitoa bastora yake na kuiweka mkononi na kisha alifungua mlango wa sebleni na hapo ndipo alipopigwa na mshangao wa aina yake kwani damu zilikuwa zimetapakaa kila mahali , aliangalia kulia na kushaoto lakini hakuona alichokuwa akitafuta na alijikuta kwa umakini wa hali ya juu akitembea kuelekea mbele upande wa kulia na hapo ndipo alipokuja kukutana na maiti ya dario , na baada ya kuangalia upande wa kulia mlangoni ndipo alipomuona carlos , alimkimbilia na kisha alimwinamia huku akivaa gloves zake na kisha alimshitua na hapo kwa hali ya taabu sana carlos alifumbua macho .
“ carlos what happened here?? “
“daa.. daa.. miani “ aliongea carlos na hapo hapo akakata moto na kuwa wa baridi “ .
Suzzane hakutaka tena kubaki eneo hilo alitoka huku akiwataarifu polisi juu ya tukio hilo huku akiendesha gari lake kurudi alikotoka .
‘damiani .. inamaana damiani amerudi , kwa hali ile nilioikuta damiani atakuwa ni hatari na mkatili mno , anafanana na carlos tu “ aliongea suzzane huku aking`ata meno yake kwa hasira wakati huo akipishana na diffenda ya polisi iliokuwa ikielekea eneo la tukio ikitokea kituo cha polisi mapinga .
Tukio la kutekwa kwa janeth na kuwawa kwa walinzi wake lilisambaa kwa kasi sana kwenye vyombo vya habari na hio ni baada ya tukio hilo kuthibitishwa na mkuu wa polisi kanda maalumu ya dar es salaam , tukio hilo halikuishia kwa wananchi tu pia lilimfikia mke wa raisi wema au mama Patrick .
Jambo hilo lilimpelekea mshituko mno mama huyo kiasi cha kuanza kupumua kwa shida na mtu aliemuona kwa mabadiliko hayo alikuwa ni mfanyakazi wao wa ndani aitwae zainabu , alimtuliza kwa kumpa maji na hapo kidogo hali yake ilikaa sawa alichukua simu yake na kupiga kwa abasi .
“abasi unafanya kazi gani , nimekupa kazi ya kumlinda mwanangu , mpaka anatekwa wewe ulikuwa wapi ??“ .
“ nisamehe madam , jana nilipata dharula sikuwepo”.
“hayo sio mambo ya kuniambia mimi , namtaka mwanangu akiwa hajadhurika lasivyo utanitambua mimi ni nani “ aliongea mke wa rasi kwa jazba kweli huku akikata simu na kukaa kwenye sofa akihema kwa nguvu .
Polisi walikuwa wakifatilia kwa ukaribu sana tukio hilo akiwepo DCP (deputy commissioner) bwana barangwa mahimbo bwana huyu alikuwa na usongo kweli na kuhakikisha kuwa anawapata wahalifu akiongozwa na mwanadada aliepokea cheo cha usajini wa polisi (seargent )hawa takamoyo , wengi polisi wanamuita sajini au sajent taka vya moyo jina lake la utani .
Hawa baada ya kufika eneo la tukio kwa kuongozwa na abasi waliweza kufatilia kamera za ulinzi ndani ya eneo hilo , na hawakuambilia sura ya mtu huyo japo waliweza kipata muonekano wa mtu huyo , kamishina msaidizi alitoa maagizo wa sajent takamoyo kuhakisha ufatiliaji unafanyika kwa umakini wa hali ya juu mno .
“sajent hakikisha watu hawa tunawakamata mara moja , fanyeni upekuzi wa kila mahali kumbaini mhusika wa hili , kazi hii nataka isifike saa sita mchana iwe ishakamilika na proffesa janeth awe amepatikana na wahusika wafikishwe mbele za sheria “
“ sawa afande “ alipiga saluti na kazi ya msako ikaendelea , vijana waligawanyika kila kona ya jiji kuhakikisha kuwa wahusika wanapatikana , lakini sajenti nusu saa baada ya kuagana na kamishna msaidizi wa polisi bwana barangwa , alipokea simu kutoka kwa kamishna mwenyewe kumtaarifu kuhusu mauaji yaliofanyika bagamoyo .
Mara baada ya sajenti kupokea taarifa hio aliingia kwenye difenda na kuelekea eneo la tukio , dakika arobaini ziliwatosha kabisa kufika ndani ya eneo hilo na kuanza kupiga picha na kuchukua baadhi ya vielelezo ambavyo vingewasaidia katika upelelezi wao .
“carlos cardosso “ ni jina lililotamkwa na sajenti takamoyo mara baada ya kumgundua ,alikuwa akimfahamu vyema mtu huyo kwani anakumbuka tukio la kushambuliwa eneo la mikese na mtu huyo kutoroshwa wakati akisafirishwa kwenda gereza la morogoro , na kuanzia siku hio sajent takamoyo japo ya kuambiwa kesi hio isifatiliwe lakini kwake jambo hilo halikuwa swala la kulifumbia macho kwani kimya kimya alilikuwa akifanya upelelezi wa kujua kwanini siku ile walisahambuliwa kwa sindano za usingizi na mfungwa huyo kutoroshwa na pia isitoshe maagizo kutoka kwa wakubwa yakimtaka swala hilo liwe siri na lisifatiliwe , sintofahamu ya jambo hilo ndio iliomsukuma kutaka kujua Zaidi , maana kati ya moja ya polisi waliokuwa wazalendo na taifa basi ni mwanadada huyu sajenti takamoyo , ukimuona njiani akiwa na mavazi ya kawaida hutoamini kuwa alikuwa ni sajent wa polisi , maana alikuwa ameumbika haswa na sura yake ya kirangi , sura nyeupe , na umbo lake namba nane vilimfanya we mzuri kweli , lakini licha ya uzuri huo alipenda kazi ya polisi mno , alikuwa akipenda kukamata sana waharifu na kutokana na tabia yake alikuwa amefanikiwa kutokomeza sana uhalifu ndani yajiji la dar mpaka kupelekea kazi yake kuonekana kwa wakubwa na kupandishwa cheo na kuwa sajent .
Carlos cardosso ni jina lililomjia mara baada ya kuona sura hio ya mwanaume wa kibrazili akiwa amefumba macho akiwa mfu , kitendo cha kumkuta mwanaume huyo kuwa mfu aliamini kabisa mtu aliengia ndani ya eneo hilo na kutekeleza mauji ya carlos alikuwa ni mtu hatari sana .
Alichokifanya ni kuanza kuangalia mazingira ya hapo ndani na hapo ndipo alipokuta Kamba kwenye kitanda na kwenye kiti na pia vifaa vya kutesea watu alijaribu kuvuta picha ya eneo hilo na hapo alijua kabisa kuna mtu alikuwa amefungwa kwenye kitanda , alizidi kuvuta picha na hapo aligundua kuwa kuna mtu mwingine alieingia na kumuokoa mtu aliefungwa kwenye kitanda , hapo hapo alikumbuka video ya kamera alizochukua kwenye nyumba ya janeth za mwanaume alieingia ndani akiwa amejiziba uso , na hapo ndipo alipo jaribu kufananisha mwili wa carloss na jibu moa kwa moja likaja uwa mtekaji alikuwa ni carlos, na pia alijua kabisa kuwa janeth alikuwa ameokolewa na mtu aliefanya mashambulizi na kuuwa majambazi hayo .
Alipiga simu moja kwa moja kwa kamishina na kumpa maelezo ya tukio zima na pia uwezekano wajaneth kuwepo kwenye eneo hilo .
“ kama hayo usemeyo ni kweli , sasa hivi hakikisheni mnajua ni wapi janeth alipo maana yeye ndie atatoa maelezo kamili ya tukio zima “
“ sawa afande “
ITAENDELEA .
SEHEMU YA 45
“ulijuaje niko pale “ lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa janeth kwenda kwa damiani aliekuwa akitengeneza kifungua kinywa wakati huo janeth alikuwa amevaa tracksuti aliopewa na damiani alikuwa amesimama akimwangalia damiani aliekuwa bize .
“si ulinipigia simu jana wewe “
“kumbe ulisikia?? “
“ ndio , nilisikia purukusahani ndio nikajua kuwa upo kwenye hatari “
Aliongea damiani pasipo kugeuka nyuma , huku upande wa janeth alikuwa akimwangalia damiani hammalizi alikuwa akitabasamu , na kushukuru kwa wakati mmoja ,, kwani akikumbuka tukio lile la kutaka kubakwa , lilikuwa likimsisimua sana na kufanya nywele zake zisimame kwa woga na mwili kuwa wabaridi .
“asante sana damiani , ungechelewa kidogo tu nadhani sasa nisingekuwa janeth tena “.
“njoo chukua haya mayai tukanywe chai , kwanza sahau yaliopita yatakuumiza kichwa sawa “ aliongea damiani huku wakielekea dining na kutenga chai na kuanza kunywa , janeth tabasamu lililokuwa usoni mwake usingeamini kuwa ni mtu aliekuwa ametoka kuekolewa muda mfupi uliopita , alikuwa akinywa chai huku akimwangaia damiani na kutabasamu .
Baada ya kumaliza kunywa chai ndipo janeth alipomkumbuka mama yake na pia abasi kwani aliamini sasa hivi watu hao wangekuwa kwenye tafrani isio kifani ya kutaka kujua usalama wake , alimuomba damiani simu yake na kwakua namba alizokukuwa akikukumbuka ni za mama yake basi ndio mtu alieona ampigie .
Madam wema ama first lady alikuwa kwenye wasiwasi mmno , kila saa alikuwa akimpigia simu abasi kujua kinacho endelea , lakini taarifa zilikuwa zikimvunja moyo mno hakujua mwanae kama yupo salama , hata chai hakuweza kunywa kabisa siku hio inapitaje kwa mfano sasa mtoto unaempenda katekwa .
Muda wa saa nne kamili ndio namba mpya ilipopiga na kwa haraka haraka aliipokea na kuweka sikioni .
“ mom “ ilikuwa sauti ilisikika kwenye masikio ya mwanamama huyo .
“janeth uko wapi mwanangu , uko salama , uko wapi nitakufa mimi mama yako “
“niko sawa mama nilitekwa ila nimeokolewa mom niko salama usiwe na wasiwasi “
“ uko wapi kwasasa nataka kukuona “
“mama tunataonana niko sehemu salama , mwambie na abasi atakuwa na waswasi “ aliongea upande wa pili na kumfanya mama huyo kuhema kwa nguvu na kukaa chini ya sofa na kumshukuru mungu na simu ilikatwa .
“asante mungu , bendera mtoto wetu kapona “ aliongea mama huyo huku akionekana kuwaza mbali mno na kukumbuka maisha yake ya nyuma .
*****
HISTORIA YA MKE WA RAIS
Ni kipindi cha miaka yangu ya nyuma , kipindi hicho nikiwa binti mdogo kabisa wa miaka kumi na sita , nikiwa katika umri wa kuvunja ungo , kipindi hichi nilikuwa nikisoma shule ya sekondari songea girls,nilikuwa moja ya wasichana wapole sana wenye nidhamu ya hali ya juu ndani yashule yetu , japo sikujaliwa akili sana kama wanafunzi wengine lakini kwa uwezo mdogo niliokuwa nao nilikuwa nikijitahidi sana kusoma ili kufaulu katika masomo yangu hususani kipindi hicho nikiwa nipo kidato cha nne , kipindi hicho kufaulu kwenda kidato cha sita ilikuwa kazi ngumu mno kwa miaka yetu , kwani ilikuwa ikihitajika kazi kubwa ya kujisomea hasa kwa baadhi ya watu kama sisi ambao hatukua na iq kubwa kama wengine .
Licha ya kuwa mpole , nadhifu na nidhamu lakini pia nilikuwa moja ya wasichana ambao niseme kuwa tulikuwa tumejaaliwa uzuri , sio kama najisifu lakini huo ulikuwa ni ukweli , na mimi mwenyewe nilikuwa nikikiri hilo , lakini uzuri kwangu kuna muda mwingine niliona kama mateso , kwani ni mara nyingi nilikuwa anikitongozwa mpaka na baadhi ya walimu ndani ya shule yetu , jambo hilo lilikuwa ni changamoto kubwa sana kwangu kwani baadhi ya walimu ambao niliwakatalia walikuwa wakinitishia kunifelisha katika masomo yangu , moja ya walimu hao alikuwa ni mwalimu mmoja aliekuwa akifahamika kwa jina la mwalimu rama au mwalimu pengo kama alivyokuwa akifahamika kwa jina lake la utani kwani alikuwa na pengo , mwalimu huyu alikuwa akinitaka kwa muda mrefu sana lakini nilikuwa nikimkataa , sikua nikimpenda hata kidogo lakini pia sikutaka kujiharibia mimi mwenyewe kwa tamaa za mwalimu huyo , kwani nilijua madhara yake , lakini mwanzo wa kumkatalia mwalimu huyo ndio ukawa mwiba kwangu kwani alikuwa akiniferisha makusudi kabisa katika masomo yake aliokuwa akifundisha , hali hio ilinitia mawazo sana mpaka baadhi ya marafiki zangu wakaniambia nimkubalie lakini kwangu nilikataa katakata , nilitamani kwenda kusema ngazi za juu , lakini mtu aliekuwa huko ngazi za juu na yeye alikuwa akinitaka kimapenzi ,jambo ambalo niliona hakuna msaada wowote ambao ningepata , niliishi hivyo hivyo kwa kusoma kwa bidii huku nikiamini kuwa mtihani wa mwisho kwakuwa mwalimu huyo sio yeye anayehusika na kusahihisha basi niliamini hata afanyeje nisingeweza feli .
Mwezi wa tisa ndio mwezi ambao watu wengi walikuwa kwenye harakati za kujiandaa na mtihani wa moko , siku hio nikiwa ninajisomea na marafiki zangu alikuja headgirl wetu aliekuwa akifahamika kwa jina la mary singano , alikuja mpaka tulipokua tunasomea na kuniomba nikaongee nae pembeni , sikujua alikuwa na jambo gani la kuongea na mimi kwani kipindi hicho sikuwa na mazoea naye kabisa .
“wema nimekuita hapa kuna jambo nimelisikia kutoka kwa moja ya marafiki zako”
“ rafiki yangu nani na ni jambo gani? “
“hilo sio la msingi lakini naomba unisikilize “
“ndio nakusikiliza “
“ni kweli mwalimu rama anakufelisha masomo yako makusudi kwasababu ulimkatalia “ nilijikuta nikimwangalia headgirl kwa mshangao lakini wakati nikimwangalia nilijikuta machozi yakiwa yamenijaa mashavuni na hatimae kilio kabisa .
“ mbona unalia sasa wema , nimekuuliza naomba uniambie nataka kukusaidia “
“ ni kweli mary“ niliongea huku nikiwa na uchungu moyoni kwani ni kipindi kirefu nilikuwa nikivumilia jambo hilo na ni kama leo nimepata sehemu ya kulisemea , nilimwambia kila kitu headgirl juu ya jambo hilo .
“kuna mtu anataka kuonana na wewe “
“ nani ?“
“ utamjua ila ni kiongozi pia kutoka shule ya songea boys ni kaka mkuu kule “ aliongea mary na kunifanya nikae nifikirie .
“ kwanini anataka kuonana na mimi ??“.
“nimemwambia kuhusu swala lako mimi kama kiongozi na kwakuwa yeye kapewa jukumu hilo na mkuu wa wilaya ndio anataka akusaidia kufikisha malalamishi yako “
“ sawa nipo tayari kuonana nae “ niliongea huku nikijikuta nikipata tumaini .
Siku moja mbele nilikutana na kiongozi huyo , kwakweli siku hio baada ya kuonana nae nilijikuta mapigo yangu ya moyo yakibadilika , nilikuwa nimevutiwa mno na kaka huyo , kwa muoenekano wake alikuwa ni moja ya watu waliokuwa wakionekana kujiamini mno .
“naitwa john bendera ni headboy kutoka shule ya sekondari songea boys , nimefika hapa kwa ajili ya kuongea na uongozi wa shule yenu na hii ni mara baada ya mkuu wa wilaya kusikia tetesi juu ya wanafunzi kutumikishwa kingono katika mashule mengi yaliopo songea , hivyo nikawa moja ya watu ambao nimeteuliwa kufanyia uchunguzi swala hilo ndani ya shule hii , nishaelezwa kwa kifupi na headgirl hivyo nataka pia unipe maelezo yako wewe mwneyewe “ basi japo alikuwa akiongea ila kwangu mawazo yalikuwa kwingine kabisa , sijui ni kwa jinsi nilivyokuwa nikitongozwa na wanuume au laah kwani nilitamani bendera aniambie kuwa ananipenda ila sio kumwambia maswaibu yangu , alivyoniona nipo mbali kimaawazo ndipo aliponirudisha kwenye mstari na hapo ndipo nilipomueleza mkasa wangu wote na kuahidi kuwa atalifanyia kazi .
Siku nne mbele yaani ijumaa ndio siku ambayo mkuu wa wilaya alifika ndani ya shule yetu , alikuwa ni mwanamama mmoja mnene alievaa wigi , alifika ofisini kwa mkuu wa shule na mimi nikaitwa , lakini huwezi amini nilikutana na wadada watano wakiwa na malalamiko sawa na yangu wakimtuhumu mwalimu rama kuwatongoza nilijikuta nikizidi kumchukia mwalimu rama , japo alikuwa akinitongoza lakini nilitamnani yale aliokuwa akiniambia kuwa ananipenda kuwa yana ukweli wake lakini kumbe nia yake ilikuwa ni tamaa tu .
Basi mwalimu rama mbele ya mkuu wa wilaya na afisa elimu aliambiwa ajitetee . lakini maji yalikuwa yamemfika shingoni kwani mwisho wa siku alionekana kabisa hatukuwa tukimsingizia maana mashahidi walikuwa wengi , hivyo alifukuzwa shule rasmi .
Kitendo kile kwakweli shujaa wangu alikuwa ni bendera kwani niliamini pasipo yeye nisingetoka katika kifungo kile cha kufelishwa mitihani makusudi kabisa , kwanzia siku hio hisia zangu za kimapenzi juu ya bendera zikachipuka , zikamea na hatimae kukomaa ndani ya moyo wangu , ilikuwa kila jumapili nikipata nafasi lazima nikamuone bendera, mwanzoni ilikuwa ni kama nikienda kumshukuru lakini mwisho wa siku nilishindwa kujizuia mbele yake na jambo hilo aliligundua vyema , lakini jambo la ajabu ni kwamba kwanzia siku hizo bendera alianza kuniepuka jambo hilo liliniumiza na kunifanya nishindwe hata kuwa makini na masomo yangu kwani ni muda mwingi nilikuwa nikimfikiria bendera tu .
Mpaka tunakuja kufanya mahafali ya mwisho ya kidato cha nne mwezi wa tisa mwishoni ndipo nilipo pata nafasi ya kuonana na bendera kwa mara nyingine na kilichonifurahisha siku hio ni kuhudhuria kwake na kuniletea zawadi pamoja na ua jekundu nilifurahi sana siku hio , japo wazazi wangu walikuwepo lakini sikuwa na habari nao mimi nilikuwa na habari na bendeera tu , kwani kila picha nilitaka nipigwe na bendera , kiasi kilichowashangaza mpaka ndugu zangu akiwemo dada yangu .
Baada ya mahafali kuisha ndipo nilipo onana na bendera nilianza kumlaumu kwa kitendo chake cha kuniepuka , lakini huwezi amini nilikuwa nishamsamehe muda mrefu tu , yaani kitendo cha kuja kwenye mahafali yangu ndio kilichonifanya nimsahemehe kwani kipindi alichokuwa ananikwepa nilikuwa nishamshemea mpaka maneno mabaya ya kumchukia .
Basi kwanzia siku hio penzi langu na bendera likazaliwa rasmi , na kuuanza haatua za awali za ukuaji na ukomavu , siku ya mahafali ya bendera ndio siku yenyewe ambayo bendera alinitoa usichana wangu na kuniingiza kwenye raha ya mapenzi , nakumbuka ni kwenye moja ya guest house iliokuwa ikipatikana eneo la bomba mbili usiku ndipo nilipovuliwa nguo ya ndani na bendera na kunitoa usichana wangu .
Kwanzia siku hio ndio nikawa nimekufa nimeoza kwa bendera , yaani nilikuwa siambiwi wala sisikiii muda wote kichwa changu ni bendera tu.
Basi mwisho wa kumaliza mitihani yetu ndio siku ambayo nililala mpaka kukakucha na bendera , ilikuwa ni moja ya siku moja ya furaha sana katika maisha yangu , maana raha nilioisikia siku hio na Amani moyoni mwangu naweza sema kwamba haitoweza jirudia maana nilikuwa wamoto kweli , siku hio ilikuwa ni kupika na kupakua .
“ bendera ndoto yako ni kuja kuwa nani baadae “
“mimi “
“ ndio wewe mpenzi kwani kuna mwingine humu ndani “
“ mimi nataka kuja kuwa raisi “.
“hahaha … ndoto kubwa hio mpenzi sidhani kama itakuja kutimia “
“ lazima itimie mimi nakuhakikishia hilo kabla sijafa lazima niitimize na wewe umekuwa mtu wa kwanza kujua ndoto yangu lakini pia utakuwa wakwanza kushuhudia kile nisemecho “.
“ ukiwa raisi na mimi nitakuwa mke wa raisi si ndio “
“ ndio kwanzia sasa hivi wewe ni first lady mtarajiwa“
“ hahaha .. jamani “nilijikuta nikifurahi mno kwa maneno ya bendera .
“ nakupenda sana bendera usije ukaniacha “
“ siwezi kukuacha mpenzi nakupenda pia “
Basi niseme kwamba siku ambayo kilamtu anapanda gari la kwenda kwao kwangu ilikjuwa huzuni mno ni kama niliona sitokuja tena kuonana na bendera , japo tulijiwekea ahadi kibao lakini bado niliona haitoshi , tuliahidiana kupendana daima lakini niliona bado nilimtaka bendera mimi .
ITAENDELEA
SEHEMU YA 46
Basi siku hatimae mwezi ukapita bila kuonana wala kuwasiliana na bendera kipindi hicho nikiwa nyumbani kwetu singida , lakini huwezi amini nilianza kupata mabadiliko ya mwili kuchoka kwa mara kwa mara na kula vitu vichachu na hata muda mwingine asubuhi kutapika ninaposkia harufu ya mayai , mtu wa kwanza kuona jambo hilo alikuwa ni mama yangu , alijua kabisa kuwa nina mimba na hata mimi kwa hali hio nilijua kabisa nina mimba .
Baada ya mama kujua hali yangu alinichukua mkuku mkuku mpaka hospitalini huku akiwa amechukia mno , nilipimwa na nikagundulika nina mimba , kwangu swala hilo lilikuwa la furaha sana japo nilikuwa nalia lakini nilikuwa na furaha moyoni nilikuwa nikilia kinafiki tu sikuamini kama nilikuwa na kiumbe cha bendera tumboni kwangu , nilijiliza mbele ya mama baada ya kunigombeza sana huku akitaka nimtaje muhusika , lakini mimi sikutaka kabisa kumtaja bendera nilijua lazima bendera angefungwa maana nilikuwa nikimjua vyema mama yangu kwa misimamo yake .
Mwisho wa siku nilimdanganya kuwa nimebakwa nikajiliza liza kwake mwisho wa siku akahudhunika lakini baada ya siku akazoea , lakini kimbembe kilikuja kwa baba sasa baada ya kurudi kutoka migodini kahama huko buzwagi akiwa na mali , baada ya kunigungua mjamzito alimshutumu sana mama kwamba alikuwa ananilea kwa kunidekeza na mwishowe ndio kasababisha mimi kupata ujauzito na kwanzia siku hio akampa mama yangu talaka rasmi , huku yeye akienda kuishi na mwanamke mwingine huko mwanza .
Sikuwa na mawasiliano kabisa na bendera tokea aende kwao geita na kipindi hicho njia kubwa ya mawasiliano ilikuwa ni barua , akukuwa na simu za mkononi .
Basi maisha yangu na mama yalikuwa magumu kwani mama hakuwa na ajira ya kuaminika , alikuwa akifanya viabarua vya hapa na pale ili kuhakikisha mimi mwanae sikosi kula na kuvaa , uzuri ni kwamba nilikuwa mimi tu kwani dada alikuwa amekwisha kuolewa Iringa huko .
Maisha yalienda mpaka nilipojifungua mtoto wa kike , nakumbuka kipindi nilichojifungua matokeo yalikuwa yashatoka , na kwa taarifa tu ni kwamba nilifaulu kwa daraja la nne ambalo halikuwa likiniwezesha kwenda kidato cha tano , kwa bendera nae niliambiwa na rafiki yake kuwa alipata daraja la tatu alama ambazo zilikuwa zikimuwezesha kwenda chuo , nilishangaa kwani moja ya watu waliokuwa ni majiniasi basi alikuwa bendera kwani hata kwenye moko alikuwa amepata daraja la kwanza akiwa amewaongoza wenzake wote na wilaya , lakini matokeo ya mwisho ndio hivyo alikuwa na daraja la tatu , nilijiuliza ilikuwaje na hapo ndipo nilipokuja kuujua ukweli lakini baadae kabisa kuwa bendera alikuwa akiniwaza sana hahaha… kumbe wakati mimi nateseka juu yake na yeye alikuwa akiteseka juu yangu , na hayo yote nilikuja kuyafahamu kutoka kwa rafiki yake ambae nilikutana nae kipiindi nikiwa nipo jijini dar nikisomea masomo ya hotel management , lakini pia nilikuja kusikia kuwa bendera anayachukia mapenzi balaa na pia ananichukia hataki hata kunisikia , jambo hilo lilinikosesha raha na nilijua yote hayo ni juu ya kufeli kwake na ndoto yake ya kuwa raisi , na mimi baada ya kusikia hivyo sikutaka hata kumwambia kuwa nina mtoto wake .
Basi mtoto wangu nilimpa jina la janeth , japo mama aligoma kwani alitaka nimpe jina la kiislamu , lakini mimi nilikadhania hilo , mpaka nikapelekea mama kunihoji upya juu ya baba wa mtoto na hapo ndipo nilipomuambia ukweli kuwa mtoto alikuwa ni wa bendera na bendera ni mkristo hivyo siwezi kumpa jina la kiislamu na mama yangu alikubali .
Basi janeth akiwa na miaka minne mbeleni nilimuacha kwa bibi yake na mimi nikaenda kusomea masomo yangu ya hoteli management ndani ya jiji la dar , masomo ambayo yalinichukua miaka miwili na nikafanikiwa kupata cheti changu na kurudi singida , nilifurahi kumuona janeth kakuwa huyo kwani kipindi hicho alikuwa darasa la pili , lakini pia kilichonifurahisha ni kwamba hakuchukua akili ya mama yake bali alichukua ya baba yake japo sura kachukua yangu na rangi ka ujumla wake , shuleni alikuwa ni jiniasi sana alikuwa ndio namba moja , nilikuwa nikimpenda sana mwanangu .
Basi baada ya kukaa nyumbani miezi miwili na mtoto wangu ndipo nilipokuja kupata nafasi ya kazi Serengeti kwenye hoteli moja ya kitalii ndani ya mbuga za wanyama , kwanzia siku hio nilikuwa nimeamua kufanya kazi kwa bidi kwa ajili ya matunzo ya janeth, sikuwahi kujua bendera yuko wapi na sikujihangaisha kumtafuta , japo moyoni mwangu alikuwa amejaa tele , yaani nilikuwa nikitamani kumuona lakini sikuwa nikitaka kumtafuta .
Miezi sita ya kazi ndipo nilipokuja kukutana na mzungu mmoja aliekuwa akija hotelini hapo kama mtalii mwanzoni tulianza mazoea ya kawaida , kiasi hata cha wafanya kazi wenzangu kuanza kunishawishi nimchune huyo mzungu pesa , lakini kwangu sikutaka kujihusisha na mapenzi kabisa , moyoni mwangu alikuwepo bendera tu , lakini kila siku ambayo mzungu yule akija pale hotelini alikua akiniachia kiasi kukubwa cha pesa kiasi kwamba hata ushuari wa marafiki zangu ulianza kuniingia akilini .
“ yaani wewe wema mtu sio mtu wako anakupa mihela yote hii ukimpa je si atakutoa kwenye umasikini “ yalikuwa ni maneno ya rafiki yangu julita siku hio nikiwa nimetoka kumhudumia mzungu huyo niliekuwa nikimjua kwa jina la bruno , kwa mbaali nilianza kuona ushauri wa julitha una maana na kwanzia siku hio nilijiapiza kwamba siku nyingine akija lazima nimpe tunda , nilikuwa nimesahau kabisa ahadi zangu kwa bendera na pia kila nikikumbuka kuwa bendera alikuwa hanitaki kuniona kwa kisingizo cha kwamba nimemfelisha basi nilipata msukumo Zaidi wa kugawa tunda kwa bruno .
Baada ya miezi kadhaa bruno alifika tena , na siku hio ndio nilipopata nafasi ya kuongea nae bruno , alikuwa akionekana mtu wa mawazo sana kuna siku nilimkuta akiwa amekaa kwenye bustani akilia kwa kilio cha kwikwi kabisa , jambo ambalo liliniumza sana ukizingatia na kwa namna alivyokuwa akinijali kwa kunipa pesa zake ,.
Siku hio ndio niliodhamiria kumpa penzi kwani niliamiani kwamba alikuwa akihitaji faraja , sikujali tena bendera sijui flag kwenye moyo wangu nilichokuwa nikijali kwa muda huo ilikuwa ni furaha ya bruno , siku hio alilewa sana kiasi kwamba hakuwezaa hata kwenda chumbani kwake na ikabidi nimkokote mpaka ndani kwake , lakini kitendo cha mimi kuingia nae tu ndio alianza kuninyonya midomo na kunipapasa kitu kilichofanya kikunde changu kusimama na kuhisi wadudu wakinitambalia mwilini huku shoti kuanzia kwenye maziwa mpaka kwenye kitumbua zikinisumbua , madakika kadhaa nilikuwa mweupe kama nilivyozaliwa na nilikuwa nikiusikilizia mwiko wa mzungu bruno , nilijkikuta nikifurahia mchezo ule na hio ilitokana na kwamba nilikuwa sijafanya muda mrefu na naweza sema ilikuwa ni mara yangu yatatu kufanya mapenzi katika maisha yangu .
Basi kuanzia siku hio ndio ikawa ni bruno kuwa mwiko na mimi kuwa chungu ilikuwa ni mwendo wa kukaanga mboga tu , kitendo hicho niliona kikirudisha furaha kwa bruno kiasi kwamba kama marafiki zangu walivyokuwa wkainiambia ni kweli nilianza kupewa pesa za kumwaga kiasi kilichonifanya kuanza kupendeza lakini pia matunzo ya janeth yakiongezeka , kutokana na ufaulu mzuri wa janeth niliamua kumhamisha shule kipindi hicho akiwa darasa la nne na nilimpelaka kenya shule moja iliokuwa ikifahamika kwa jina la hillcrest international shule nilioifahamu kutoka kwa rafiki yangu mkenya aliekuwa akifanya kazi hapo singita .
Baada ya miezi ya kupakua na kupika ndipo nilipojikuta nina ujauzito jambo ambalo kwangu sikulitarajia kabisa , kwani katika maisha yangu sikutaka kabisa kuwa na mtoto tofauti na wa bendera , lakini I nigesemaje sasa kwani pesa zilininogea nikajisahau sikua na jinsi tena , nilimsubiri bruno aje tena nimwambie juu ya ujauzito huo
Na kweli baada ya miezi alikuja na nikamueleza , japo nilikuwa nina tabasamu usoni lakini sikuwa nikimpenda kabisa bruno , yaani nilitamani hata kiumbe kilichoko tumboni nikitoe , lakini l niliogpa hio dhambi kabisa , basi baada ya kumwambia vile alionyesha kufurahi tu jambo ambalo lilinipa matumaini na alinishauri niache kazi nirudi nyumbani na atakuwa ananitumia pesa za matumizi , kwakua nilikuwa nikimuamini basi niliamua kuacha kazi na kurudi nikiwa na kiasi cha kutosha cha pesa , mama alishangaa mno baada ya kumwambia ni mjamzito , lakni nilimuelewesha kuwa mwanaume alienipa ujauzito ndie alienifanya hata kumpeleka janeth hillcrest , zilikuwa ni pesa za huyo mwanaume na nilimwaminisha kuwa alikuwa akinipenda , na kadri siku zilivyokuwa zikienda ndio mama aliamini maneno yangu kwani bruno hakukoma kunitumia pesa na kipindi hicho aliniambia kuwa alikuwa amehamia nchini rasmi na kuanzisha biashara zake .
Baada ya miezi tisa nilijifungua salama mtoto mwenye asili mbili yaani mzungu na mwafrika , alikuwa ni mtoto mzuri mno wa kike baada ya kujifungua bruno alikuja kisiri sana muda wa usiku na kuomba kuonana na mtoto na baada ya kumuona alimwangalia na kisha alitabasamu na kumbusu kwenye shavu kulia na kushoto then kwenye paji la uso kisha akanipa mtoto na katoa kidani flani hivi cha almasi na kumvalisha na hapo ndipo bruno alipo niambia maneno ambayo yalinifanya mpaka leo hii kumchukia milele lakini haikunifanya kumchukia yeye tu pia nilijikuta nikimchukia mwanangu wa kumzaa .
“ madam madam “.
Ilikuwa sauti ya zainabu ndio iliomtoa wema kwenye mawazo ya kumbukumbu yake ya nyuma
“ naam “
“ amka ule hata kidogo mama yangu “
“ sawa “,
*****
Baada ya janeth kuwasiliana na mama yake kimbembe kilibaki kwa janeth na damiani kwani damiani hakutaka kujulikana kama ndie aliemuokoa janeth , walikaa wakajadiliana ni kwa namna gani wanaweza wakalitatua hilo swala ndipo janeth alipomwambia neno moja damiani ambae mwenyewe hakujua ni kwa jinsi gani mwanadada huyo anakwenda kulifanya .
“ damiani I want you to trust me , as I said you won`t be involved “ damiani nataka uniamini katika hili niamini kabisa hutohusika .
“okey sawa janeth nakuamini , lakini nataka uniruhusu nikupeleke mwenyewe mpaka kituo cha polisi “ aliongea damiani na kumfanya janeth atabasamu na furaha kumjaa tele mbele ya mwanaume huyo .
“ okey damiani “.
Basi baada ya wawili hao kukubaliana , moja kwa moja walienda mpaka kituo cha polisi cha osterbay kuripoti na hapo ndipo walipokutana na waandishi kibao waliokuwa wakihitaji kujua mwenendo huo wa utekaji , kitendo cha janeth kutokezea tu alianza kuzongwa na waandishi wa habari , lakini damiani aliwazuia na mwishoe alitoa maelezo ya kueleweka ndani ya kituo hicho huku sajent takamoyo akiandika kila kilichokuwa kikisemwa na janeth .
“ kwa hio unamaanisha aliekuokoa hukumuona ?”
“ ndio sikumuona ila aliniambia jina lake nimwite mzalendo tu basi inatosha “.
“ na baada ya kutoka hapo ndani ulifikaje mpaka mjini “
“ nilipewa lift na mzungu mmoja hivi anajulikana kwa jina la stephano lamberk “.
“ unamaanisha huyo mtoto wa bruno lamberk aliekuja nchini hivi karibuni “
“ ndio “
“okey naona ndio amekuleta hapa”
“ ndio”
“ pole sana professor janeth , kwasasa sina mengine ya kukuuliza ila pale tutakapokuhitaji tutakuita mahali hapa “
“ nashukuru sajenti takamoyo”.
Baada ya maelezo hayo kamanda wa jeshi la dar es salaam aliongea na waandishi wa habari na kueleza mtiririko mzima wa kesi hio .
“ ndugu waandishi wa habari mnamo saa mbili ya leo tulipokea taarfia ya kutekwa kwa proffessa janeth bendera na baada ya taarifa wanausalama wetu walifika eneo la tukio na kufanya uchunguzi , lakini tukiwa katika uchunguzi huo ndipo tulipopokea simu ya majambazi kuuwawa na mtu aleijitambulisha kwa jina la mzalendo , ambae kwa taarifa alizonazo proffesa ni kwamba mtu huyo hakupata kumuona sura ni hayo tu waandishi “ aliongea kamishina ba baada ya hapo na janeth alihojiwa .
“ proffessa inasemekeana kwamba una umri wa miaka ishirini na saba ni kweli kwamba wewe ni proffessa na uliwezaje kupata uproffesa wako ukiwa na umri mdogo “ aliuliza mwandishi mmoja naefahamika kwa jina la chakunyegera
“ kuwa proffessa kwa umri huu sio jambo la kushangaza sana kama utakuwa na juhudi katika masomo, lakini pia vile vile napenda kusema mungu amenijalia na uwezo wa kuweza kusoma na kuelewa haraka naweza sema ndio kitu kilichoniwezesha kuyapata mafanikio haya kwa haraka “
“ proffessa janeth bendera , jina lako la mwisho linaonesha kuwa linafanana na la marehemu raisi wa tanzania bwana john bendera , je una uhusiano wowote na na yeye?? “
“hapana nadhani kama ningekuwa na mahusaiano ya karibu nayeye ningeweza kufahamika katika jamii ya watanzania , hivyo hakuna mahusiano yoyote kati yangu na ya marehemu raisi bendera “
“tumesikia kwamba umefanya tafiti mbali mbali katika maswala ya teknolojia katika vyuo ulivyopitia je umerudi nchini au umekuja kusalimia na kuondoka kwenda kufanya kazi nchi za nje ka ?” aliuliza mwandishi kimbembe .
“ kwasasa nimerudi kikamilifu nchini na sijarudi peke yangu , nimerudi na timu kamili ambayo kwanzia sasa na kupita kampuni ya NLT tunakwenda kuindeleza Tanzania katika swala zima la maendeleo ya kiteknolojia kwa ujumla wake , ili kuhakikisha Tanzania ya viwanda ambayo mheshimiwa bendera na mheshimiwa raisi wa sasa waliookuwa wakiiota inakwenda kufanikiwa na hatimae taifa letu kusonga katika swala zima la uchumi kwani viwanda kwa sasa ni teknolojia , ukiwa na teknoojia nzuri utadhalisha bidhaa bora kwa muda mfupi ambazo zitaingia kwenye ushindani na bidhaa za nje na ile hali ya watanzania kudharau bidhaa zetu za ndani itakwenda kutoweka kabisa “
Maneno alioongea yaliwafanya waandishi kuridhika lakini pia damiani aliekuwa pembeni na ngozi yake ya kistephano lamberk au kizungu alitabasamu , kwani maneno hayo yalimgusa sana .
Baada ya mazungumzo hayo waandishi waliomba kuongea damiani ama stephano lamberk lakini alikataa kwa kuwaambia kuwa anawaalika rasmi katika siku ya ufunguzi wa kampuni yake wiki moja mbeleni .
ITAENDELEA
SEHEMU YA 47
Taarifa ya kuwawa kwa carlos cardosso ilimfikia kimbona akiwa ofisini kwake , ilikuwa ni moja ya taarifa mbaya kwake , hakuamini kabisa kuwa jambazi hatari wa kimataifa ambaye alikuwa akimuamini sana katika kazi zake na kazi zinazofata alikuwa ameuawa kwa kupigwa na risasi na mtu anaejiita MZALENDO , kwake swala hilo lilikuwa ni pigo , lakini pia kwa vijana wake wengine ambao walikuwa wakimfanyia kazi kwani wote waliuwawa , jina la mzalendo lilizidi kumuumiza kichwa mno na hakujua ni maamuzi gani achukue kwa wakati huo , lakini pia alishukuru kwani pia hakukuwa na mtu ambae amekuwa hai kwani lazima wangebanwa lazima angabainika kwamba yeye ndie aliekuwa nyuma ya vijana hao na hata jambazi hilo .
Wakati akiwa kwenye mawazo simu yake iliita na aliekuw akipiga alikuwa ni sam , alipokea na kuweka sikioni na neno la kwanza kusikia lilikuwa :
“ uko wapi “
“ niko ofisini “
“ nakuja “
“ poa “
Nusu saa tu sam au rich sam alifika ndani ya ofisi hio ya kimbona ndani ya kampuni yake ya KILAC , alionekana na yeye alikuwa na wasiwasi kweli .
“ nimeona taarifa ya kifo cha carlos cardosso kwenye vyombo vya habari “
“ ndio hivyo hata mimi habari hio ndio kwanza nimeipata na mpaka sasa sijajua cha kufanya “
“ sasa una la kufanya lipi na wakati wa kufa washakufa , wewe waache wafu wazike wafu wao sisi tuendelee na mipango mingine , uzuri ni kwamba huyo mzalendo kaua kila mtu “
“ ni kweli kabisa na mimi kanirahishia kazi kweli kwani angemuacha hata mmoja na polisi wangefika huenda wangetutaja “
“ hata wangekuwa hai tungemmaliza kabla hajapanua mdomo wake tuna koneksheni nyingi ndani ya taifa hili , au usahasahau kuwa sisi ndio tunao liongoza taifa “
“ ndio najua , lakini waswasi ndio lazima uwepo “
“ ni kweli “
“ unasema tuongee mpango mwingine ni upi huo ?”
“ marie yupo nchini “
“ marie yupi “
“ nawewe ushasahau si nilikwambia yule jasusi wa CIA anaetokea thailland “
“ anhaa nimekumbuka daah , kichwa kimevurugwa saivi yaani “
“ haha .. pole lazima uvurugwe najua vjana uliwapoteza wanakuumiza “
“ ndio hivyo , kwa hio anasemaje “
“anasema uchunguzi nchini china amegundua kuwa damiani yupo hapa nchini “.
“ unamaanisha damiani karudi “
“ ndio na inaonekana amerudi muda mrefu , si unaona hali yahewa ilivyombaya “
“ inawezekana , lakini sasa huyo damiani yuko wapi “
“ anasema kuna uwezekano wa mambo mawili , damiani anaweza akawa stephano lamberk au stephano lamberk anafahamiana na damiani “
“ hapo stephano kufahamiana na damiani nakubali , ila swala la stephano lamberk kuwa damiani sikubali hata mje na mzimu wa mama yangu “
“ hahaha … hata mimi nimemwambia hivyo ila kasema speculations zake zinaweza zikazaa majibu kati ya hayo na kwasasa anaingia kazinia kulifatilia hilo “
“inabidi umpe na kazi ya kufatilia na hili la huyu mzalendo “
“ ndio maana nimekuja hilo ni moja wapo “
“ na lingine ni lipi “.
“ death notice from U-97 “
“ inamuhusu nani hio “
“ julieth , stephano lamberk ,sabi mboneche na wema sufiani wanatakiwa wauwawe tumemepwa siku kumi kulikamilisha hilo “.
“ huyo sabi ni nani “
“ ni mtoto wa marehemu brigedia mboneche saivi ni mkurugenzi wa ikulu mawasiliano “
“nini , sasa kwanini wauwawe na hilo la mke wa raisi linakaa vipi “
“ hata mimi sielewi yaani nimechanganyikiwa , nilichoambiwa ni kwamba hao wanahatarisha umoja wetu ndani ya Afrika kwa ujumla “.
“mhmh ! aisee sielewi “
“ mimi kuna picha inanijia hapa “
“ picha gani “
“brigedia mboneche aliuliwa na U-97 “
“kwanini auliwe “ alingea kwa mshangao .
“ sijajua taarifa hio kwa undani wake ila ni kweli kauliwa na U-97 na taarifa hio nasikia mwendazake alikuwa nayo , jambo ambalo mpaka sasa linanipa mashaka huenda hata mwendazake kauliwa na U-97 “
“mhmh na wema je ?”
“ inawezekana pia kuna mambo anayafanya pasipo ya uelewa wetu yanayohatarisha umoja , level za juu za uongozi wanaijua tanzania kuliko tunavyo ijua sisi “
“ unamaanisha sisi ni kama mashushu tu “
“ ndio maana yake , ninahisi U-97 sio madawa ya kulevya tu kuna ya ziada ila sitaki hata kuyajua mimi mimi najari pesa tu “
“ umeongea point sam , sisi tudiri na njururu tu “.
“ hahaha.. eti njururu , ndio maana nakukubali kimbona , njururu ndio kila kitu siku ya kwenda mars nataka niwe na nauli “
“ hahaha .. kumbe unampango wa kwenda mars “
“haha ndio , sema kuna hili swala la kufa linaninyima raha kabisa “.
“ haha .. mimi hata siliwazii saivi nakula maisha tu , nikifa mimi vijana wataniwakilisha “
“ kweli kabisa , tunawekeza kwa watoto “
“ ndio , halafu hujaniambia hao wanakufaje na nani anafanya hayo”
“hio ndio kazi yetu kimbona , nina mpango wa kwenda kuwakodi al shabab “
“uatawapatia wapi wanamgambo hao “
“ mawasiliano yao yapo ndani ya umoja wetu “
“ unamaanisha U-97 “
“ ndio kwani kuna umoja gani mwingine , yaani mpaka sijui boko haram islamic state , alqaida sijui waasi gani wote wapo chini ya ufadhili wa U-97 , mambo haya ni siri kimbona acha uropoke uone na wewe death notice yako nisipotumiwa “
“siwezi ropoka , yaani huu umoja kuna muda unaniogopesha ila hela zikiingia kwenye kaunti nasahau hofu “
“ hahaha hfu ndio adui yetu kimbona , ukiwa na hofu umekwisha utakuwa masikini wa kutupwa “
“ ni kweli kabisa “
“sasa nimekuja kukuambia pia kuwa kesho nitakuwa na kikao na wakuu wa U-97 , japo mheshimiwa yupo nje ya nchi , ajenda ya kikao hicho nishatumiwa , hili la sabi , wema , stephano na janeth ni siri yetu mimi na wewe “
“ hakuna shida “
Basi sam aliondoka na kumuacha kimbona akiwaza .
*****
Basi hatimae giza liliingia muda wa saa mbili kamili za usiku ndani ya hoteli ya regency Kilimanjaro ilionekana gari ya merina ikipark katika eneo hilo na akatoka mrembo huyo akiwa amependeza kweli , baada ya yeye kutoka na kuingia ndani , iliingia tena gari aina ya V8 XR nyeusi na alitoka mkuu wa majeshi bwana abdallaha khalifa bwana aliefika akiwa amevalia suti yake na miwani na akaingia ndani ya jengo hilo la hoteli .
Nusu saa mbele ndani ya ukumbi mdogo wa mikutano eneo la VIP meza ilionekana ikiwa imezungukwa na watu wasiopungua watano yaani bwana kizito kabwela , merina sostness , Abdallah khallifa , bwana elly matinde, zakayo au agent Z na CP (commissioner police ).
“ jamani za saa hizi “ aliongea matinde kiongozi wa kikosi hicho cha watu watano ukimtoa zakayo maana zakayo yeye hapo alikuwa yupo kwa ajili ya maslahi tu .
“ salama “
“ kwanza nawashukuru sana kwa kufika wote bila kukosa katika kikao hichi cha dharula na hii imetokana na jambo ambalo lilikuwa nje ya uwezo wangu, kulitokea maamuzi hivyo kuhitaji ushauri wenu juu ya hilo , lakini pia tutasikia ripoti fupi ya pale upelelezi wetu ulipofikia mpaka sasa “ aliongea matinde na kisha alimkaribisha zakayo pasipo kupoteza muda .
“mpaka sasa naweza sema kwamba upelelezi wangu haujafikia mwisho , lakini kuna hatua kubwa ambayo mpaka sasa nimefikia ambayo inanipa matumaini ya asilimia kubwa ya kuikamilisha muda mfupi ujao
Mpaka sasa nimefanikiwa kujua kifo cha mama yake damiani kilivyotokea na kifo hicho kilitokea mnamo tarehe tajwa huku jeshi la polisi kukamilisha upelelezi huo kwa kuutangazia umma kwamba tukio hilo lilikuwa ni la kijambazi ambalo walijaribu kuwahusisha majambazi hao na majamazi waliovamia chuo cha SEKOMU (SEBASTIANI KOLOA MEMORIAL UNIVERSITY ) lakini taarifa hio ni ya uongo na ya kweli ni hii “ alitulia kidogo akaendelea .
“Kifo cha sarah rabani hakikuwa kifo cha bahati mbaya ila kilikuwa kifo cha kupangwa na ni mpango wa muda mrefu ulioandaliwa na bwana bruno lamberk , lakini licha ya kwamba bruno alipanga kufanya mauaji haya lakini inaibuka sintofahamu kutokana na kwamba siku ya tukio la kuwawa kwa sarah rabani , bruno lamberk alikuwa amejeruhiwa kwa risasi , mpaka pale kijana damiani kumfikisha nyumbani kwao kwa ajili ya msaada na hapo kukutwa na mauti , lakini licha ya kwamba siku ya tukio hilo bruno lamberk alikuwa na jereha la risasi, lakini pia kuwa na dhamira ama mpango wa kumuuwa mama rabani, ni kwamba tukio hilo linaweza likawa limefanikiwa ama halikufanikiwa, na hili ni kutokana na uchunguzi nilioufanya na kubaini kuwa siku ya tukio nyumbani kwa sarah kulikuwa na watu wanne yaani saraha marehemu , bruno marehemu , muaji namba moja na muaaji namba mbili, najaribu kuwaita kwa namba kutokana na kwamba mpaka sasa sijapata kuwafahamu majina yao , naendelea.. , muaaji namba moja alikuwa ndani ya nyumba wakati damiani na mzee kivinje (mganga wa kijiji wa tiba za asili )walipo fika nyumbani kwa sarah , mzee kivinje alimshuhudia muuaji namba mbili aliekuwa ameshika bastola na akivuja damu kwenye bega akitokomea huku akiwa ametoka ndani ya nyumba ya sarah lakini pia huyo huyo kivinje aliweza kumshuhudia muuaji namba moja akiwa ndani ya nyumba ,nyuma ya mlango akiwa amejiziba uso , nadhani mpaka hapo mmepata picha kuwa kuna watu wanne ambao wana majibu tunayoyatafuta , lakini wawili tunawatoa kwani washatangulia mbele za haki na sasa waliobaki ni wawili yaani muuaji namba moja na namba mbili , lakini kwanini mpango huo umuhusu sarah , ni kwamba kwa taarifa za awali ni kwamba damiani alikuwa ni chaguo la bruno katika kukamilisha mpango X nimeupa mpango X kwani mpaka sasa sijajua unahusu nini, ni jambo ambalo nitalifatilia kiundani Zaidi,mahusiano ya mambo haya na kujua mahali alipo damiani ni kama ifuatavyo , kama tulivyoona mambo haya yalivyotekelezwa ni kwamba danieli mtalemwa aliuliwa na carlos cardosso akishirikiana na agent miss k (suzzane ) paisina shaka naamini miss k kapokea maagizo kutoka kwa raisi , lakini pia bila shaka pia carlos cardosso aliachiwa huru kwa ajili ya kummaliza danieli kwasababu danieli alikuwa ni komandoo namba moja na hakuwa na mpinzani hapa chini katika mapambano Zaidi ya carloss hilo ni A , B ni kwamba target ya kuuliwa kwa danieli ni kutokana na taarifa nyeti aliokuwa danieli ambayo ni nyaraka zilizoachwa na bruno , lakini ikatokea kwamba nyaraka hizo hakuwa nazo danny ila alikuwa nazo damiani hivyo suzzane alikuwa akitaka nyaraka hizo kutokana na oda ya raisi , lakini kitendo cha kukimbia kwa damiani hii inakuja sasa kwenye ripoti yangu ya nyuma tuliona damiani akipata msaada ambao tunaamini kwamba bila kuwa na koneksheni asingefanikiwa kupata msaada huo hadi kwenda thailland hio inaniaminisha kwamba koneksheni hio ilitengenezwa na bruno mwenyewe au vininginevyo katika mpango x na kwa maneno hayo nasema kwamba moja ya mtu ambae yupo kwenye mpango x ni balozi wa kenya bwana njiroge japo swala hilo suna uhakika nalo , bwana njiroge atatufahamisha ilikuwaje akakubali kumsafirisha damiani mpaka kenya .
Pili uchunguzi hautaishia hapo naamini kati ya muuaji namba moja na namba mbili mmoja wapo anaweza akawa uraiani au wote wakawa uraiani hivyo taarifa za bwana njiroge zitakuwa muhimu na pia za aidha muaji namba mbili au namba moja zitakuwa muhimu .
Mwisho nihitimishe kwa kusema kuwa mpaka sasa carlos Cardoso keshapoteza maisha kwa kuuliwa na mtu anaejiita mzalendo ninayo taarifa ya awali kutoka kituo cha polisi magogoni zinazoainisha kwamba hili sio tukio namba moja la mtu anaejiita mzalendo , pili pia taarifa kutoka TISS inasema kuwa huenda mzalendo akawa anahusika na shambulio la raisi pale serena.”
“ ni kupongeze sana bwana zakayo kwa ufanisi wako katika uchunguzi wako lakini nina swali moja , kuna uwezekano wa mzalendo kuwa na koneksheni na mzalendo “.
“ mheshimiwa kizito hilo ndio swala ambalo nitalifanyia uchunguzi wa kina na kama kuna muunganiko naamini tutafahamu “
“mimi nina swali moja kama ulivyodema mpango x , je unaamini kuwa mpango huu unaendelea na kama unaendelea je damiani anaweza akawa ndio anaendeleza mpango huo “aliuliza merina
“ naamini mpango huo unaendelea m, kama damiani aliweza kufika nchini thailland naamini hivyo , lakini pia naamini anaweza akawa anafanya mambo ambayo hajui asili yake huku akiwa amemezezwa udanganyifu “ .
“nataka kuongezea hapo kwa miss merina kuhusu huo mpango x , vipi unaamini swala hili ni rahisi kupata majibu yote tukiwa ndani ya taifa la Tanzania bila kupitia katika nyayo ambazo amepita damiani ili kujua mpango huo x “aliuliza CP
“ hilo nalo ni swala ambalo nilikuwa nikilifikiria na pia nilitamani kuliweka wazi , kuna mawili kwa mambo ambayo yanaendelea hapa nchini kuna hisa zinaniambia kuwa yanaweza yakawa yanahusika na mpango x moja ya jambo hilo ni juu ya swala la bwana stephano lamberk kufika hapa nchini na kuanza swala la uwekezaji , mali za bruno kwenda kwa innova , mzalendo haya ni mamb ambayo mpaka sasa yananifikirisha nab ado sina majibu sahihi kama mnavyojua sisi wenyewe tulimjua bruno kwa Zaidi ya miaka ishirini iliopita , na hatukuwahi kusikia kuwa ana mtoto basi kuna majibu ambayo yanaweza yakatupa majibu Zaidi “
“ nikushukuru sana bwana zakayo kwa upelelezi wako , sasa nirudi kwa sisi wana jumuia yetu hii ambayo mpaka sasa hatujaipa jina , swala nililoshindwa kulitolea maamuzi ni swala la huyu balozi wa kenya , zakayo katoa pendekezo la kumteka , lakini kwangu mimi nimeona ni jambo la hatari kwa nchi na ushirikiano wa kimataifa vilevile kwani mpango wetu sio kuiharibu Tanzania ila ni kuijenga hivyo nilikuwa nahitaji mawazo yenu katika jambo hilo “ aliongea matinde
“ mimi nina wazo moja , nadhani tutafute footage ambazo zitatapelekea kuwa ushahidi ili pale tutakapoenda kumhoji bwana huyu njiroge asije akakataa kutohusika , na kama akikubali basi ni lazima atatupa majibu sahihi “
“ naunga mkono hja ya bwana kizito “
“Tunaunga mkono wote hoja “
“ kama tunaunga mkono wote hoja , basi naamini swala hilo halitakuwa na ugumu nitakachotakiwa kufanya ni kumpatia kitambulisho ambacho kitamuwezesha bwana zakayo kufanya pelelezi ndani ya balozi na pia ndani uwanja wa ndege , labda kama zakayo una jambo la kuongea “
“ ndio ninalo la kuongea ambalo pia naamini litanisaidia katika uchunguzi wangu “
“ni lipi hilo “
“ waheshimiwa nadhani tunakumbuka miaka ya nyuma nyie ndio mlikuwa wateule wa mheshimiwa bendera , na pia kwa taarifa ni kwamba ninnyi ndio mliohusika katika biashara nzima ya kutokomeza dawa za kulevya , lakini nikiwa nchini Indonesia nilipokea mission iliopewa jina la 0404 na nilikamilisha hio na mission hio ilitoka kwa raisi mwenyewe nataka kujua ni kwa namga gani raisi bendera aliweza kusaliti biashara yake ya madawa ya kulevya na kuunga juhudi za kukomesha madawa ya kulevya hapa nchini kwani moja ya vijana wa bruno walinipa taarifa kwamba bruno hakufanya kwa mapenzi yake ila ni kwamba raisi alimshika pabaya , nataka kujua huenda likanisaidia kujua mpango x “ aliongea zakayo na kuwafanya wazee hao washangae ni kama waliokuwa wakijuliza na kizito alitingisha kichwa na kumuashiria matinde kuwa anaweza kuongoza .
“ mission 0404 ilikuwa inahusika na mtoto wa bruno na mheshimiwa hakuweza kutuweka wazi sana ila hio ilikuwa ni weak point ambayo ilituwezesha kumfanya brunoo cooperate”
“ mpaka hapo nimepata picha , lakini kuna jambo linanichanganya kidogo kama ni hivyo basi bruno atakuwa na watoto wawili , kwani niliemteka mimi alikuwa ni mwanamke “
“inawezekana “
“ waheshimiwa kabla hamjaendelea nina swali kidogo “ aliongea merina na kuwafanya wote wamwangalie .
“ mmesema mission 0404 nataka kujua ilikuwa inahusu nini “
“ilikuwa ni abduction miss merina “
“ abduction , ilitokea wapi hio ?”
“USA” aliongea zakayo na hapo ndipo alipo mfanya merina atoe jicho huku machozi yakianza kuloanisha mashavu yake na kuwafanya wote washangae .
ITAENDELEA .
SEHEMU YA 48
“ miss merina vipi mbona unatoa machozi”.lilikuwa ni swali kutoka kwa kizito kwenda kwa merina , na merina haraka haraka alijikuta akifuta machozi .
“ hakuna muheshimiwa kuna tukio nimelikumbuKa miaka ya nyuma kidogo limenifanya hisia zangu zizamie huko “ aliongea merina huku akijiweka sawa na hakukuwa na mazungumzo mengi ndani ya kikao hicho kwani kilifungwa rasmi na kila mtu akatawanyika .
Upande wa kutokea nje kabisa ya maegesho alionekana matinde akiwa ametangulizana na zakayo .
“ mheshimiwa huyu merina wazazi wake ni wakina nani ?”
“nasikia wanaishi canada huko kwanini unauliza ?“.
“anafanana na yule msichana niliemteka miaka ya nyuma “
“ unasema kweli?? “
“ ndio tena nilishangaa sana baada ya kumuona “
“ kwa hio unataka kumaanisha kwamba merina ni mtoto wa bruno? “
“ siwezi jua labda wamfanana tu ila sina uhakika “
“ haiwezekani watakuwa wamefanana kwani merina nimejaribu kufatilia habari zake ni kweli wazazi wake wapo Canada ni wamiliki wa kampuni ya ATPAY “
Aliongea matinde na kumfanya zakayo akubaliane , muda huo walikuwa wakiingia kwenye gari , lakini wakati wakiwa wanaingia kulionekana mtu kwa upande wa kushoto akiwapiga picha , alikuwa kijana mdogo alievalia kofia huku akiwa ameshikilia kamera yenye lensi kubwa .
Upande wa merina alijikuta akiendesha gari huku akiwa na mawazo ya hapa na pale , alijikuta akikumbuka na yeye tukio la kutekwa akiwa chuoni nchini marekani , tukio hilo japo hakupata madhara yoyote lakini alikuwa akiliogopa sana kwani ilikuwa ni mara yake ya kwanza kutokewa na tukio la aina hio .
“ nimewakumbuka mom and dad” aliongea huku akiongeza mwendo kuwahi nyumbani kwake , lakini mawazo yake hayakuishia kwenye kuwakumbuka wazazi tu alikuwa pia akikumbuka ripoti nzima ya zakayo , alikiri kuwa zakayo alikuwa vyema katika kufanya upelelezi lakini kwa upande mwingine aliona kama zakayo alikuwa akifanya upelelezi ambao haukuwa ukimuhusu damiani .
“ stephano anaweza akawa anajua ni wapi damiani alipo lazima nikamuulize kesho yake huu uchunguzi wa zakayo unachukua muda mrefu mno kuliko nilivyotegemea “ alijiongelesha merina huku akiingia mtaa wa masaki
******
Mheshimiwa raisi japo alikuwa safarini lakini alikuwa akifatilia kila kilichokuwa kikiendelea ndani ya taifa la tanzania , , japo bwana huyu alikuwa na madhaifu yake lakini likija swala la maslahi ya taifa alikuwa akipigania sana , na katika kipindi kifupi cha uongozi wake alikuwa amefanya mengi ya kuwafanya watanzania wajivunie .
Muda huo alikuwa ndani ya hoteli ya kitalii ndani ya jiji la Washington DC akiwa anaangalia baadhi ya taarifa kutoka Tanzania , moja ya taarifa iliokuwa gumzo ni ya proffessa janeth kutekwa na mpaka kupatikana kwake , huku akiwa kivutio kwa kuwa proffesa kwa umri mdogo tu jambo ambalo liliwashangaza sana watanzania .
“ janeth bendera “ alijikuta akitamka jina hilo huku akuwa ameshikilia mvinyo wake akiwa amekaa kwenye sofa huku akionekana kuwaza mbali mno na hapo kumbukumbu zake zilimpeleka nyuma miaka kadhaa .
***
Ni baada ya miezi kadhaa baada ya kurudi nchini kutokea kenya ambako nilikuwa nilienda kumwakilisha mheshimiwa raisi katika kikao cha wakuu wa nchi za afrika mashariki , kwangu ndani ya kipindi cha miezi hio kilikuwa ni kipindi ambacho kwa namna moja ama nyingine nilikuwa nikisumbuliwa na mawazo ya hapa na pale , maneno alioniambia mheshimiwa ndalu nikiwa ndani ya jiji la Nairobi yalikuwa yakijirudia rudia mara kwa mara ndani ya kichwa changu , na kuongeza shauku yangu ya kutaka kujua baadhi ya mambo yanavyokwenda , kwani nilijihisi kabisa nilikuuwa kwenye kiza kinene , furaha yangu mbele ya bendera ilianza kupungua , udhaifu mkubwa ambao niilikuwa nao katika maisha yangu ilikuwa ni familia nilikuwa nikiipenda sana familia yangu kiasi kwamba sikupenda jambo lolote liikumbe familia yangu , maneno ya mheshimiwa ndalu kuhusisha na familia yangu kidogo nilipata mashaka , lakini si mashaka tu lakini pia nilitaka kujua kwa undani maneno yake kama yana ukweli ndani yake, maana mpaka mtu kuja mpaka hotelini kwangu tena nje ya nchi ilimaanisha kwamba kuna jambo alikuwa akitaka nilifahamu ambalo ameona kabisa sikuwa na ufahamu nalo .
Sikuona haja ya kujiumiza tena na mawazo ya aina hio , jambo nililoamua siku hio nilivyokuwa nikitoka nyumbani kwangu nikielekea ofisini, ni kulifatilia swala hilo , mara baada ya kufika ofisini nilikaa nikaanza kuwaza ni kwa namna gani ninaweza kulifatilia jambo hilo kwa undani, na kwakuwa mimi mwenyewe sikuwa na uzoefu na kazi hio na pia nisingeweza kuifanya miimi mwenyewe niliona kulikuwa na ulazima wa kupata mtu ambae anaweza akalifanya jambo hilo , nilianza kuwaza na kuwapambua walinzi wangu mmoja baada ya mwingine , wapo niliokuwa nikiwaamini sana lakini pia niliamini wasingeweza kuifanya kazi hio kwani walikuwa na ujuzi wa kawaida sana ambao wasingeendana na kazi yangu , kazi nyingine iliibuka hapo , niliwaza ni nani anaeweza kunifanyia kazi hio akili yangu ilikwama , nilijikuta nikipotezea kwanza swala hilo na kufanya majukumu yangu ya kiofisi na baada ya kumaliza majukumu yangu ya kiofisi ndipo nilipokea simu kutoka kwa muheshimiwa , wakati huo alikuwa makao makuu ya nchi na mimi nilikuwa ndani ya jiji la dar es saalam , nilipokea simu ya muheshimiwa .
“habari za kazi muheshimiwa “
“ salama henry , unaendeleaje na familia na majukumu yako kwa ujumla “
“ mheshimiwa namshukuru mungu familia inaendelea vizuri lakini pia na majukumu yangi ya kiofisi yapo vizuri “
“ nafurahi kusikia hivyo henry , sasa nimekupigia kuna jambo nataka nikwambie , umoja wa wafanyabishara wa dar es salaam mwezi uliopita waliniomba nihudhurie katika mkutano wao walioupa jina la ‘get together ‘ na waliniomba kuwa mgeni rasmi , lakini kutokana na ratiba zangu na tarehe tajwa mambo yamebanana kwani siku hio nina ugeni kutoka china, waziri wa mambo ya ndani ya uchina atakuwa hapa nchini hivyo naomba uniwakilishe “
“ hakuna shaka muheshimiwa nitakusaidia katika hilo “.
“shukrani sana henry , kuhusu hotuba ya siku hio na maelekezo mengine nitakutumia kwa njia ya email “
“ sawa muheshimiwa “.
Baada ya kupokea simu hio kwangu niliona ni jambo jema kwani na mimi pia nilikuwa mfanya biashara , hivyo kumuwakilisha mheshimiwa katika kikao hicho kwangu ilikuwa ni fursa nyingine ya kufahamiana na wafanya biashara wakubwa nchini ambao sijawahi kukutana nao .
Basi siku yenyewe ilifika na nilifanikiwa kuhudhuria kikamilifu katika mkutano huo ambao nilikuwa mgeni rasmi nikimuwakilisha mheshimiwa raisi , ulikuwa ni mkutano uliokuwa umejaaa mengi ya faida kwa Tanzania na kwa wafanya biashara pia .
Moja ya wafanya biashara waliokuwepo katika kikao hicho alikuwepo bruno lamberk akiwa na walinzi wake , alikuwa ni moja ya wafanya biashara waliokuwa na ulinzi mkubwa sana nchini na hio yote ilikuwa ni kutokana na mchango wake katika swala zima la kutokomeza madawa ya kulevya , mchango ambao ulitokana na kuwasaliti wenzake na kupelekea kuwa na maadui wengi nchini na hivyo ulinzi wake kuwa ni moja ya jukumu la kiserikali .
Moja ya walinzi wake ndie alienivutia mno kwa kazi yangu hakuwa mwingine bali alikuwa ni suzzane , nilikuwa nikizijua sifa zake nyingi japo ya kuwa komandoo lakini pia alikuwa na mafunzo ya kiintellijensia , jambo ambalo lilinifanya nimuone moja ya watu ambao kama angeaminika angekuwa ni perfect candidate (mtu sahihi) kwa kazi yangu , wazo hilo liliibua changamoto nyingine ndani ya kichwa changu , nilijua kabisa mwanadada huyo alikuwa ni mlinzi wa bruno , lakini pia ni moja ya vijana waliokuwa wakiaminiwa na mheshimiwa raisi , kwangu changamoto ilikuwa ni kwa jinsi gani ninaweza kumshawishi kunifanyia kazi yangu na pili kumwamini kwa kutotoa siri juu ya kazi nirakayompa .
Baada ya kurudi nyumbani kwangu wazo moja lililonijia ilikuwa ni kutafuta wakati wa kuongea na suzzane kwa siri sana pasipo ya kushitukiwa , jambo nililokuwa nikitaka kulifanyia uchunguzi lilikuwa likimuhusu bruno pia ndio maana niliona natakiwa kumshawishi suzzane kwa namna yoyote ile anifanyie kazi yangu.
Siku ya jumamosi ndio siku niliofanikiwa kuandaa appointment meeting na suzzane katika hoteli ya colleseum ndani ya masaki , nilichagua hoteli hio kutokana na kwamba siku hio bwana bruno alikuwa ndio mahali pake pakufanyia mazoezi kwani matajiri wengi walikuwa wakipapenda kutokana na kuwepo kwa club ya mazoezi (body fitness club) na mimi pia nilikuwa mwanachama wa club hio .
Jambo ambalo nimefanikiwa ni kuonana na suzzane , lakini jambo ambalo sikuwa na uhakika nalo ni kumshawishi mwanamke huyo kunifanyia kazi yangu , na ndio maana nilikuwa ninataarifa nyingi sana zilizokuwa zikimuhusu suzzane , nilikuwa na taariifa zilizokuwa zikiihusu mpaka familia yake kwa ujumla , niliona nivyema kujiandaa kwa namna yoyote ile .
Siku hio hakukuwa na shida sana ya kuonana nae kwani alikuwa ni moja ya walinzi ambao walikuwa zamu katika kumlinda bwana bruno , hivyo alichokifanya suzzane ni kuwaachia wenzake majukumu kwa muda wakati boss waka akichukua mazoezi .
“ nadhani umepata mshangao uliojaa maswali suzzane mara baada ya kupata ujumbe wangu “
“ ndio muheshimiwa nilipatwa na mshangao huo kwani naamini hatupokei maagizo kutoka kwako “
“ napenda ulivyo na maneno ya moja kwa moja suzzane na mimi nitakuwa na meneno ya moja kwa moja ili tuweze kuelewana kwa haraka “
“ hakuna shaka muheshimiwa , maana pia nipo kazini “
“ kuna kazi nataka unifanyie suzzane , ambayo ina malipo makubwa sana kama utaikamilisha “
“ mheshimiwa kama nilivyosema awali ni kosa kubwa kwa mimi kupokea kazi binafsi zinazohusu malipo pasipo ruhusa ya wakuu wangu wa kazi . kwani endapo itafahamika kwa mheshimiwa raisi ninaweza kuipoteza kazi yangu lakini pia ni kosa la kuvunja kiapo changu”
“ nalielewa hilo suzzane kabla hata sijakuita hapa , lakini pia naelewa familia yako kwa ujumla ni kwa jinsi gani unahitaji pesa za kutosha kuitunza , kutokana na baba yako kufilisika kwa kushindwa kulipa kodi na hatimae kuwa gerezani kwa kesi ya uhujumu uchumi “
“ mheshimiwa ulikuwa ukiifatilia familia yangu ?”
“sio kuifatilia suzzane najua mengi kuhusu yanayoendelea katika familia yako , lakini yote nimeayafanya ili kujenga Imani yangu kwako , juu ya kazi ambayo nataka kukupatia unifanyie “
“ mheshimiwa kama unataka kunipa kazi kutokana na hali ya maisha ya familia yangu , basi naomba kazi hio umtafute mtu mwingine akufanyie “
“suzzane sio nia yangu ya kuifatilia familia yako ,lakini niimefanya hivyo kutokana na umuhimu wa kazi yangu lakini pia kujilinda mimi mwenyewe , najua huajamtembelea muda mrefu baba yako gerezani ,nataka kukuambia kuwa anateseka sana na mimi ndio mtu pekee ambae naweza nikamtoa gerezani “
Suzzane alijikuta akikumbuka kuwa ni kweli hajawahi kumtembelea baba yake gerezani muda mrefu , tokea apatikane na kesi ya uhujumu uchumi , alikaa huku akimwangalia mheshimiwa kwa hasira .
“ naomba nikalifikirie hili muheshimiwa nipe muda “ aliongea suzzane huku akinyanyuka .
“ sawa suzzane unasiku mbili tu za kufikiria , kama upo tayari utanipigia kwa hii namba na utaletewa taarifa za kazi yenyewe ambayo unatakiwa kuifanya , siku utakayokamilisha kazi yangu ndio siku ambayo nitamtoa baba yako gerezani “. Aliongea makamu wa raisi , na kisha aliagana na suzzane huku akiamini kwa asilimia mia maongezi hayo yamefanikiwa , kwani alishajua udhaifu wa suzzane uko wapi hasa pale alipo litamka jina la baba yake , hizo zote zilikuwa ni hila za henry katika kumpata suzzane , aliamini misimamo ya wanajeshi ndio maana alichukua tahadhari mapema sana na hata gerezani alitoa amri ya baba yake suzzane kuongezewa mateso makali mno , huku akiamini kabisa suzzane lazima angefika gerezani kwa ajili ya kumuona baba yake kabla ya kufanya maamuzi .
Basi baada ya mimi kuagana na suzzane sikuwa na lingine zaidi ya kusubiria jibu langu kutoka kwa suzzane , jibu ambalo niliamini kwa asilimia mia moja kwamba lazima suzzane akubali , kwani kama mheshimiwa andalu alivyotumia udhaifu wangu kwa kutaja familia yake katika kufikisha ujumbe wake na hivyo hivyo na mimi nilitumia udhaifu wa suzzane katika kufikisha ujumbe wangu ili akubali kunifanyia kazi yangu .
Siku moja mbele nilipokea simu kutoka kwa mkuu wa magereza kuwa suzzane alifiika kumuona baba yake , jambo lililonifanya kutabasamu mno , kwani niliamini kwa hali ambayo atakuwa amemkuta nayo baba yake , basi lazima angenitafuta , na kweli nilikaa Zaidi ya masaa mawili tu ndipo nilipo pokea simu kutoka kwa suzzane akitaka kazi huku akihitaji nimtoe baba yake gerezani , ule msemo wa damu nzito kuliko maji ulichukuwa nafasi yake.
Basi nilimpa suzzane kazi kuu mbili , kazi ya kwanza ilikuwa ni kuchunguza maisha ya bruno kwanzia akiwa nchini kwa mara ya kwanza mpaka siku ambayo anausaliti umoja wake , pili nilihitaji kujua mwenendo mzima uliofanyika mpaka raisi bendera kuwa raisi wa Tanzania .
Baada ya kumpa kazi hio suzzane , wiki hatimae mwezi ulitimia na ndipo suzzane alipo nitaarifu kuwa anataarifa kamili ya kazi niliokuwa nimempatia , na mimi kwa hamu kubwa sana ya kujua ripoti hio sikukawia kwani nilipanga sehemu ya kuonana nae , sehemu yenyewe ilikuwa ni ndani ya hoteli ya new Africa hoteli muda wa saa tatu kamili za usiku ndio suzzane alipofika ndani ya chumba ambacho nilikuwa nimekichukuwa kwa ajili ya kuonana nae.
“ enhe niambie suzzane ripoti inasemaje “
“ suzzane kwanza alitabasamu jambo ambalo lilinishangaza sana , lakini sikutaka kuuliza maswali mengi Zaidi ya kutaka kusikiliza ripoti hio .
“ mheshimiwa una moyo wa kusikiliza ?”
“ suzzane niambie acha kunitisha , nimepitia magumu mengi bhna “
“ mheshimiwa katika uchunguzi wangu , mkeo pia emejitokeza katika ripoti yangu , je unaniruhusu niendelee ?”
Nilijikuta moyo ukipiga paa , baada ya kusikia jina la mke wangu , kwa jinsi suzzane alivyokuwa ananinagalia niliamini kabisa ripoti hio haikuwa na mazuri kabisa ya kuyasikia , nilikuwa nikimpenda sana mke wangu na Zaidi ya yote nilikuwa nikimuamini pia .
“ suzzane naomba usome ripoti hio tafadhari inanihusu mimi sio wewe ndio maana nakulipa “
“sawa muheshimiwa , aliongea kisha akapozi na akaangalia faili lake . na kisha akaendelea , mheshimiwa kutokana na maelezo ya kazi ulionipa nilifanikiwa kufanya utafiti wangu kwa kina Zaidi na ni mengi ambayo nimeyafahamu ambayo pia yanamuunganisha mkeo katika ripoti hii , labda kwa kuanzia nianze na ripoti ya mkeo , mkeo alisoma songea girls , lakini alipofikia kidato cha nne ndipo alipokutana na mpenzi wake wa kwanza ( first love) anajulikana kwa jina la john bendera “
“ unasemaje suzzane ?”
“ ndio mheshimiwa , si umesema nisome , mkeo mpenzi wake wa kwanza , namaanisha madam wema kipenzi chake cha kwanza ni mheshimiwa bendera “ kwa jinsi alivyokuwa akiongea suzzane nadhani alikuwa akifurahia taarifa hio , na hii niliamini huenda ni kwa jinsi nilivyompa kazi hio hivyo alikuwa akilipiza kisasi , nilipata mshituko wa aina yake , moyo uliniuma hatari na hasira zilianza kupanda huku presha nayo haikuniacha salama , pumzi zilinikatika ghafra , na suzzane aliliona hilo na alinipa maji na kidogo hali yangu ikatulia .
“ mheshimiwa niendelee?”
“endelea tu suzzane nipo tayari kusikiliza “
“ mheshimiwa kama nilivyosema mkeo ashawahi kutoka kimapenzi na bendera kuhusu taarifa nyingine jinsi walivyo achana sina , ila waliachana baada tu ya kumaliza kidato cha nne na kila mtu kurejea nyumbani kwao , na kuanzia hapo bendera hakuwahi kuonekana kuwa na mahusiano tena na wema na hio nikutokana na ufaulu mdogo ambao alipata kidato cha nne , huku akiamini aliechangia matokeo yake mabaya alikuwa ni wema , hilo ni la kwanza ,la pili ni mkeo pia ashawahi kutoka kimapenzi na bruno lamberk na inasemekana wema ashawahi kubeba mimba ya bruno mpaka kujifungua lakini haikujulikana mahali mtoto alipo mpaka sasa hivi , hivyo nilishindwa kupata taarifa juu ya mtoto “ suzzane wakati akisoma hakujua kuwa nilikuwa kwenye hali gani kwani neno la mwisho kusikia lilikuwa ni ‘wema ashawahi kubeba mimba ya bruno ‘ hapo hapo ndipo nilikata moto nilikuja kuamka siku nyingine kabisa nikiwa hospitalini , mwanzoni baada ya kufungua macho yangu sikukumbuka ya jana lakini nilijishangaa kwanini nilikuwa ndani ya hospitali , na hapo ndipo nilipo anza kuvuta kumbukumbu zangu nyuma na kuanza kukumbuka wakati suzzane akinisomea ripoti ile , machozi ya kiume ndio yalio anza kunitoka tena mbele ya mke wangu , nijilikuta nikimwangalia kwa hasira mno huku macho yakiwa yameloana machozi .
“ kuna nini mume wangu , mbona uko hivi jamani “ aliongea wema , nilijikuta nikitamani kuongea chochote lakini nilijizuia lkuongea neno , moyo ndio uliokuwa ukiniuma mno , nilikaa hospitalini huku dokta akimwambia mke wangu kuwa nilipata mshituko wa moyo , wema alitaka kujua ni kipi kilichonifanya kuwa na mshituko moyo lakini sikutaka kabisa kuongea kitu , jambo ambalo nimeligundua lilikuwa likiniumiza sana moyo , kuna muda niliona bora hata nisingefatilia ya nyuma kwani yamekuja kuniumiza tu .
Baada ya hali yangu kuonekana ipo kidogo imetulia ndipo niliporudi nyumbani na mtu wa kwanza kuja kuniona alikuwa ni raisi bendera , nakumbuka hio ndio siku ambayoo nilithibitisha maneno ya suzzane na hio ni mara baada ya mheshimiwa bendera kusalimiana na mke wangu , wote walikuwa wakiangaliana kwa macho ya kuongea kabisa , mapenzi yanauma nyie yasikilizieni tu kwa wengine , jinsi moyo ulivyokuwa ukiniuma haikuwa na mfano , chuki yangu dhidi ya mheshimiwa bendera iliibuka kwa kasi ya ajabu sana , japo nilivumilia sana , lakini nilitamani kumkaba na kumuuliza kwanini alikuwa akinificha mambo , nilikuwa nikimwamini sana rafiki yangu bendera lakini kitendo cha kunificha juu ya uhusiano wake wa nyuma na wema liliniuma sana , lakini sikuwa na jinsi kabisa , nilichokuwa nikiwaza kwa wakati huo ni kutaka kujua kama walikuwa wakiendeleza mapenzi yao pasipo ya mimi kujua na hapo ndipo nilipo mpa moja ya vijana wangu kazi ya kumfatilia mke wangu .
Baada ya siku kadhaa kutengemaa nilimpigia tena suzzane nikitaka aje animalizie ripoti yangu na awamu hii sikutaka kabisa kwenda hata hotelini kwani nilimuita ofisini kwangu kabisa , sikujali tena juu ya usalama wake au nini .
“ suzzane nataka uniambie kuhusu mtoto wa bruno na mke wangu yuko wapi “.
“ mheshimiwa kwa taarifa nilizo nazo ni kwamba mkeo alijifungua salama mkoani singida , lakini baada ya hapo hakuwahi kuonekana kabisa kuwa na mtoto “.
“ kwa maana hio kuna uwezekano mtoto huyo kuwepo mahali anaishi na je alikuwa ni jinsia gani ?”
“ alikuwa ni mtoto wa kike “
“ na bruno alikuwa akijua juu ya hilo “
“ ndio muheshimiwa , kwani alienipa taarifa alisema bruno ndie aliemshawishi wema kuacha kazi mara baada ya kupata ujauzito “.
“wanawake wauji kabisa , nimekaa miaka yote hio pasipo kujua kuwa mke wangu ashawahi kujifungua bullshit .“
Nilijikuta nikiongea kwa hasira mno
ITAENDELEA