Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Laana wakati ninanukuu Qur'an na Hadith za mtume? Siwezi kulaanika hata kidogo.
Yes unanukuu, but kitu unachokosea ni namna unavo itafasiri. Kila aya ilishushwa kwa wakati wake na kulingana na tukio fulani.

Hiyo aya inamaanisha wanaadamu we are created sinful by nature na repentance ndio njia pekee ya kujitakasa. Allsh ni mwingi wa huruma na mwingi wa msamaha.

Hivyo basi inamaanisha Allah will always replace a sinful person from a none sinful kwasababu huyo mtu atatubia anapo kosea. Na huyo ambaye hakosei hayupo. Mitume wenyew walkua wakikosea.

Kila dini zina mapishano ndani yake na all ni kwa sabab ya jins watu wanavo tafadiri vitabu vya dini. Na ndio masna kumekua na madhehebu mengi. Ila all in all Allah knows best.

Alaf uspende kukashf imani za watu ilhali hukutake your time kuelimika au kujua hio dini au kusoma vitabu vyake.

Uislamu ni upendo na amani...
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji20][emoji55]
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

I.e No body z perfect" may be
 
Yes unanukuu, but kitu unachokosea ni namna unavo itafasiri. Kila aya ilishushwa kwa wakati wake na kulingana na tukio fulani.

Hiyo aya inamaanisha wanaadamu we are created sinful by nature na repentance ndio njia pekee ya kujitakasa. Allsh ni mwingi wa huruma na mwingi wa msamaha.

Hivyo basi inamaanisha Allah will always replace a sinful person from a none sinful kwasababu huyo mtu atatubia anapo kosea. Na huyo ambaye hakosei hayupo. Mitume wenyew walkua wakikosea.

Kila dini zina mapishano ndani yake na all ni kwa sabab ya jins watu wanavo tafadiri vitabu vya dini. Na ndio masna kumekua na madhehebu mengi. Ila all in all Allah knows best.

Alaf uspende kukashf imani za watu ilhali hukutake your time kuelimika au kujua hio dini au kusoma vitabu vyake.

Uislamu ni upendo na amani...

Sijawahi na SIPENDI kukashfu dini ya mtu. Na tafsiri si zangu pia (mimi sikijui Kiarabu kwa ajili hiyo hutumia tafsiri za Islamic scholars ambao wanaaminika kwenye Uislamu).
Kama maana uliyoitaka hapo kwa nini iandikwe ilivyoandikwa "angewaondoa wasiofanya dhambi ili awaumbe wengine watakaofanya dhambi"? Unataka kutuambia kuwa Allah hakuweza kuwasilisha ujumbe wake ili usomeke hivyo ulivyotafsiri hapa?
 
Huna akili eti ndio maana hujafahamu ulichoulizwa.

You need to take break from the BS in bible 😀 Jibu maswali nlokuuliza

Kanywe kwanza mkojo wa ngamia (kwa kuwa mkojo wa mtume hutaupata leo hii maana alishajifia siku nyingi sana - walioishi nae walikunywa) labda ndipo utaelewa logic iliyomo kwenye ulichoshindwa kuelewa.

Kwa manufaa ya mtu atakaedhani ninakashfu watu; soma hapa chini:

The climate of Medina did not suit some people, so the Prophet (ﷺ) ordered them to follow his shepherd, i.e. his camels, and drink their milk and urine (as a medicine). So they followed the shepherd that is the camels and drank their milk and urine till their bodies became healthy. Then they killed the shepherd and drove away the camels. When the news reached the Prophet (ﷺ) he sent some people in their pursuit. When they were brought, he cut their hands and feet and their eyes were branded with heated pieces of iron. (Sahih al-Bukhari 5686) [ Variations : Sahih al-Bukhari 6802 ; Jami` at-Tirmidhi 72 ; Sahih al-Bukhari 1501 ; Sunan ibn Majah Hadith 3632 ; Sunan an-Nasa'i 4024 ].
 
Sijawahi na SIPENDI kukashfu dini ya mtu. Na tafsiri si zangu pia (mimi sikijui Kiarabu kwa ajili hiyo hutumia tafsiri za Islamic scholars ambao wanaaminika kwenye Uislamu).
Kama maana uliyoitaka hapo kwa nini iandikwe ilivyoandikwa "angewaondoa wasiofanya dhambi ili awaumbe wengine watakaofanya dhambi"? Unataka kutuambia kuwa Allah hakuweza kuwasilisha ujumbe wake ili usomeke hivyo ulivyotafsiri hapa?
Great kama wewe ni mfatiliaji mzuri wa hizo translation utagundu, Quran is written in a poetic form. Ofcourse Allah hakushindwa kuifikisha straight. But then kama navyokwambia kila aya iliteremshwa kwa kusudio fulani

Na hapo inaserve the rigjt purpose yakua Allah anapenda wanakosea, na ni kwa sababu ya kwamba hakuna alie mkamilifu ispokua Allah. Hivyo basi kupitia repenance tunasafishika na kurudi Kwa Allah.

Hatukuumbwa kwa lolote ispokua kumuabudu Allah sasa kama tungeumbwa wakamilifu katka kila kitu unafkir watu tungeabudu kweli? Tumgemkumbuka mungu kweli? Kupitia madhaifu yetubtulio umbwa nayo ndio yanaturudisha kwa muumba wetu mara nyingi.

So nikuombe unapoisoma Quran iwe translated in kiswahili au islmaic jaribu kua open minded, b'coz ilikua in such a way as poetry. Ungekua umamua kuisoma vizuri ndio ungeweza kuielwa. But kuchukua aya moja bila kujua ya nyuma yake na ya mbele inamaliziaje ni like kuchukua one side of the story nakutoa hukumu. Soma sura nzima utaelewa wat was the point. Somtimes aya moja haiez kukujulisha what was the message in it.
 
Great kama wewe ni mfatiliaji mzuri wa hizo translation utagundu, Quran is written in a poetic form. Ofcourse Allah hakushindwa kuifikisha straight. But then kama navyokwambia kila aya iliteremshwa kwa kusudio fulani

Na hapo inaserve the rigjt purpose yakua Allah anapenda wanakosea, na ni kwa sababu ya kwamba hakuna alie mkamilifu ispokua Allah. Hivyo basi kupitia repenance tunasafishika na kurudi Kwa Allah.

Hatukuumbwa kwa lolote ispokua kumuabudu Allah sasa kama tungeumbwa wakamilifu katka kila kitu unafkir watu tungeabudu kweli? Tumgemkumbuka mungu kweli? Kupitia madhaifu yetubtulio umbwa nayo ndio yanaturudisha kwa muumba wetu mara nyingi.

So nikuombe unapoisoma Quran iwe translated in kiswahili au islmaic jaribu kua open minded, b'coz ilikua in such a way as poetry. Ungekua umamua kuisoma vizuri ndio ungeweza kuielwa. But kuchukua aya moja bila kujua ya nyuma yake na ya mbele inamaliziaje ni like kuchukua one side of the story nakutoa hukumu. Soma sura nzima utaelewa wat was the point. Somtimes aya moja haiez kukujulisha what was the message in it.

Thank you very much. Ulichokiandika hapa kinathibitisha nilichoandika: Allah hapendi watu wasiofanya dhambi.
And that's precisely what made write here what I did. Na kwangu mimi ni illogical; kwa nini Mungu asimpende mtu asie na dhambi? Logic ina-dictate kuwa mtu asie na dhambi ni LAZIMA awe karibu na Mungu.
 
Inachanganya sana...

Bakwata nadhani watakua na jibu, kwa nini hilo hutokea...


Cc: mahondaw
 
Ukiona unakereka na kitu kilichoandikwa kwenye vitabu vya dini yako basi anza kujiuliza ikiwa kweli hiyo ni dini. Mazinge unapaswa kumuuliza wewe ili akufafanulie hayo unayoyaita yana utata, maana mimi nilishatambua muda mrefu kuwa kufuata Uislamu ni kuingizwa chaka.
Btw; situkani Uislamu. Kama unaona ninachokiandika ni matusi basi ni Uislamu wenyewe ndio unajitukanisha maana kila ninachokinukuu hapa ama kipo kwenye Qur'an au hadith za mtume. Ngoja nikupe neno la kulalia.

Kwa mujibu wa mtume wenu, nzi (NAAM NZI) akiingia kwenye kinywaji chako chochote unapaswa kumtumbukiza mzima mzima kwenye kinywaji MAANA BAWA LAKE MOJA LINA UGONJWA NA LA PILI LINA TIBA ZA HUO UGONJWA.

Sijazusha wala kutunga. Jisomee hapa:

"Abu Huraira alisimulia: Nabii alisema, 'Kama nzi ameangukia kwenye kinywaji cha mtu yoyote kati yenu, na amchovye (kwenye kinywaji), kwani bawa lake moja lina ugonjwa na lingine lina tiba ya huo ugonjwa." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 16 na.537 uk.338. Tazama pia Abu Dawud juzuu ya 3 kitabu cha 21 (Kitabu cha Vyakula) na.3835 uk.1080.

Volume 4, Book 54, Number 537: Narrated Abu Huraira:
The Prophet said "If a house fly falls in the drink of anyone of you, he should dip it (in the drink), for one of its wings has a disease and the other has the cure for the disease."

Halafu bado watu mnaamini vitu vya namna hii kweli????
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Unajua hata mgonjwa wa malaria ukimlambisha asali huiona ni chungu co kwamba asali ni chungu ila ni kwa 7b ulimi wake umetawaliwa na uchungu.
 
Kanywe kwanza mkojo wa ngamia (kwa kuwa mkojo wa mtume hutaupata leo hii maana alishajifia siku nyingi sana - walioishi nae walikunywa) labda ndipo utaelewa logic iliyomo kwenye ulichoshindwa kuelewa.
Sihitaji mkojo wa ngamia, labda wewe uende kanisani ukanywe "maji ya uzima" yatokayo kwenye uchi wa nabii.

The climate of Medina did not suit some people, so the Prophet (ﷺ) ordered them to follow his shepherd, i.e. his camels, and drink their milk and urine (as a medicine). So they followed the shepherd that is the camels and drank their milk and urine till their bodies became healthy. Then they killed the shepherd and drove away the camels. When the news reached the Prophet (ﷺ) he sent some people in their pursuit. When they were brought, he cut their hands and feet and their eyes were branded with heated pieces of iron. (Sahih al-Bukhari 5686) [ Variations : Sahih al-Bukhari 6802 ; Jami` at-Tirmidhi 72 ; Sahih al-Bukhari 1501 ; Sunan ibn Majah Hadith 3632 ; Sunan an-Nasa'i 4024 ].
Onyesha mapokezi basi... kwani hujui vitabu vya hdithi sisi tunaita bibilia? kuna ya ukweli na ya uongo, kuna yaloongezwa na yaliopunguzwa.

Ila mzee ishu ya kubaka slave umetoka mbio... yule hakuwa Mungu wako yesu akiamrisha vile?
 
Sihitaji mkojo wa ngamia, labda wewe uende kanisani ukanywe "maji ya uzima" yatokayo kwenye uchi wa nabii.


Onyesha mapokezi basi... kwani hujui vitabu vya hdithi sisi tunaita bibilia? kuna ya ukweli na ya uongo, kuna yaloongezwa na yaliopunguzwa.

Ila mzee ishu ya kubaka slave umetoka mbio... yule hakuwa Mungu wako yesu akiamrisha vile?

Nionyeshe palipoandikwa kwenye Biblia kuhusu kunywa "maji ya uzima yatokayo kwenye uchi wa nabii" kama mimi nilivyokupa reference.

Na hakuwa Mungu Jehovah (wala Yesu) ninaemuabudu alieamrisha ulichokiandika hapa.
 
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!

Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!

Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?

Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Huwezi kuwa tofauti mpaka ufanye tofauti.
Huwezi kumlazimisha mtu aliye amua kuwa tofauti.
Maelekezo kuhusu mwezi ni kuwa; fungeni (swaum) kwa kuuona mwezi na fungueni (Idd) kwa kuuona mwezi.
Sasa kuna wale wanao uona wenyewe na kuna wale wanao saidiwa kuuonna huko mashariki ya kati (Saudia)
Hiyo tofauti, na wameamua kuwa tofauti, na tofauti ipo wazi. Usisumbuke wala kulazimisha.
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Abuu Hurraira ndo Qur'an !?
Soma hapa Qur'an
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pata Dah'wa hapa ewe kuffar !
 
Nionyeshe palipoandikwa kwenye Biblia kuhusu kunywa "maji ya uzima yatokayo kwenye uchi wa nabii" kama mimi nilivyokupa reference.

Na hakuwa Mungu Jehovah (wala Yesu) ninaemuabudu alieamrisha ulichokiandika hapa.
Tunaona kanisani mkipuliziwa dawa za mbu, mkipewa yale maji meupe ya uzima, kwani wale mafundisho wanayotolea wapi?

Mbona wewe hukuleta reference ya kuonesha kuwa uislam umeruhusu kubaka?
 
Kwani Uislamu ni Qur'an pekee? Hii ni Hadith na unaikana sasa kwa kuwa tu huwezi kuitetea. Haya; nakuletea aya kutoka Qur'an (na usije baadae ukaniletea Hadith ya kukanusha hiyo aya ya Qur'an maana kwa mujibu wako Hadith si za kutilia maanani isipokuwa say za Qur'an).

Kwa mujibu wa aya hii hapa chini; mtu akienda Corner Bar (au mahali popote pengine) akakubaliana na binti Muislamu wakagegedana hakuna dhambi bora tu mwanaume amlipe mwanamke walichokubaliana. Ni amri ya Allah.

SAHIH INTERNATIONAL
And [also prohibited to you are all] married women except those your right hands possess. [This is] the decree of Allah upon you. And lawful to you are [all others] beyond these, [provided] that you seek them [in marriage] with [gifts from] your property, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse. So for whatever you enjoy [of marriage] from them, give them their due compensation as an obligation. And there is no blame upon you for what you mutually agree to beyond the obligation. Indeed, Allah is ever Knowing and Wise.
(Surah An-Nisa 4:24)
Hakuna cha kuongeza !
Screenshot_20190606-160000.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom