DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Tuonene Idd Pili. Nina zawadi yako spesho.Kwahiyo mialiko Leo kesho?
Tuonene Idd Pili. Nina zawadi yako spesho.Kwahiyo mialiko Leo kesho?
TWENDE TARATIBU NDUGU. JE UNAWEZA KULETA USHAHIDI WA HAYO ULIYOSEMA KATIKA UISLAM
Hv Agano la kale isn't part of a Bible? naona kama unalalia upande wa Agano jipya
Huu uzi hauna muda mrefu[emoji1321][emoji3603]
Mbona mistari miwili ya juu hujabold? yani unaanzia kati ili kupotosha
Kibaya kipi hapo?
#18 NA #55 MBONA UNAJIKANGANYA?Kuna mtu alishauliza swali hilo. Na nimeshampa ushaihidi wa maandiko. Chungulia uzi huu huu utaona.
sasa hiyo ni quraan!!!?..unaugua ndani ya fuvu nini!!!?Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).
Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?
🤣🤣🤣🤣
Jamani kwani si mlee tu idd...[emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ya kusubiri shehe ponda asemee mtakufaa njaaa...
Ungeshuhulikia yakwako ingependeza zaid, maana hata uko uliko kuna mambo zaidi ya hayoHabari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!
Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!
Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?
Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
sasa hiyo ni quraan!!!?..unaugua ndani ya fuvu nini!!!?
#18 NA #55 MBONA UNAJIKANGANYA?
unafikiri mi mjinga mwenzio?!..Mwenzenu aliikana Hadith hivyo hivyo (akadai cha kuamini ni Qur'an ila si Hadith). Nikamletea aya kutoka Qur'an nayo akaikana kuwa madai kuwa aya hiyo ni "ya Mashia" utadhani kuna Qur'an ya Sunni ambayo ni tofauti na ya Shia.Uislamu gani usio na Sunnah na Hadith?
Unachokifanya ww ni kucheza na akili za watu sehem zenye utata kwa watu wanaoifaham dini kwa uchache(waumini)..watafute watu kama mazinge ujadiliane nao.Mwenzenu aliikana Hadith hivyo hivyo (akadai cha kuamini ni Qur'an ila si Hadith). Nikamletea aya kutoka Qur'an nayo akaikana kuwa madai kuwa aya hiyo ni "ya Mashia" utadhani kuna Qur'an ya Sunni ambayo ni tofauti na ya Shia.Uislamu gani usio na Sunnah na Hadith?
Unachokifanya ww ni kucheza na akili za watu sehem zenye utata kwa watu wanaoifaham dini kwa uchache(waumini)..watafute watu kama mazinge ujadiliane nao.
Usiwapandishe watu hasira humu wakaanza kutukan dini zngne.(3:7)qur-an
unafikiri mi mjinga mwenzio?!..
Huna akili eti ndio maana hujafahamu ulichoulizwa.Are you crazy?? Wapi nimeandika habari ya mke au girl friend? Hiyo aya niliyonukuu nilikuambia inahusiana na girlfriend au mke? Au kwako mtumwa na/au mtumishi wa ndani ni mke au girlfriend?
Give us a break.
Ujinga ni kuongea kitu usichokijua na kujifanya unakijua.yaani mnavyochinjana na ma Alshabaab yenu mara IS eti mnamtetea Mungu, yaani Allah hana uwezo wa kijitetea mpaka awatume mlazimishe watu wamfuate na wanaokataa mnawachinja!! Au Allah anapenda sana damu? Kwani kama Peponi kutamu kuna haja gani ya kuwalazimisha watu mwende nao? si mwende wenyewe mkafaidi hao mabikra 72, ujinga mtupu