Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Wewe si ndiye uliyeileta hadithi hii:-
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).
Sasa hujajua matini ya hii hadithi ni nini?
Wewe si mkamilifu kama ulivyosema na una dhambi, sasa lini unatarajia dhambi zako zitasamehewa na ilhali Yesu keshakufa kwa ajili ya dhambi zenu? au atasulubiwa tena na kuuliwa tena kwa ajili ya wanaotenda dhambi baada ya yeye kuondoka? au kifo chake ukikiamini basi fanya utakalo kwani dhambi zimeshafutwa?

Hebu soma tena uelewe logic ya ajabu iliyomo kwenye hiyo hadith. Suala si mtu kuwa na dhambi BALI ni kwa Allah kusema kuwa mtu ASIPOTENDA dhambi Allah atamuua huyo ILi aumbe walio tayari kutenda dhambi. Wewe unaona ni Sawa hilo?
 
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!

Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!

Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?

Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Na wale wanaosali jmoc na jpil si na wale wasio itambua pasaka je
 
Hilo la kubaka nimeshalitolea ufafanuzi kwenye moja ya posts zangu za mapema kabisa kwenye hii thread. Niliandika kuwa kwenye uislamu hakuna neno " ubakaji" maana like Wakristo tunachokiita kuwa ni ubakaji kimehalalishwa kwenye uislamu. Kwa mantiki hiyo kumuingilia mtumishi wa ndani, mtumwa au mwanamke "yeyote alie chini ya mamlaka" ya muislamu mwanaume ni halali kwa mujibu wa maandiko ya uislamu (Qur'an na Hadith).

Sasa katika kitendo cha kubaka mbona katika Qur'aan hakuna ? Je unaweza kunaimbia kwama au kunipa ushahidi kwamba wale watumwa walikuwa hawakunali kuingiliwa na mabwana zao ?

Lakini achilia mbali kwa uongo wako kwenye jambo halali na wewe ukaliita "ubakaji" je utumwa ukiendelea au ulikomeshwa ?
 
Sasa katika kitendo cha kubaka mbona katika Qur'aan hakuna ? Je unaweza kunaimbia kwama au kunipa ushahidi kwamba wale watumwa walikuwa hawakunali kuingiliwa na mabwana zao ?

Lakini achilia mbali kwa uongo wako kwenye jambo halali na wewe ukaliita "ubakaji" je utumwa ukiendelea au ulikomeshwa ?

Hivi wewe mwenyewe ukisoma ulichoandika hapa unaelewa?
 
BAKWATA INATUHARIBIA UISLAMU
Ujinga wako tu, na si Bakwata. Kama umeuona si ufungue ?
Kuna watu wanaitwa Bohora, nao wanadai nio Waislaam. Wanaswali kivyao (bohora tu) wanafunga kwa kalenda yao siku 30 net, na wana Eid yao wao peke yao kama Bohora. Mbona hao huwashangai !?
 
Naelewa ndio maana nimekuuliza swali. Sasa nionyeshe kubaka katika Qur'aan na Hadithi.
Hii hapa ndani ya furqan! Halafu niwekee alimfanyaje Safiyah baada ya kuwaua baba yake na mmewe!
IMG_20190606_181022_425.jpeg
 
Ujinga wako tu, na si Bakwata. Kama umeuona si ufungue ?
Kuna watu wanaitwa Bohora, nao wanadai nio Waislaam. Wanaswali kivyao (bohora tu) wanafunga kwa kalenda yao siku 30 net, na wana Eid yao wao peke yao kama Bohora. Mbona hao huwashangai !?
Ukiwa Mwezini unalima mwezi utauona wapi??
 
Hii hapa ndani ya furqan! Halafu niwekee alimfanyaje Safiyah baada ya kuwaua baba yake na mmewe!View attachment 1119839

Nimekuwekea na aya za kabla na baada ili upate mtiririko wa maana :

1. HAKIKA wamefanikiwa Waumini,
2. Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
3. Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
4. Na ambao wanatoa Zaka,
5. Na ambao wanazilinda tupu zao,
6. Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
7. Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
8. Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao, (al Muuminuun : 1- 8)

Ama kuhusu suala la Safiyya hilo sina elimu nalo,wewe unae jua ndio uniletee ushahidi kwamba alibakwa,maana hatutaki maneno ya vijiweni yasiyo kuwa na ushahidi. Nataka unionyeshe wapi mtume alibaka usilete kona na porojo.

Nataka ushahidi wapi mtume alibaka ?
 
Nimekuwekea na aya za kabla na baada ili upate mtiririko wa maana :

1. HAKIKA wamefanikiwa Waumini,
2. Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
3. Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
4. Na ambao wanatoa Zaka,
5. Na ambao wanazilinda tupu zao,
6. Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
7. Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
8. Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao, (al Muuminuun : 1- 8)

Ama kuhusu suala la Safiyya hilo sina elimu nalo,wewe unae jua ndio uniletee ushahidi kwamba alibakwa,maana hatutaki maneno ya vijiweni yasiyo kuwa na ushahidi. Nataka unionyeshe wapi mtume alibaka usilete kona na porojo.

Nataka ushahidi wapi mtume alibaka ?
Inao wamiliki mikono yao ya KUUME NI WAKE ZAO? Safiyah huna ujuzi nalo eeh?!
 
Inao wamiliki mikono yao ya KUUME NI WAKE ZAO? Safiyah huna ujuzi nalo eeh?!

Sio wake zao ila sheria iliwaruhusu kuwaingilia na ilikuwa halali kwao,kwa maana walikuwa wanaingiliwa kwa hiari ukitaka.

Sasa nionyeshe wapi walibakwa ? Usipoteze muda nataka uonyeshe wapi nani alibakwa ?
 
Sio wake zao ila sheria iliwaruhusu kuwaingilia na ilikuwa halali kwao,kwa maana walikuwa wanaingiliwa kwa hiari ukitaka.

Sasa nionyeshe wapi walibakwa ? Usipoteze muda nataka uonyeshe wapi nani alibakwa ?

Unionyeshe wewe kama hawabakwi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom