Ujasiriamali ufundishwe katika day cares na kindergarten. At least ile 'how it is made'

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Mar 29, 2022
2,398
3,074
Wadau wa elimu.

Huwa tunaanzia kufundisha watoto a e i o u

Kisha ndio babebi... halafu ndo mambo ya 'Baba anakula nzige, aliyeng'ang'ania jani shambani'.

Nani alisema kuwa ni lazima mambo yaende hivyo?

Mfano tukiamua kuanzia kumfundisha mtoto namna jet engine ya ndege inavyotengenezwa halafu tukamwambia 'Mtoto ukisoma, ukaelewa mambo ya aeiou, ba ebibobu na baadaye ukawa mkubwa mwenye akili, utaweza sasa kutengeneza ndege inapaaa juuuuuu'

Kwa uzoefu wangu sie nyumbani tulianza kusomewa hadithi kwanza. Hadithi taaamu kweli halafu tunaambiwa, mkijifunza mkajua kusoma mtajisomea wenyewe hadithi nzuri kwenye haya mavitabu yoote zimejaa habari za kuvutia sana. Guess what! Nilijikuta nimekuwa msomaji mmoja matata shule ya msingi tu. Kitabu cha kurasa mia tatu sijui mia tisa huko sijui (Eric Shigongo books) nnakikata chini ya wiki.
Mzee mwenyewe huyu hapa๐Ÿ‘‡


View: https://youtu.be/31c1k00hBFM?si=9X97CEMNOa1iHAjH

Sasa ukiachana na kusoma tu, jiulize mwanao ungependa awe nani? Baada ya kusoma. Halafu mfundishe hicho kitu na baada ya hapo mwambie, ajisomee yeye mwenyewe akikazana atafaidi hicho anachopenda.

Itamjengea mtoto udadisi, na msukumo wa kuelewa utatokea ndani yake kabisa hadi utashangaa.

Zama za kulazimisha mambo, ni akili za kitumwa. Hazifai.

Haiya, sasaa kama Taifa:
Tujiulize tunataka wananchi wajao wawe na mtazamo gani? Wa ajira au ujasiriamali? Biashara, uchuuzi, viwanda eeh?

Baada ya hapo tuwekeze kwenye kuwapa picha watoto za hivyo vitu katika hali watakazozipenda. Kisha waambiwe, wasome kwa bidii waje wafanye makubwa katika sekta za ujasiriamali, uongozi, usindikaji wa bidhaa, viwanda nk.

Mfano, tunaenda kindergarten vidudu na mpishi, wanajifunza watoto kupika keki na kupamba. Kisha wanaambiwa mtaweza kujitengenezea keki, biskuti, mtamiliki viwanda vya pipi etc.

Au anaenda mjasiriamali anayetengeneza mafuta ya kupaka, shule ya msingi. Wanakusanywa wanafunzi kama wanavyokusanywa kuoneshwa mazingaombwe....

... By the way tunavoweka maonesho ya mazingaombwe je? Tunathamini zaidi wananchi wa kesho wavutiwe na uchawi au lengo ni nini?๐Ÿคซ๐Ÿค”

... Turudi kwenye mada. Basi wanakusanyika wanafunzi, na mjasiriamali anaonesha hapo jinsi anachanganya sabuni au mafuta ya kupakaa. Baadhi wanashiriki kuandaa wamevaa kisayansi kabisa. Wanagawiwa zawadi ya mafuta. Mwishoni wanafunzi wanamuungisha bidhaa nyingine kadri inavyofaa.

Mwalimu anawaambia, wakiwa wadadisi, wakiijua sayansi, kemia, na hisabati mbona watamiliki hadi viwanda kabisa.

Mzazi usisubiri shuleni, wewe mwenyewe unaweza kumuanzisha mtoto uelekeo ufaao hapo hapo nyumbani. Muoneshe lengo, halafu kisha kila hatua anayopiga italeta mantiki. Akili tu mtu wangu.

Aliyetembea duniani anisaidie, hivi huko Uchina, Japani, Ujerumani wanafanyeje?

Basi kwa leo ni hayo.
 
Wadau wa elimu.

Huwa tunaanzia kufundisha watoto a e i o u

Kisha ndio babebi... halafu ndo mambo ya 'Baba anakula nzige, aliyeng'ang'ania jani shambani'.

Nani alisema kuwa ni lazima mambo yaende hivyo?

Mfano tukiamua kuanzia kumfundisha mtoto namna jet engine ya ndege inavyotengenezwa halafu tukamwambia 'Mtoto ukisoma, ukaelewa mambo ya aeiou, ba ebibobu na baadaye ukawa mkubwa mwenye akili, utaweza sasa kutengeneza ndege inapaaa juuuuuu'

Kwa uzoefu wangu sie nyumbani tulianza kusomewa hadithi kwanza. Hadithi taaamu kweli halafu tunaambiwa, mkijifunza mkajua kusoma mtajisomea wenyewe hadithi nzuri kwenye haya mavitabu yoote zimejaa habari za kuvutia sana. Guess what! Nilijikuta nimekuwa msomaji mmoja matata shule ya msingi tu. Kitabu cha kurasa mia tatu sijui mia tisa huko sijui (Eric Shigongo books) nnakikata chini ya wiki.
Mzee mwenyewe huyu hapa๐Ÿ‘‡


View: https://youtu.be/31c1k00hBFM?si=9X97CEMNOa1iHAjH

Sasa ukiachana na kusoma tu, jiulize mwanao ungependa awe nani? Baada ya kusoma. Halafu mfundishe hicho kitu na baada ya hapo mwambie, ajisomee yeye mwenyewe akikazana atafaidi hicho anachopenda.

Itamjengea mtoto udadisi, na msukumo wa kuelewa utatokea ndani yake kabisa hadi utashangaa.

Zama za kulazimisha mambo, ni akili za kitumwa. Hazifai.

Haiya, sasaa kama Taifa:
Tujiulize tunataka wananchi wajao wawe na mtazamo gani? Wa ajira au ujasiriamali? Biashara, uchuuzi, viwanda eeh?

Baada ya hapo tuwekeze kwenye kuwapa picha watoto za hivyo vitu katika hali watakazozipenda. Kisha waambiwe, wasome kwa bidii waje wafanye makubwa katika sekta za ujasiriamali, uongozi, usindikaji wa bidhaa, viwanda nk.

Mfano, tunaenda kindergarten vidudu na mpishi, wanajifunza watoto kupika keki na kupamba. Kisha wanaambiwa mtaweza kujitengenezea keki, biskuti, mtamiliki viwanda vya pipi etc.

Au anaenda mjasiriamali anayetengeneza mafuta ya kupaka, shule ya msingi. Wanakusanywa wanafunzi kama wanavyokusanywa kuoneshwa mazingaombwe....

... By the way tunavoweka maonesho ya mazingaombwe je? Tunathamini zaidi wananchi wa kesho wavutiwe na uchawi au lengo ni nini?๐Ÿคซ๐Ÿค”

... Turudi kwenye mada. Basi wanakusanyika wanafunzi, na mjasiriamali anaonesha hapo jinsi anachanganya sabuni au mafuta ya kupakaa. Baadhi wanashiriki kuandaa wamevaa kisayansi kabisa. Wanagawiwa zawadi ya mafuta. Mwishoni wanafunzi wanamuungisha bidhaa nyingine kadri inavyofaa.

Mwalimu anawaambia, wakiwa wadadisi, wakiijua sayansi, kemia, na hisabati mbona watamiliki hadi viwanda kabisa.

Mzazi usisubiri shuleni, wewe mwenyewe unaweza kumuanzisha mtoto uelekeo ufaao hapo hapo nyumbani. Muoneshe lengo, halafu kisha kila hatua anayopiga italeta mantiki. Akili tu mtu wangu.

Aliyetembea duniani anisaidie, hivi huko Uchina, Japani, Ujerumani wanafanyeje?

Basi kwa leo ni hayo.

Kusoma kunapanua maarifa kuhusu jambo usilolifahamu. Nina imani huyu mzee amevuna maarifa mengi kutoka kwenye vitabu anavyovisoma kila siku. Mungu amuwezeshe kutumia elimu anayoipata kuwasaidia wengine wasiokuwa na utamaduni wa kusoma vitabu. Amina.
 
Wadau wa elimu.

Huwa tunaanzia kufundisha watoto a e i o u

Kisha ndio babebi... halafu ndo mambo ya 'Baba anakula nzige, aliyeng'ang'ania jani shambani'.

Nani alisema kuwa ni lazima mambo yaende hivyo?

Mfano tukiamua kuanzia kumfundisha mtoto namna jet engine ya ndege inavyotengenezwa halafu tukamwambia 'Mtoto ukisoma, ukaelewa mambo ya aeiou, ba ebibobu na baadaye ukawa mkubwa mwenye akili, utaweza sasa kutengeneza ndege inapaaa juuuuuu'

Kwa uzoefu wangu sie nyumbani tulianza kusomewa hadithi kwanza. Hadithi taaamu kweli halafu tunaambiwa, mkijifunza mkajua kusoma mtajisomea wenyewe hadithi nzuri kwenye haya mavitabu yoote zimejaa habari za kuvutia sana. Guess what! Nilijikuta nimekuwa msomaji mmoja matata shule ya msingi tu. Kitabu cha kurasa mia tatu sijui mia tisa huko sijui (Eric Shigongo books) nnakikata chini ya wiki.
Mzee mwenyewe huyu hapa๐Ÿ‘‡


View: https://youtu.be/31c1k00hBFM?si=9X97CEMNOa1iHAjH

Sasa ukiachana na kusoma tu, jiulize mwanao ungependa awe nani? Baada ya kusoma. Halafu mfundishe hicho kitu na baada ya hapo mwambie, ajisomee yeye mwenyewe akikazana atafaidi hicho anachopenda.

Itamjengea mtoto udadisi, na msukumo wa kuelewa utatokea ndani yake kabisa hadi utashangaa.

Zama za kulazimisha mambo, ni akili za kitumwa. Hazifai.

Haiya, sasaa kama Taifa:
Tujiulize tunataka wananchi wajao wawe na mtazamo gani? Wa ajira au ujasiriamali? Biashara, uchuuzi, viwanda eeh?

Baada ya hapo tuwekeze kwenye kuwapa picha watoto za hivyo vitu katika hali watakazozipenda. Kisha waambiwe, wasome kwa bidii waje wafanye makubwa katika sekta za ujasiriamali, uongozi, usindikaji wa bidhaa, viwanda nk.

Mfano, tunaenda kindergarten vidudu na mpishi, wanajifunza watoto kupika keki na kupamba. Kisha wanaambiwa mtaweza kujitengenezea keki, biskuti, mtamiliki viwanda vya pipi etc.

Au anaenda mjasiriamali anayetengeneza mafuta ya kupaka, shule ya msingi. Wanakusanywa wanafunzi kama wanavyokusanywa kuoneshwa mazingaombwe....

... By the way tunavoweka maonesho ya mazingaombwe je? Tunathamini zaidi wananchi wa kesho wavutiwe na uchawi au lengo ni nini?๐Ÿคซ๐Ÿค”

... Turudi kwenye mada. Basi wanakusanyika wanafunzi, na mjasiriamali anaonesha hapo jinsi anachanganya sabuni au mafuta ya kupakaa. Baadhi wanashiriki kuandaa wamevaa kisayansi kabisa. Wanagawiwa zawadi ya mafuta. Mwishoni wanafunzi wanamuungisha bidhaa nyingine kadri inavyofaa.

Mwalimu anawaambia, wakiwa wadadisi, wakiijua sayansi, kemia, na hisabati mbona watamiliki hadi viwanda kabisa.

Mzazi usisubiri shuleni, wewe mwenyewe unaweza kumuanzisha mtoto uelekeo ufaao hapo hapo nyumbani. Muoneshe lengo, halafu kisha kila hatua anayopiga italeta mantiki. Akili tu mtu wangu.

Aliyetembea duniani anisaidie, hivi huko Uchina, Japani, Ujerumani wanafanyeje?

Basi kwa leo ni hayo.

Mambo hayo mfundishwe mwanao mwenyewe usisubiri afundishwe na watu wengine bongo utasubiri sana mambo hayo kufunsishwa maana mfumo hautaki watu wajitambue
 
Sijajua umeandika ukiwa katika hali gani.
Mfano UK, mtoto huanza kwenda shule. Wakiwa na miaka mitatu(pres schools)
Alafu katika umri wa miaka minne, mtoto anapelekwa rasmi sasa shule..
Ila kuachana na yote hayo.
Kikubwa ni malezi ya wazazi jumlisha na high quality ya early education(hii haimaanishi kumpeleka mtoto wa mwaka mmoja shule)
Hii inahakikisha unamkuza mtoto kwenye mazingira bora, unamuundaa mtoto awe bora shuleni, kiuelewa wa masomo na ability. Sasa sio kumfundisha ndege mtoto wa miaka mitatu hadi mitano, hiyo hamna dunia nzima,

Muandae mtoto vizuri moja,
Muandae aweze elewa masomo yake mbili,
Akiweza hayo atakua mapema kuelewa ndege zako.
Sasa unakuta baby care Bongo, vitoto vimelala๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚vya miaka mitatu. Yaani mzazi alishaferi kitambo, shule inakuja malizia.
Ila mada hii ni pana sana, kama kweli unasoma vitabu. Muelekeze mwanao. Muandae awe rubani mzee.
 
Muandae mtoto vizuri moja,
Muandae aweze elewa masomo yake mbili,
Akiweza hayo atakua mapema kuelewa ndege zako.
Sasa unakuta baby care Bongo, vitoto vimelala๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚vya miaka mitatu. Yaani mzazi alishaferi kitambo, shule inakuja malizia.
Ila mada hii ni pana sana, kama kweli unasoma vitabu. Muelekeze mwanao. Muandae awe rubani mzee.
Hahahahaaaaah ๐Ÿ˜‚,

Nakubaliana na ww na ndo maana kuna ushauri kwa mzazi binafsi, halafu kwa shule (serikali)

Hatuwezi kutegemea watu wa nje watujengee. Inaanza ndani ya familia halafu inasambaa kwa jami na taifa zima
 
Kusoma kunapanua maarifa kuhusu jambo usilolifahamu. Nina imani huyu mzee amevuna maarifa mengi kutoka kwenye vitabu anavyovisoma kila siku. Mungu amuwezeshe kutumia elimu anayoipata kuwasaidia wengine wasiokuwa na utamaduni wa kusoma vitabu. Amina.
Hakika.

Ndio ukipata nafasi ya kuwashawishi watu katika jambo jema. Na uifanye.

Ndiyo kazi ya Mungu hiyo๐Ÿ™. Jumapili njema
 
Join Our Hand Screen Printing and Tie & Dye (Batik) Short Course! ๐ŸŽจ

Are you ready to dive into the world of vibrant colors and unique patterns? Elevate your artistic skills with our 2-Week Hand Screen Printing and Tie & Dye (Batik) Short Course at the renowned Dar es Salaam Institute of Technology - Mwanza Campus!

๐ŸŽจ Course Highlights:

๐Ÿ–๏ธ Hand Screen Printing Techniques: Master the art of hand screen printing from our skilled instructors.
๐ŸŒŸ Tie & Dye (Batik) Mastery: Explore the traditional and contemporary methods of creating stunning tie & dye patterns.
๐Ÿ› ๏ธ Hands-On Practice: Work with top-notch equipment and facilities, turning your creative visions into reality.
๐Ÿค Interactive Learning: Engage in a collaborative learning environment, fostering creativity and community spirit.
๐Ÿ“… Course Duration: 2 Weeks

๐Ÿ“ Location: Dar es Salaam Institute of Technology, Mwanza Campus

๐ŸŽ“ Who Can Join?

Art Enthusiasts
Fashion Designers
Textile Enthusiasts
Students
Creativity Enthusiasts of All Levels!
๐Ÿ“œ Certificate of Completion: Receive a certificate to showcase your proficiency in Hand Screen Printing and Tie & Dye (Batik).

๐Ÿ”ฅ Limited Seats Available! Secure Your Spot Now!

๐Ÿ“ž Contact Us to Reserve Your Place:
Contact Information: 0765202727 / 0759782826 / 0629153727

๐ŸŒŸ Why Choose Us?

Experienced Instructors
State-of-the-Art Facilities
Practical and Theoretical Learning
Inspiring and Creative Campus Atmosphere
๐ŸŽจ Transform your passion into art, and let your creativity flow! Join us for an exciting journey of color, design, and self-expression at the Dar es Salaam Institute of Technology - Mwanza Campus.
Enroll Today! ๐ŸŒŸ
 
Join Our Hand Screen Printing and Tie & Dye (Batik) Short Course! ๐ŸŽจ

Are you ready to dive into the world of vibrant colors and unique patterns? Elevate your artistic skills with our 2-Week Hand Screen Printing and Tie & Dye (Batik) Short Course at the renowned Dar es Salaam Institute of Technology - Mwanza Campus!

๐ŸŽจ Course Highlights:

๐Ÿ–๏ธ Hand Screen Printing Techniques: Master the art of hand screen printing from our skilled instructors.
๐ŸŒŸ Tie & Dye (Batik) Mastery: Explore the traditional and contemporary methods of creating stunning tie & dye patterns.
๐Ÿ› ๏ธ Hands-On Practice: Work with top-notch equipment and facilities, turning your creative visions into reality.
๐Ÿค Interactive Learning: Engage in a collaborative learning environment, fostering creativity and community spirit.
๐Ÿ“… Course Duration: 2 Weeks

๐Ÿ“ Location: Dar es Salaam Institute of Technology, Mwanza Campus

๐ŸŽ“ Who Can Join?

Art Enthusiasts
Fashion Designers
Textile Enthusiasts
Students
Creativity Enthusiasts of All Levels!
๐Ÿ“œ Certificate of Completion: Receive a certificate to showcase your proficiency in Hand Screen Printing and Tie & Dye (Batik).

๐Ÿ”ฅ Limited Seats Available! Secure Your Spot Now!

๐Ÿ“ž Contact Us to Reserve Your Place:
Contact Information: 0765202727 / 0759782826 / 0629153727

๐ŸŒŸ Why Choose Us?

Experienced Instructors
State-of-the-Art Facilities
Practical and Theoretical Learning
Inspiring and Creative Campus Atmosphere
๐ŸŽจ Transform your passion into art, and let your creativity flow! Join us for an exciting journey of color, design, and self-expression at the Dar es Salaam Institute of Technology - Mwanza Campus.
Enroll Today! ๐ŸŒŸ
 
Back
Top Bottom